Hizo ndio Gharama za kumaintain ujiko kitaani!Tunastahili hongera but ukweli ndani ya mioyo yetu tunaumia kuliko unavyodhan maana tangu sijawah kutumia chini ya laki tano kwa matengenezo ya aina yoyote
Na sometime kujkuta inatoka mpk 3m usishangae[emoji24][emoji24][emoji125][emoji125]
Mungu anakuona...[emoji2357][emoji2357]Ila nitajaribu kuchukua BMW X6 nione maana gari nayotumia sasahivi sana ni Range Discover napenda gari zinazobinuka kalio nyuma nitacheki mwezi wa sita nichukue X6 niteat.
Portfolio | 2020
Portfolio | 2020
Ilikua ni X 3 2.5SI speed 240,ilikua ni dom 2 shy,Hii ina speed 240
Sisi wa Hyundai kikao kinatuhusu?jeep ni myama pia,inakaribia levo hizo za akina bm na akina audi,
Sema akina ist na tu vitz ndo tusubiri kwanza nje kikao kiishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ground bana achakabisa.Hahahahahahah mambo kwa Ground ni bad newz!
Kitu chochote kizuri kina gharama kukimiliki na kukitunza! Mfano: mke mzuri, nyumba nzuri, shule nzuri, kuishi mitaa mizuri, n.k. Mimi pamoja na gharama ya kuzumiliki hizi gari najisikia comfortable nikiwa barabarani kila mtu anapay attention na nikienda mahali nikapaki atakaye kuja kupaki karibu yangu lazima apaki kwa adabu na kuniachia nafasi ya kutosha nikitaka kutoka. Huwezi kuta mtu kapaki BMW/Benz alafu mtu akaja kupaki nyuma yako!
Mbona la kawaida sana
Mashikoro mageni!!Heshima kwenu....
Ukikutana na mmiliki wa BMW series yoyote ile ni vyema ukamheshimu tu kujipunguzia machungu ya ukali wa maisha!
Hongereni!
Ni kweli kulinunua ni rahisi sana ila runing cost zake si mchezo kabisa. Kila kitu chake ni ghali sanaKwa experience yangu ya kua fundi wa european cars hasahasa(bmw,benz).
Bmw ni magari mazuri sana yakiwa mapya lakini ukipata used litakusumbua sana kwa service kutokana kuharibika haribika,german cars are overengineered hivo tatizo dogo tu linazingua gari.wengi wanaweza ku afford kununua ila sio kulitunza.
Mtu anaemiliki german car ambalo linatembea barabarani mpe heshima yake maaana linamcost
Jiliwaze!Wakati huo huko nchi zilizoendelea wanawaona watu wanaoendesha BMW Kama loser fulani HV.
Angalia comments