HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mwanza hotel nzuri sana na bei inaelewekaMwanza ni bei rahisi, nililala hotel chumba cha 13000 safi kabisa.
Simu na tv japo chogo, Choo cha nje but natumia mwenyewe tu maana vyumba vingine vyenye choo ndani vilikuwa vimejaa wateja.