wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Mara ya kwanza naendesha hilo gari kidogo tuu nishindwe kuweka gia
Kalia usukani utanielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalia usukani utanielewa
Nimecheka Hadi naumwa lol, mbavu zangu uwiiiiiiiiiiiiiihKuna siku nilikuwa na dereva wa ofisini tunatoka sheli flani ipo Njiro sie tumo kwenye Rav 4 pembeni ipo X5 wote wanabaniana kuingia road, ikabidi nimwambie dereva wetu we emu ona aibu basi acha GARI ipite [emoji3][emoji3]
Huwa tunawaangalia tu wanaosema bei yake ni milioni kadhaa tu. Kununua na kuihudumia ni mbingu na ardhi.
Vyuma vimekaza hivi afu naona caption hii wallah kuna watu Wana hela lol, nmeshituka mnoooohIla nitajaribu kuchukua BMW X6 nione maana gari nayotumia sasahivi sana ni Range Discover napenda gari zinazobinuka kalio nyuma nitacheki mwezi wa sita nichukue X6 niteat.
Portfolio | 2020
Portfolio | 2020
Usihadaike na hayo majivuno watu wana njaaa humuVyuma vimekaza hivi afu naona caption hii wallah kuna watu Wana hela lol, nmeshituka mnooooh
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuma vimekaza kwako tu mkuu,ukiona wewe hauna hela basi jua imeenda kwa mwenzako,watu wana hela mbaya mkuu!!Vyuma vimekaza hivi afu naona caption hii wallah kuna watu Wana hela lol, nmeshituka mnooooh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr. Hapa sasa utakuwa unapotosha.
Gari zote duniani zina kitu kinaitwa crashworthness rating.
Gari yenye high rating ambayo ni 5 star ina safety kubwa kuliko gari ya 1 star.
Hata gari zingine zipo ambazo zina 5 star rating...
Kwa hiyo wangeweza kuwa kwenye gari nyingine yoyote na bado wakasalimika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nchi ukienda hizi unazoziita third world haya magari yapo kibao na wala sio ishu maana hata mwalimu anayeanza kazi mwaka jana anamiliki.
Unaona hapa Dar unapohesabu magari tofauti na Toyota nchi zingine za third world Toyata ndiyo unazihesabu.
Vyuma vimekaza kwako tu mkuu,ukiona wewe hauna hela basi jua imeenda kwa mwenzako,watu wana hela mbaya mkuu!!
Ndiyo mkuu kidogo ingepunguza bajeti
Tunaomiliki Noah za urithi tunacomenti wapi? Hahaa
Ila dunia haipo fear,mwaka Jana niliiona BMW X7 dar,alikuwa anaendesha binti mkaliiii mitaa ya magomeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Sio unatoa generic claim tu as if upo sahihi kumbe si kweli!
Toa jina na hiyo nchi na jedwali la statistic kuonesha hayo unayodai!
Hii kuongea kwa generic claims ni rahisi mno!
First World countries disposable income ni kubwa,uwezo wa kununua high end cars ni mkubwa zaidi ya Third World countries..
Unachokiongea ni hisia zako tu na huna takwimu mujarabu uka-copy na ku-paste hapa vividly!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kwanini wanaturusha roho wenzao khaaaaaah.