Haya ndio huwa maajabu ya kupotezeana muda wa serikali na hao washtakiwa.Sasa kama mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi walipelekwa hapo kufanya nini? Kwanini hawakupelekwa kwenye mahakama yenye mamlaka badala ya kupoteza muda na rasilimali zingine
Sasa aliyepata dhamana kapewa na hiyo mahakama ambayo hawakutakiwa kujibu na haina mamlaka kusikiliza kivipi? Kapewaje dhamana? Kimyakimya bila kuzungumza?Sasa kama mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi walipelekwa hapo kufanya nini? Kwanini hawakupelekwa kwenye mahakama yenye mamlaka badala ya kupoteza muda na rasilimali zingine
Sasa Ulitaka Akiwepo Mtaani Achuchumae Na Si Kudunda?Hao waliotajwa ni magumashi Tu hakuna mmiliki hapo hata hayo majina ni fake bado... mmiliki wa jengo anajulikana na yupo mtaani anadunda Tu
Tarimbaunamjua mmiliki
Kwahiyo wamemilikishwa na mahakama?Hawa sio wamiliki! Tarimba ndiye mmiliki.
Hata hao unaowasema wanatumia masharti yao.Jifariji tu hivyohivyo kuna madogo tupo nao kwenye biashara wanapesa ndefu mno za halali
Commital proceedingSasa kama mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi walipelekwa hapo kufanya nini? Kwanini hawakupelekwa kwenye mahakama yenye mamlaka badala ya kupoteza muda na rasilimali zingine
HahahaMmiliki ni Maghayo .
Kubabake unachoma maneno yako ila watu walijipanga kuanzia wazaz waowengine wanafanyaga kazi gani? miaka 38 ana gorofa kariakoo, wengine ndo kwanza wanahangaika na madalali kimbiji
Huyo sio mmilikiwengine wanafanyaga kazi gani? miaka 38 ana gorofa kariakoo, wengine ndo kwanza wanahangaika na madalali kimbiji
Nchi ngumu hiiKwahiyo wamemilikishwa na mahakama?
Hahaha tulia weweee
Madawa ya kulevya mkuu.wengine wanafanyaga kazi gani? miaka 38 ana gorofa kariakoo, wengine ndo kwanza wanahangaika na madalali kimbiji
Abbas TarimbaWahuni wamepewa kesi hiyo ndio kariakoo nayoijua mimi muhuni ananunua kesi ikiisha analipwa maisha yanaendelea...
Abbas TarimbaMtaje
Ule mtaa wa Livingstone yale majengo ni ya vijana wa sasa hivi mazee...Abbas Tarimba
Haya ni mambo ya kisheria na siyo kupoteza muda. Sheria inataka masaa ambayo ni lazima mtuhumiwa afikishwe mahakamani ili apte ''huduma ya kwanza'' eg dhamana. Ni kama unapoumia na unapelekwa dispensary ya karibu kupata huduma ya kwanza.Haya ndio huwa maajabu ya kupotezeana muda wa serikali na hao washtakiwa.
Yaani muendesha mashtaka hawezi kuamua kupeleka kesi kwenye mahakana inayohusika ?
Ukiambiwa mtaje unaanza oo mie nilisikiaHao waliotajwa ni magumashi Tu hakuna mmiliki hapo hata hayo majina ni fake bado... mmiliki wa jengo anajulikana na yupo mtaani anadunda Tu