Wamiliki wa Mabasi jiungeni mtengeneze Kampuni Kubwa ya Mabasi Tanzania

Wamiliki wa Mabasi jiungeni mtengeneze Kampuni Kubwa ya Mabasi Tanzania

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Inashangaza vikampuni ushuzi vya mabasi vimejaa shekilango. Kila baada ya miezi 6 ukirudi unakuta kishafungwa. Unganisheni Nguvu Undeni kampuni kubwa ya Mabasi yenye tija na weledi ( professional).

NB: uswahili umezidi
 
Kuna figisu na chuki huko za hatariiiii, kuungana ni ngumu . Jamaa yangu amewekeza mtaji kanunua zake scania, anakwambia njiani gari zake zinapigwa mawe kila siku hasa usiku na wasiojulikana. Kuna wafalme wa njia hao ukileta gari mpya kwenye njia zao wafwaa, hasa ulete scania wakati wao wana mchina .
Yaani anaweza kupandikizwa dereva kwenye kampuni yako kumbe kaja kupindua gari.
 
Sio lazima wamiliki wamabasi hata wabunge wakijichanga wanaweza kuanzishaha kiwanda cha kutengeneza magari badala yake wanapoteza hela kwenye mabonanza.
 
Kuna watu wamefuga madudu kwenye mabasi yao
Siri zitafichuka
 
Kuna figisu na chuki huko za hatariiiii, kuungana ni ngumu . Jamaa yangu amewekeza mtaji kanunua zake scania, anakwambia njiani gari zake zinapigwa mawe kila siku hasa usiku na wasiojulikana. Kuna wafalme wa njia hao ukileta gari mpya kwenye njia zao wafwaa, hasa ulete scania wakati wao wana mchina .
Yaani anaweza kupandikizwa dereva kwenye kampuni yako kumbe kaja kupindua gari.
Na ushirikina kama wote

Katarama vs allyS
 
Kampuni International standards sio ujinga ujinga pale Shekilango
 
Hilo wazo lifanyie wewe kazi ndo fursa yenyewe.

Kuwa mswahili ni dhambi?
 
Vichina vimejaa hapo shekilango makenika, kila mahali hadi kkoo vingine vinauza mapazia.
mtatoboaje
 
Back
Top Bottom