Wamiliki wa Mitandao ya Simu wamechonganisha wananchi na Viongozi wetu

Wamiliki wa Mitandao ya Simu wamechonganisha wananchi na Viongozi wetu

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Nilivyoona tu eti wanaonesha kabisa kwamba amount hii ni gharama zao na amount hii hapa ni kodi ya Serikali basi nikajua huo ni uchochezi.

Hawa watu walipaswa kufanya kama awali kuwa inakata tu gharama ya kutuma muamala bila kuonesha ipi ni kodi na ipi ni ya kwao wamiliki mtandao. Mbona - kwa mfano hawaoneshi kuwa wakala anapata kiasi gani na mmiliki wa mtandao anapata kiasi gani?

Kwanini waoneshe kodi ya Serikali? Hebu Serikali shtukieni hili - wamiliki wa mtandao wanawakosanisha na wananchi wanyonge wa Tanzania!
 
Wewe ni Mataga kweli.

Ungesema hivi,

Serikali ya CCM imeamua kuwachonganisha wananchi na mitandao ya simu.

Kwani aliyepandisha bando za intanet miezi miwili iliyopita ni kampuni za simu?

Na Sasa aliyepandisha miamala kwenye huduma za kifedha ninani?
 
Wewe ni Mataga kweli
Ungesema hivi,
Serikali ya CCM imeamua kuwachonganisha wananchi na mitandao ya simu...
Yaani wewe unnitukana kabisa kuwa mimi MATAGA, unajua unapata dhambi aseeeee! Bora hata ungeniambia mbupu zangu kuliko kuniita MATAGA! Umenionea sana sana. Na sitakusahau maisha yangu yote - kwanza MATAGA mwenyewe!
 
Kwahiyo kwako unaona ni uchonganishi je wewe unaona gharana hizo za miamala hiyo ni ya kweli au uongo?
 
Nilivyoona tu eti wanaonesha kabisa kwamba amount hii ni gharama zao na amount hii hapa ni kodi ya Serikali basi nikajua huo ni uchochezi.

Hawa watu walipaswa kufanya kama awali kuwa inakata tu gharama ya kutuma muamala bila kuonesha ipi ni kodi na ipi ni ya kwao wamiliki mtandao. Mbona - kwa mfano hawaoneshi kuwa wakala anapata kiasi gani na mmiliki wa mtandao anapata kiasi gani?

Kwanini waoneshe kodi ya Serikali? Hebu Serikali shtukieni hili - wamiliki wa mtandao wanawakosanisha na wananchi wanyonge wa Tanzania!
Angalia kwanza kiini cha tatizo kabla kufika huko. Shetani ni mwehu siku zote
 
Ivi kweli wewe mtoto wa nje ya ndoa unataka kuniambia ubongo wako ni mfupi sana kiasi hichi katika kuwaza.
 
Sio ungeishauri Serikali kumaliza ugomvi na Wananchi kwa kuondoa hiyo mitozo ya kidhulumati?.
 
Nilivyoona tu eti wanaonesha kabisa kwamba amount hii ni gharama zao na amount hii hapa ni kodi ya Serikali basi nikajua huo ni uchochezi.

Hawa watu walipaswa kufanya kama awali kuwa inakata tu gharama ya kutuma muamala bila kuonesha ipi ni kodi na ipi ni ya kwao wamiliki mtandao. Mbona - kwa mfano hawaoneshi kuwa wakala anapata kiasi gani na mmiliki wa mtandao anapata kiasi gani?

Kwanini waoneshe kodi ya Serikali? Hebu Serikali shtukieni hili - wamiliki wa mtandao wanawakosanisha na wananchi wanyonge wa Tanzania!
Hakika we ni punguani
 
Yaani wewe unnitukana kabisa kuwa mimi MATAGA, unajua unapata dhambi aseeeee! Bora hata ungeniambia mbupu zangu kuliko kuniita MATAGA! Umenionea sana sana. Na sitakusahau maisha yangu yote - kwanza MATAGA mwenyewe!
Halafu we Ni gay utakuwa
 
Kodi ni mchakato wa wazi. Kuanzia lini ukawa siri? Yaani nilipe kodi then uone nikiambiwa nimelipa kiasi gani ni kosa? Wewe inaonekana ni jambazi, kwa serikali inayochkua kodi kwa haki haiwezi kuogopa mlipa kodi kujua alicholipa.
Nilivyoona tu eti wanaonesha kabisa kwamba amount hii ni gharama zao na amount hii hapa ni kodi ya Serikali basi nikajua huo ni uchochezi.

Hawa watu walipaswa kufanya kama awali kuwa inakata tu gharama ya kutuma muamala bila kuonesha ipi ni kodi na ipi ni ya kwao wamiliki mtandao. Mbona - kwa mfano hawaoneshi kuwa wakala anapata kiasi gani na mmiliki wa mtandao anapata kiasi gani?

Kwanini waoneshe kodi ya Serikali? Hebu Serikali shtukieni hili - wamiliki wa mtandao wanawakosanisha na wananchi wanyonge wa Tanzania!
 
Kodi ni mchakato wa wazi. Kuanzia lini ukawa siri? Yaani nilipe kodi then uone nikiambiwa nimelipa kiasi gani ni kosa? Wewe inaonekana ni jambazi, kwa serikali inayochkua kodi kwa haki haiwezi kuogopa mlipa kodi kujua alicholipa.
Kumbe?
 
Nilivyoona tu eti wanaonesha kabisa kwamba amount hii ni gharama zao na amount hii hapa ni kodi ya Serikali basi nikajua huo ni uchochezi.

Hawa watu walipaswa kufanya kama awali kuwa inakata tu gharama ya kutuma muamala bila kuonesha ipi ni kodi na ipi ni ya kwao wamiliki mtandao. Mbona - kwa mfano hawaoneshi kuwa wakala anapata kiasi gani na mmiliki wa mtandao anapata kiasi gani?

Kwanini waoneshe kodi ya Serikali? Hebu Serikali shtukieni hili - wamiliki wa mtandao wanawakosanisha na wananchi wanyonge wa Tanzania!
"Ukweli na uwazi"... RIP Mkapa
 
Back
Top Bottom