wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Mkuu acha ushawishi wa kunifanya nikuwekee picha..hata hiyo bimmer E46 Kama ndio peke yako uko nayo kitaa kizima heshima haiepukiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha ushawishi wa kunifanya nikuwekee picha..hata hiyo bimmer E46 Kama ndio peke yako uko nayo kitaa kizima heshima haiepukiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unaendesha f10,f20,f30 au?Ila e46 zinaendeshwa sana na watu tunaowaita ‘WANNA BE’.,hahah.
Mkuu wewe unaendesha f10,f20,f30 au?
Mr mshana hivi siwezi pata kwa njia za ulozi?[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123][emoji123]hizi gari zina heshima yake jamani acheni tu
Jr[emoji769]
Sasa mkuu unatafuta maajabu kwenye gari ya 2004! Hembu kuwa serious Basi dahChief miaka hio nilikua na ya 2004 325ci haikua na maajabu yoyote.
Sasa mkuu unatafuta maajabu kwenye gari ya 2004! Hembu kuwa serious Basi dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu anajikuna mkono unapofika na ana haki kufurahia chake.Gari nimelimiliki 2010,niambie lilikua halina gadgets zipi za kipindi hicho.
Sasa mkuu nyie wadau mnaoendesha e46 miaka hii ndio tunawashangaa ujue na bado mnavimba barabarani hahah.
Kwahio wakati wewe unaendesha hio 2010 gari hio ilikuwa na gadgets, ila sasa hivi gadgets zimeyeyuka?Gari nimelimiliki 2010,niambie lilikua halina gadgets zipi za kipindi hicho.
Sasa mkuu nyie wadau mnaoendesha e46 miaka hii ndio tunawashangaa ujue na bado mnavimba barabarani hahah.
Kwahio wakati wewe unaendesha hio 2010 gari hio ilikuwa na gadgets, ila sasa hivi gadgets zimeyeyuka?
Kila mtu anajikuna mkono unapofika na ana haki kufurahia chake.
Hahaha hongera najua Ile yako hujauza badoJr[emoji769]
Sasa wenye passo taambia nini watu[emoji23][emoji23]