Wamiliki wa BMW Shikamooni

Wamiliki wa BMW Shikamooni

Tatizo sio kuumiliki,tatizo kuuweka barabarani kila siku,wanasema kuwa namba moja si tatizo,tatizo kubaki namba moja,hiyo kitu ikianza kuwasha zile taa za faults utashangaa kuzi clear hela ya passo inakutoka,salute kwenu wenye hizo gari barabarani na mfungao vioo!!!!.
Huwa tunawaangalia tu wanaosema bei yake ni milioni kadhaa tu. Kununua na kuihudumia ni mbingu na ardhi.
 
Kuinunua Sio tatizo ,tatizo linakuja katika huduma yake Kama una hela za madafu utapaki hyo gar aiseee nililiuza nikarudi katika gar za kawaida kabisa sikutaka mashindano ya magar .na jamaa niliye muuzia anataman ampate mtu Ila ndio Kesha weka mktaba teyar Mana anajua shughuri yake

kilicho akilini kitumie
 
Hizo BMW mnazonunuaga hazinaga warranty?
Mkuu unaleta utani? Hizi kelele na malalamiko ni za watu wanaonunua magari ya 2002-2006 halafu wanayaita mapya na kutegemea yasiwasumbue.

Huwa nawaambia haya magari huwa yakifikisha 10yrs au 100,000km ndio muda wa kubadilisha vitu vingi. Muda huu ukifika wazungu na wajapan wanatusukumia sisi.

Bongo mtu anaagiza used car ya 2002 anajisifu kaleta gari mpya.
 
Mkuu unaleta utani? Hizi kelele na malalamiko ni za watu wanaonunua magari ya 2002-2006 halafu wanayaita mapya na kutegemea yasiwasumbue.

Huwa nawaambia haya magari huwa yakifikisha 10yrs au 100,000km ndio muda wa kubadilisha vitu vingi. Muda huu ukifika wazungu na wajapan wanatusukumia sisi.

Bongo mtu anaagiza used car ya 2002 anajisifu kaleta gari mpya.

Okay. Hapo nimekupata.

Maana nijuavyo mimi warranty ya BMW ni miaka minne [4] au 50,000 miles, whichever comes first.

Pia, baada ya hapo mtu unaweza kununua ‘extended warranty’.

Kwa scenario uliyoielezea hapo, sijui kama hiyo extended warranty inaweza kufanya kazi.

Bongo extended warranties zipo?
 
Okay. Hapo nimekupata.

Maana nijuavyo mimi warranty ya BMW ni miaka minne [4] au 50,000 miles, whichever comes first.

Pia, baada ya hapo mtu unaweza kununua ‘extended warranty’.

Kwa scenario uliyoielezea hapo, sijui kama hiyo extended warranty inaweza kufanya kazi.

Bongo extended warranties zipo?
Wanaouza brand new cars wanatoa warranty miaka 3 hivi. Trust me wateja hapa bongo can't wait warranty ziishe waachane na hao dealers. Ni vituko
 
BMW ni afadhali kiasi fulani

Mercedec Benz ipo higher end zaidi

Katika normal competitors models Mercedes Benz ni twice ya bei ya BMW kwenye same bracket!

BMW ni even fairer zaidi wanatumia middle class,Mercedes Benz ni even lethal price range wise!

Benz imeizunguka BMW mara mbili kwa sophistication na bei!

Benz huzioni sana third world countries maana wenye akili timamu na hela serious ndio wanazo,na ni middle and far aged rich males ndio wanazo na wanajua urefu wake!
Kuna nchi ukienda hizi unazoziita third world haya magari yapo kibao na wala sio ishu maana hata mwalimu anayeanza kazi mwaka jana anamiliki.

Unaona hapa Dar unapohesabu magari tofauti na Toyota nchi zingine za third world Toyata ndiyo unazihesabu.
 
Back
Top Bottom