Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Mdau upo windhoek daaah wasalimie swakopmund hahah
Hahah huko Swakop mbali ni coast kabisa jangwa linakutana na bahari nishaenda mara moja, ila Windoek nimeenda mara kadhaa, kwa sasa nipo TZ kulikuwa kunalipa wakati wa nyuma
 
NEMC njooni na Mbeya hasa hapa Mbeya pazuri upande wa bendi na kwa Mwailubi,watu hatulali kwa kelele
 
Afadhali wagome angalau tupate kulala tumechoka na makelele yao
 
Sheria za Tanzania zinatokana ana maoni ya upande mmoja wa taasisi bila kushirikisha wadau ndo maana zinasumbua katika utendaji wake..
Nadhani ulimsikia mdau flani pale juzi kwenye kikao na pm kariakoo, mwigulu kawaacha wadau kwenye kikao yeye kakimblila bungeni kuzifanya ziwe sheria ilhali hata wadau hawamaliza kuzijadili hoja .
Hapo umenena
Sheria nyingi zinapitishwa kutokana na matukio, tena bila kalamu yaani kwa mdomo tu

Unamkuta PM anasema hili, waziri husika atalopoka hili na hata mkuu wa mkoa anakuja na lake akiwa kashika [emoji441]

Basi tuna safari ndefu na ndio maana hata waizi wa mali za umma huwa wanabadilishwa tu au baadhi kwa kujionyesha utasikia kawekwa pembeni au kwa lugha ya kejeli WATUPISHE
 
Hahah huko Swakop mbali ni coast kabisa jangwa linakutana na bahari nishaenda mara moja, ila Windoek nimeenda mara kadhaa, kwa sasa nipo TZ kulikuwa kunalipa wakati wa nyuma
Windhoek maeneo gani umefika olimpia, havana, au big bend kwa wahuni
 
Windhoek maeneo gani umefika olimpia, havana, au big bend kwa wahuni
Hahahaha ulienda kufanya nini windhoek we mzee, nilikua Natulia zangu sehemu inaitwa WANAHEDA huko big ben uswahilini sana swekeni [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mdau upo windhoek daaah wasalimie swakopmund hahah
MIe anisaidie kuwasalimia hapo walvis bay ,Omaruru!, Rundu , okahandla otavi....
Namibia kuna usalama sana ni vile tu hawana popolation kubwa ya ku accomodate kila mtu.
 
Wangelenga wakati wa mikutano au sherehe mwanza waheshimiwa wangelala uswekeni, wangekula kwa mama put put
 
Wamiliki wa baa na hoteli jijini Mwanza wamesema wataanzisha mgomo kuanzia kesho kutokana na baraza la Taifa la mazingira NEMC kufunga baa na hoteli zao huku nyingine zikipigwa faini kubwa kwa madai kuwa wanapiga muziki kupita kiasi.

View attachment 2630066

Wamiliki hao wamekutana kwenye kikao cha pamoja na kujadiliana kuhusu sheria za NEMC walizopewa hivi karibuni ambazo wanadai zinakwamisha shughuli zao na kusema ili waweze kupata ufumbuzi wa jambo hilo ni bora wagome kufanya kazi.

Chanzo: EATV

===

Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.

Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Namkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.

Hafadhali mifuko yetu ipone kidogo
 
Wamiliki wa baa na hoteli jijini Mwanza wamesema wataanzisha mgomo kuanzia kesho kutokana na baraza la Taifa la mazingira NEMC kufunga baa na hoteli zao huku nyingine zikipigwa faini kubwa kwa madai kuwa wanapiga muziki kupita kiasi.

View attachment 2630066

Wamiliki hao wamekutana kwenye kikao cha pamoja na kujadiliana kuhusu sheria za NEMC walizopewa hivi karibuni ambazo wanadai zinakwamisha shughuli zao na kusema ili waweze kupata ufumbuzi wa jambo hilo ni bora wagome kufanya kazi.

Chanzo: EATV

===

Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.

Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii

Namkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.
Sheria ya mazingira ilipitishwa tangu mwaka 2004 na hicho kipengere kilikuwepo, kinachofanyika sasa ni kusimamia sheria tu. Kiukweli kuna baadhi ya maeneo ya starehe tena yapo katikati ya makazi ya watu wanapiga miziki kwa sauti kubwa sana, mbaya zaidi wanakesha. Serikali iwasikilize lakini na wenyewe wajitathmini.
 
Huu ni upumbavu sasa, wazingatie sheria.
Haya malalamiko yao ni ya kijinga.
 
Hahahaha ulienda kufanya nini windhoek we mzee, nilikua Natulia zangu sehemu inaitwa WANAHEDA huko big ben uswahilini sana swekeni [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo dom nilienda huko kwa ajili ya training ya kilimo cha zabibu wale watu wanalima zabibu laaana chali yangu
 
Back
Top Bottom