Wamiliki wa lodge kuweni serious

Upo sahihi mkuu,umesahau na mikoa yenye baridi blanket zinanuka
 
TATIZO WEWE ULILALA GUEST HAUKULALA LODGE KAMA ULIVYOANDIKA.
KUNA TOFAUTI YA HIVYO VITU, GUEST NDIO PANA UJINGA UJINGA HUO MAANA NI BEI RAHISI ILA LODGE BEI YAKE IMECHANGAMKA KIDOGO LAKINI VYUMBA NI VIZURI.
Sawa mtaalamu hizi mambo nimekubali, lakini gesti zipo kweli now days? sijaziona kitambo sana
 
Kuna wapumbavu wengine blankets wanazifutiaga shahawa halafu wanazikunja vizuri Kama hwajalitumia muhudumu akija analikunja vizuri zaidi.

Sasa ukijifnya mwamba ukaingia kwenye blanket utakutana na uvundo wa ajabu mno[emoji16]
 
[emoji16] kupenda vya buku jero tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…