new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
In short we call them money pit as they age..Kwa experience yangu ya kua fundi wa european cars hasahasa(bmw,benz).
Bmw ni magari mazuri sana yakiwa mapya lakini ukipata used litakusumbua sana kwa service kutokana kuharibika haribika,german cars are overengineered hivo tatizo dogo tu linazingua gari.wengi wanaweza ku afford kununua ila sio kulitunza.
Mtu anaemiliki german car ambalo linatembea barabarani mpe heshima yake maaana linamcost
Hata mm nina ndoto za kumiliki Benz mzee! Maana kuna jamaa huku Bukoba ana dinga ya Benz full time ni mwanga tu kwa mbele mzee ndaaah!!Ndo gari zangu na Benz!
Ngoja nijaribu bahati kubwa yangu ya umarioo [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!...niambiwe najimwambafy? Kitu cha bmw x6!dadeq...
Sisi wa Spacio huwa tunapaki pembeni kuwaacha wapite kwanza ndio tuendelee na safari. Na mtoto akikuuliza kwanini tumesimama unamwambia "Shiiiii,,,kaa kimya BMW inapita"... [emoji23][emoji23][emoji23],,,kidding
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukiwa mwalimu wa secondary unaweza kumiliki hivi vitu au inabidi ukimbie mtaani kusaka mapema kuna walimu nawaona hata Vits hawana wala IST.
Portfolio | 2020
Sio unakuta mtu anamiliki Passo au Vitz 900cc na yeye anataka aitwe ana gari, yaani kuna pikipiki engine yake ni ina ujazo ni mkubwa kuliko hiyo passo au vitz[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123][emoji123]hizi gari zina heshima yake jamani acheni tu
Jr[emoji769]
Ni kweli mkuu, watu wenye magari yao huwa wanakuwa na ufunguo mmoja tu anauweka mfukoni sio kiunoni
[emoji23][emoji23][emoji23]Sio unakuta mtu anamiliki Passo au Vitz 900cc na yeye anataka aitwe ana gari, yaani kuna pikipiki engine yake ni ina ujazo ni mkubwa kuliko hiyo passo au vitz
Mkuu, sasa hapo ni tatizo la gari au tatizo lenu mafundi ?.Haya magari mazuri sana,ukiyazoea hata toyota unayaona ya kiboya ila sasa likizingua.
Garage yalikua linakuja benzi limepita kwa kila fundi dar na limewashinda.imagine hela unayo ya kutengeneza gari lako la kifahari na halitengenezeki tena tatizo la kawaida tu.
Haha mkopo 32M ukikatwa unabaki na take-home ya 300,000/= kwa miaka kumi hapo iyo pesa ndio uishi na kuihudumia gari nahisi utakufa na mawazo.Kibishi bishi unaweza...mkopo
Tatizo ni gari,kama benzi yapo over engineered sana yaani gari kama computer.Mkuu, sasa hapo ni tatizo la gari au tatizo lenu mafundi ?.
Kwa hiyo unathibitisha kwamba kijana mdogo hawezi kuimiliki Benz sio ?.BMW ni afadhali kiasi fulani
Mercedec Benz ipo higher end zaidi
Katika normal competitors models Mercedes Benz ni twice ya bei ya BMW kwenye same bracket!
BMW ni even fairer zaidi wanatumia middle class,Mercedes Benz ni even lethal price range wise!
Benz imeizunguka BMW mara mbili kwa sophistication na bei!
Benz huzioni sana third world countries maana wenye akili timamu na hela serious ndio wanazo,na ni middle and far aged rich males ndio wanazo na wanajua urefu wake!