Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

Naomba kujua, nataka kuanza kuuza Gesi za friji;
1. Maduka ya kuuza Gesi za friji kwa jumla yanapatikana maeneo gani jijini Dar es Salaam
2. Gesi za aina gani zinazotumika kwenye Friji, AC, na AC za magari na zipi zilizopitwa na wakati (yani R22 au R420 n.k.)
Kwq gari hapa Tanzania (dsm) system nyingi zinatumia r134a, some very few modern cars zinatumia r1234yf refrigerant, na kwa Ac za majumbani nyingi kwasasa ni r22a na r410a

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilirudi ila nimeondoka tena
Nina freezer langu nalipenda mno juzi nimelitonoa kwa bahati mbaya naomba kuuliza kama kuna ujuzi wa kuziba kama kuna mtaalamu humu aje inbox sitaki kusukiwa pipe.
 
Back
Top Bottom