cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hongeraaah piah kwa Hilo.Vyuma vimekaza kwako tu mkuu,ukiona wewe hauna hela basi jua imeenda kwa mwenzako,watu wana hela mbaya mkuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongeraaah piah kwa Hilo.Vyuma vimekaza kwako tu mkuu,ukiona wewe hauna hela basi jua imeenda kwa mwenzako,watu wana hela mbaya mkuu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lol mweeeeeeeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tena ukute hana exposure wala hajapandisha vidato...lols
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kwanini wanaturusha roho wenzao khaaaaaah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwiiiiiiiiih madame taratibu mwayaaaah ndo me nipo kwenye utafutaji ili baadae niweze kuwa na sample hizoooh lol Damon[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama huna hela huenda ikawa ni ww tu mkuu, [emoji1787][emoji1787]..hii ndinga niliyoe desha ni ya 'ke!..hajahongwa...ni mtafutaji balaa...tembea uone[emoji56]
Uwiiiiiiiiih madame taratibu mwayaaaah ndo me nipo kwenye utafutaji ili baadae niweze kuwa na sample hizoooh lol Damon
Sent using Jamii Forums mobile app
nitajie za kupanda na kushuka....Kuna gari ya kupanda na gari ya kudumbukia,
Nyingi kwenye hiyo bei uliyosema ni za kudumbukia,
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali name ilikuwa jokes kidogo lakini pia hii issue ya gari flani inakula mafuta nyingine haili mafuta kiukweli ni kupambana tu kama ukiona una vyanzo vizuri vya mapato sio salary ya kulipwa tarehe 35 inabidi ununue gari ya choice yako.😂😂😂😂 subaru??? Hata BMX sina
Usijali name ilikuwa jokes kidogo lakini pia hii issue ya gari flani inakula mafuta nyingine haili mafuta kiukweli ni kupambana tu kama ukiona una vyanzo vizuri vya mapato sio salary ya kulipwa tarehe 35 inabidi ununue gari ya choice yako.
Mie gari hata navyoweka mafuta huwa naiwekea bajeti ya lita 1 kilometer 7 hivyo nikiweka lita 5 ikifika kilometre 35 mpaka 40 naweka mengine japokuwa kwa mazingira ya kawaida gari inakula lita 1 kwa kilometre 9 mpaka 11 kwa mizunguuko ya mjini
Hukizoea hizi gari huwezi endesha za mjapani! Ni nzito zimetulia barabarani na heshima pia! Hahahahah
Sijui kwanini hii BMW naona kama tax tu...labda ile iliyobinuka nyuma kama ya Diamond platinum na wengi wenye pesa siwaoi wakinunua aina nyengine tofauti na ile ila hizi zingine sijui X5, 3 nk kama tax tu.
Portfolio | 2020
Zile hapana hata bule ila ile X6 ile gari nimeielewa mpaka umeingia namba 1 ya dream car kwangu pale kampuni ya BMW ilitulia.Mkuu yani mimi siwezi nunua zile zilizofanania na corolla aisee [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio kuumiliki,tatizo kuuweka barabarani kila siku,wanasema kuwa namba moja si tatizo,tatizo kubaki namba moja,hiyo kitu ikianza kuwasha zile taa za faults utashangaa kuzi clear hela ya passo inakutoka,salute kwenu wenye hizo gari barabarani na mfungao vioo!!!!.
Kweli aisee kidogo tu ukipanda speed bump kitu kinatetema, of course haya mambo ya kipindi cha mpito ndio huwa hivyo mkuu unapiga dusu dusuKuweka mafuta kidg kidg inaumiza sana.. Bora ujaze full tank ufumbe macho!
Unazimiliki au ni gari za ndoto yako?Ndo gari zangu na Benz!
Sijasema mimi kwamba nina hela ila theory za uchumi ndio zinavyosema,ukiona hela imetoka kwako jua imeenda kwa mwingine kwasababu fedha zilizomo kwenye mzunguko zipo constant.
Kabisa akitaka kujua watu wana fedha azunguke sehemu za starehe au sehemu ambapo kuna mji mpya unajengeka uone watu wanavyotelemsha Mi_ Mansion kama uyoga.Ni kweli...km.unakosa hela ni ww tu jamani..kun mjijitu iko njema balaa
Kabisa akitaka kujua watu wana fedha azunguke sehemu za starehe au sehemu ambapo kuna mji mpya unajengeka uone watu wanavyotelemsha Mi_ Mansion kama uyoga.
Worry out!mkuuUsijali name ilikuwa jokes kidogo lakini pia hii issue ya gari flani inakula mafuta nyingine haili mafuta kiukweli ni kupambana tu kama ukiona una vyanzo vizuri vya mapato sio salary ya kulipwa tarehe 35 inabidi ununue gari ya choice yako.
Mie gari hata navyoweka mafuta huwa naiwekea bajeti ya lita 1 kilometer 7 hivyo nikiweka lita 5 ikifika kilometre 35 mpaka 40 naweka mengine japokuwa kwa mazingira ya kawaida gari inakula lita 1 kwa kilometre 9 mpaka 11 kwa mizunguuko ya mjini