Wamiliki wawili wa Ghorofa lililoporomoka na kuua watu 29 Kariakoo wamepelekwa Mahabusu, mmoja apata dhamana

Sasa kama mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi walipelekwa hapo kufanya nini? Kwanini hawakupelekwa kwenye mahakama yenye mamlaka badala ya kupoteza muda na rasilimali zingine
nami huwa najiulizaga sana hilo swali hz sheria zngne hazinaga mantiki kwakwel,
 
wengine wanafanyaga kazi gani? miaka 38 ana gorofa kariakoo, wengine ndo kwanza wanahangaika na madalali kimbiji
Magorofa mengi kariakoo ni ya Urithi usiogope sana!!
 
Sasa kama mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi walipelekwa hapo kufanya nini? Kwanini hawakupelekwa kwenye mahakama yenye mamlaka badala ya kupoteza muda na rasilimali zingine
Huwa inashangaza sana huu mtindo, sijawahi kuelewa.
 
Sasa Ulitaka Akiwepo Mtaani Achuchumae Na Si Kudunda?
Mahakama ina siasa zake,na kuzielewa ni kazi lubwa sana ,maana saa zingine zinaweza mpaa mtu haki bila sababu yoyote ile ambae siyo muhusika!!
 
Haya ni mambo ya kisheria na siyo kupoteza muda. Sheria inataka masaa ambayo ni lazima mtuhumiwa afikishwe mahakamani ili apte ''huduma ya kwanza'' eg dhamana. Ni kama unapoumia na unapelekwa dispensary ya karibu kupata huduma ya kwanza.
Sasa kwa nini asipelekwe kwenye mahakama iliyo na uwezo wa kusikiliza kesi yake kisheria?
 
Sasa kwa nini asipelekwe kwenye mahakama iliyo na uwezo wa kusikiliza kesi yake kisheria?
Mahakama za juu zinakuwa busy na haziko kila sehemu. Huu utaratibu ni mzuri kwa sababu unalinda haki ya mtuhumiwa kupata dhamana kwa haraka japo CCM inautumia vibaya kukomoa wapinzani wake.
 
Hao waliotajwa ni magumashi Tu hakuna mmiliki hapo hata hayo majina ni fake bado... mmiliki wa jengo anajulikana na yupo mtaani anadunda Tu
Kabisa haiwezekani hawa wakawa wamiliki wa ghorofa hilo huyo mkristo na waislamu wawili huwa mambo hayawi hivyo. Wamekosea kwenye kutunga uongo wao waanze upya.
 
Kwamba wamiliki wa jengo la bil 3 wamekosa dhamana ya milioni 5. Au ni wabeba mizigo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…