MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Ni experience nzuri sana, husussani kwa watu wapendao faragha ya identity zao.Sure, mm hapa africa mara ya kwanza niliiona kenya.
Lile vibe halitowahi toka akilini mwangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni experience nzuri sana, husussani kwa watu wapendao faragha ya identity zao.Sure, mm hapa africa mara ya kwanza niliiona kenya.
Lile vibe halitowahi toka akilini mwangu.
Tatizo la kuwa na idea nyingi kuzidi muda na labda driving force! 🙈Ulikwamia wapi sasa mrembo
Mwanamke anayejiuza yukoje??Wee hakuna mwanamke atafika hapo sana sana wanaojiuza na wake za watu
SmartNi bonge la mchongo...
Mwenyewe nilikua nafikiria kufanya a few years back 🤓 View attachment 2875662
raraa reree bana 😆😆Heeee ukakamatwa tenaa 😲 umafia gani tena ulikuwa unataka kuufanya totoo 😂
Idea mingi mpka unachanganyikiwa 🤣 hujui uguse ipi zote unaona pesa tu 😄Tatizo la kuwa na idea nyingi kuzidi muda na labda driving force! 🙈
Kwa jinsi ile heading ulivyo iweka isije kuwa ulitaka kuingiza vitoto kutoka cambodia uje uvipigishe mzigo 😂
Hivi wewe unaamini walokole na hawa wanaoenda kwa Mwamposa kuna wife material?!uhalisia hiyo idea ni ngumu sana kuitekeleza bila kusaidiana na nyumba za ibada.
Tanzania watu wengi wenye nia ya dhati kusaka wenza huwa wana imani sana za dini wanazoziabudu. hasa wanawake.
ukifanya hiyo idea bila kusaidiwa promo huko wanapoabudu, wanawake wife materials hawatakuja. watakuja wadangaji tu na kuharibu idea.
Owwwkey...owwkey!🙂Kama unaweza kuiendesha let's talk business, mimi nikupe connections na some capital
Kweli ziko nyingi kinoma! ☺️Idea mingi mpka unachanganyikiwa 🤣 hujui uguse ipi zote unaona pesa tu 😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa jinsi ile heading ulivyo iweka isije kuwa ulitaka kuingiza vitoto kutoka cambodia uje uvipigishe mzigo 😂
Mambo ya pesa yanaanzaga kama mizaha kitu kinaitika unabaki unashangaa heeeeee huu ujinga wangu watu wameukubali 😂Kweli ziko nyingi kinoma! ☺️
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi kumbe naweza kua najichukulia poa wakati ningekua Madam flani hivi mwenye mapesa na ma-connection yake hapa mjini.😉
I knoww..right? 🤓😀Mambo ya pesa yanaanzaga kama mizaha kitu kinaitika unabaki unashangaa heeeeee huu ujinga wangu watu wameukubali 😂
Tuseme hili wazo la Teslarati lina anza eneo gani hapa Dar litakuwa muafaka kwa hii shughuli 🙂I knoww..right? 🤓😀
👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾Ndo maana I'm convinced we can work out something. Sababu kama hadi uliandika 2021 na bado unayo kwenye maandishi basi uko na 'uchu' nayo.