Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Tetesi: Wamiliki wa Bar na Hotel Jijini Mwanza Kuanza mgomo kesho, Mei 22, 2023

Kelele hazitakiwi.
Wao wacha wagome tu, watu wataendelea kununua bia maeneo mengine
 
Sheria zinatungwa na Bunge, hao wateule wanatekeleza sheria,

Kwa hiyo wafanyabiashara wanaona wana haki ya kupiga makelele bila udhibiti?
 
Sheria za Tanzania zinatokana ana maoni ya upande mmoja wa taasisi bila kushirikisha wadau ndo maana zinasumbua katika utendaji wake...
Sheria zote mbaya za tz matatizo yake uanza pale zinapoanza kutumika na huwa najiuliza kwanini hii misuguano haipo wakati bunge linaendelea ili kuzuia isiwe sheria, lkn unagundua kuwa sheria nyingine upita mlango wa nyuma na usitukia ilishakuwa sheria.
 
Wataathirika walevi na wazinzi..

Wagome hata mwaka mzima.
 
wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi
Hata wagome miaka 10 hawana athari yoyote. Sana sana watakuwa wamepunguza kuenea kwa dhambi ya ulevi .

Mxiuuuuu! Mgomo my foot!
 
wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama. Naomba mama awe strong hakuna mtanzania anataka kulipa kodi mpaka walazimishwe kwa sheria. Watu pekee nchi hii hawawezi kukwepa kodi ni wafanyakazi tu. Ndio maana nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi, wafanyabiashara wa nchi hii ni manyan'gau tu
Shenzitype
 
Waathirika wa kikokotoo nao TWAJA dadeki walamba asali wakubwa. Hatuli chakula wiki nzima mpaka mtaomba pooo kulaleki hadi udwanzi utawatoka janja janja ya kulamba asali itaisha
 
Hizo nchi bahati, ustaarabu na kujaribu wananchi kufuata sheria ulianzishwa enzi za wazungu na umeendelea kudumishwa, hata Kwa pembezoni wa Wanaheda na Katutura.... hahahaha... aiseee mmenikumbusha Windhoek city life na ratiba za kwenda Swakop na Walvis Bay wknd.... Mbarikiwe.
Mdau upo windhoek daaah wasalimie swakopmund hahah
 
wanamgomea nani, wameona serikali dhaifu siyo? Wanatingisha kiberiti, wakifunga watakufa njaa wao na watoto washenz hao. Hata bar unagoma? Wajaribu waone, Hata hivyo waziri mkuu alionesha udhaifu mkubwa kusikiliza yale majambazi ya K/koo, wale ni wezi wa kodi za serikali, hawataki kulipa kodi wanajaribu serikali ya mama. Naomba mama awe strong hakuna mtanzania anataka kulipa kodi mpaka walazimishwe kwa sheria. Watu pekee nchi hii hawawezi kukwepa kodi ni wafanyakazi tu. Ndio maana nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi, wafanyabiashara wa nchi hii ni manyan'gau tu
Waligomea TRA, hawa wanagomea NEMC.
 
Kmmzao, wafunge tu bar zao, kwani Ni asilimia ngapi ya watu wa Kwanza wanakunywa pombe?
Kwanza bar zikifungwa Kasi ya kuenea kwa ukimwi na UTI itapungua Sana na familia zitakua na amani.

Kwa ruksa yangu wagome tu.
 
Mama Samia usije ukatuma MTU kuwasikiliza Hawa wenye bar. Tuogope ukimwi na wenye bar nao tuwaogope?
Pombe huharibu familia. Acha wagome.
 
Asante kwa kuutarifu umma. Watu watanunua kwenye super market wakanywee nyumbani, halafu tuone nani mjanja.
 
Kwa ili hatutawasapoti. Wakae kwa kutulia.

Mfano Bar wakigoma, yaani wanaoathirika nia 0.001% ya population ya mkoa.
Huna unachojua. Hivi unesahau wanaongiza kulipa kodi ni akina nani?
 
Hivi nyinyi wafanyabiashara wa bar mnataka mpige miziki kwa sauti kubwa ili wananchi wanaowazunguka washindwe kupumzika na familia zao? Nitashangaa kama serikali itakubaliana na ujinga huu!!
Vipi kuhusu wake walokole wanapiga makelele usiku?
 
Back
Top Bottom