raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ok pick oneAny of the classiest & hottest spots in town will do.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok pick oneAny of the classiest & hottest spots in town will do.
Hivi wewe unaamini walokole na hawa wanaoenda kwa Mwamposa kuna wife material?!
ushafika..alwys negativeKibongo bongo iyo itakua ni sex party tu. Hapo watajazana makahaba, kausha damu bila kusahau vijana wa ovyo.
ushafika..alwys negativeKibongo bongo iyo itakua ni sex party tu. Hapo watajazana makahaba, kausha damu bila kusahau vijana wa ovyo.
Sehemu kama havoc, na madem wanaingia bure sio lazima kulipia. Au pale dance and club mwenge. Kwa dar kuna spots kibao tu, hata huyu mama wa kitambaa cheupe akiamua anafanya hii,
Twende hunting tupate kimoja perfect 💯 😉Ok pick one
No, ni blind dates.Hiyo huwezi ita a blind date per se, inaitwa singles event, hio ishawahi jaribiwa marekani still ikafeli, wanaume wengi wanaenda singles event, lakini hawapati wanawake, baada ya hapo wanaume wakaacha kwenda kwenye singles event, so kwenye izo singles event kwa kule marekani, asilimia kubwa ni wanawake tu wanaenda huko Teslarati
We need to do this real quickTwende hunting tupate kimoja perfect 💯 😉
Weeee sio bongo mzeeeHiyo huwezi ita a blind date per se, inaitwa singles event, hio ishawahi jaribiwa marekani still ikafeli, wanaume wengi wanaenda singles event, lakini hawapati wanawake, baada ya hapo wanaume wakaacha kwenda kwenye singles event, so kwenye izo singles event kwa kule marekani, asilimia kubwa ni wanawake tu wanaenda huko Teslarati
Inaendaga taratibu mkuu, sahivi wanaume wengi wanapunguza rate ya kutongoza, wanaume wengi wanazidi kuwachoka wanawake linapokuja suala la mahusiano, coz wanawake wengi ni kausha damu wanao-play head games, ni suala la muda raraa rereeWeeee sio bongo mzeee
Yaani event wajae mademu wanaume wasiwepo labda sio bongo hii
Hapa ni suala la kupata pesa head games watajuana wenyeweInaendaga taratibu mkuu, sahivi wanaume wengi wanapunguza rate ya kutongoza, wanaume wengi wanazidi kuwachoka wanawake linapokuja suala la mahusiano, coz wanawake wengi ni kausha damu wanao-play head games, ni suala la muda raraa reree
Blind date ni mkutano wa kimapenzi ambapo watu wawili ambao hawajawahi kukutana hapo awali wanakubaliana kukutana kwa mara ya kwanza ili kuona kama wanapendana na kujenga uhusiano. Hii mara nyingi hufanyika kupitia marafiki au makala za mtandao ambapo watu hukutana bila kuona sura au kujua maelezo zaidi kuhusu mtu mwingine kabla ya tarehe hiyo. Lengo la blind date ni kugundua ikiwa kuna uwezekano wa mapenzi kati ya watu hao na ikiwa wanapendana, basi wanaweza kuendelea na uhusiano wao.Labda hujui blind date ni nn?
Hizo za kurushana kwenye runinga si hata McGarab na Mwijaku wanafanya pale startimes! Ile ishu iko staged sana huwezi pata watu genuine wengi ni fakers ili kipindi kifane.Au watengeneze dating show flani waweke youtube, halafu highlights wanaupload tiktok, reels na shorts
Naona wakenya wanafanya dating shows huko youtube sijui 'smash or pass'😂 ila hii utawapata vijana zaidi
US single events zipo ila wanawake ndio hujitokeza kwa wingi kuliko wanaume na sometimes wanaume hawa jitokezi kabisa.Mimi similiki biashara ya kiwanja au sehemu ya starehe lakini professionally mm ni Asset manager, business and financial advisor. Na kwa bahati mbaya sana sina mteja ambae anamiliki biashara aina hio.
Lakini hebu nyie wamiliki tumieni akili, mnapoteza sana muda kwa kudhan kuajiri wadada wenye matako makubwa ndo watawaletea wateja, the truth is nyie ndo mnawaletea wateja hao wadada wenye matako makubwa.
Kama una kiwanja au oub, wewe andaa blind dates zako 2 kila mwezi. Labda hujui blind date ni nn, blind date ni ile mnaenda sehemu watu wengi wa jinsia tofauti na lengo kuu ni kutafuta match, au mtu unaeendana nae na myajenge. Huu sio umalaya au biashara ya kuuza na kununua kipochi manyoya, huu ni mfumo uliowekwa tangu zamani huko nchi za wenzetu ili watu wakutane, wafahamiane na waanze mahusiano.
Sasa jiulize umeandaa blind date kwako, uza soda 1000, maji 2000, vinywaji vyote weka bei za maana sababu watu watajazana tu.
Trust me kuna watu kibao wanatafuta watu wa kubond nao, na usichukue maneno yangu, business specialist kutoka harvard na stanford wanakwambia biashara nzr yyt nzr ni ile inayotimisa 'one of the core human desires' na 'desire to bond' ni mojawapo ya hizo core desires.
Hivi hujiulizi kwa nn apps za dating haipo app unayoweza tumia bure na zote zinapiga hela, sasa nyie cheleweni kuchangamkia fursa, nikikasirika nitafungua kiwanja special tu kwa ajili ya blind dates ili kina dronedrake waache kupiga nyeto wakajiopolee mali swaaaf.
Hahahahah is the process of buying and selling poonani at a cheaper price.Unamjua mtanzania au unamsikia? 🤣🤣 Wadangaji na vijana wa hovyo ndio wataharibu hiyo idea itakuwa ni kuuziana K na tako. Kitaalam inaitwa Malayalaization process.
Malayalaization: is the process of converting anything to umalaya.