Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

Nina fridge hicense dogo mlango mmoja juu linagandisha chini ndio ile kawaida...

Ninapoishi kuna tatizo la umeme mdogo nikawa nalitumia bila fridge guard.

Baadae nikanunua guard shida ni hii sasa

Nyakati za mchana umeme unakuwa vizuuur lakini fridge inaweza ikawaka sometime inazima lakini guard inaonesha umeme upo stable na ikizima inapoooza kabisa ukifungua vitu vyoote vimeyeyuka...

Yaani naweza nikaliacha on siku nzima umeme upo safi ila unakuta maji tu ndani ambayo imegandisha na ikayeyusha.. lakini kitambo ilikuwa ukiacha masaa 12 vitu unakuta jiwe na usiku unazima unaiwasha teena asubuh ipo safi.

Usiku huwa naizima kutokana na umeme unakuwa mdogo inashindwa kusukuma mzigo.

Sollution yake ni nin hii mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka volt regulator (stabilizer) kwakua wakaa eneo lenye umeme mdogo hii itasiadia kufanya fridge yako ipate umeme ambao upo within range inayotakiwa na fridge yako....

Kuhasu tatizo lako kwa jinsi ulivo elezea(ingawa sijui design ya fridge yako kama ni frost au non frost kwakua zina utofauti wa ufanyi kazi na hata diagnosis zake zinaweza tofautiana kulingana na components kua kidogo tofauti kiasi,

Now kwa case yako, possible causd inaeeta kua
1. Gas ndogo au
2. Timer inamisha fridge na inashindwa ruhusu frigde kuwaka
3. Check knob ya kuseti temperature na thermostat je inafanya kazi vizuri?

Na umesema kuna wakati baridi kwenye freezer ni kubwa wakat kwenye fridge ni mdogo..kama fridge yako ni non frost basi fridge yako inajaza barafu kwenye evaporator na ku restrict airflow...so maana yale hapa labda timer inashidwa kuzimisha fridge na kuwa heater kuyeyusha barafu ya evaporator, au temperature sensor ya evaporator imekufa, so check na fundi akuangalizie
 
Nina fridge hicense dogo mlango mmoja juu linagandisha chini ndio ile kawaida...

Ninapoishi kuna tatizo la umeme mdogo nikawa nalitumia bila fridge guard.

Baadae nikanunua guard shida ni hii sasa

Nyakati za mchana umeme unakuwa vizuuur lakini fridge inaweza ikawaka sometime inazima lakini guard inaonesha umeme upo stable na ikizima inapoooza kabisa ukifungua vitu vyoote vimeyeyuka...

Yaani naweza nikaliacha on siku nzima umeme upo safi ila unakuta maji tu ndani ambayo imegandisha na ikayeyusha.. lakini kitambo ilikuwa ukiacha masaa 12 vitu unakuta jiwe na usiku unazima unaiwasha teena asubuh ipo safi.

Usiku huwa naizima kutokana na umeme unakuwa mdogo inashindwa kusukuma mzigo.

Sollution yake ni nin hii mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka volt regulator (stabilizer) kwakua wakaa eneo lenye umeme mdogo hii itasiadia kufanya fridge yako ipate umeme ambao upo within range inayotakiwa na fridge yako....

Kuhasu tatizo lako kwa jinsi ulivo elezea(ingawa sijui design ya fridge yako kama ni frost au non frost kwakua zina utofauti wa ufanyi kazi na hata diagnosis zake zinaweza tofautiana kulingana na components kua kidogo tofauti kiasi,

Now kwa case yako, possible causd inaeeta kua
1. Gas ndogo au
2. Timer inamisha fridge na inashindwa ruhusu frigde kuwaka
3. Check knob ya kuseti temperature na thermostat je inafanya kazi vizuri?

Na umesema kuna wakati baridi kwenye freezer ni kubwa wakat kwenye fridge ni mdogo..kama fridge yako ni non frost basi fridge yako inajaza barafu kwenye evaporator na ku restrict airflow...so maana yale hapa labda timer inashidwa kuwasha fridge, au temperature sensor ya evaporator imekufa, so check na fundi akuangalizie
 
Weka volt regulator (stabilizer) kwakua wakaa eneo lenye umeme mdogo hii itasiadia kufanya fridge yako ipate umeme ambao upo within range inayotakiwa na fridge yako....

Kuhasu tatizo lako kwa jinsi ulivo elezea(ingawa sijui design ya fridge yako kama ni frost au non frost kwakua zina utofauti wa ufanyi kazi na hata diagnosis zake zinaweza tofautiana kulingana na components kua kidogo tofauti kiasi,

Now kwa case yako, possible causd inaeeta kua
1. Gas ndogo au
2. Timer inamisha fridge na inashindwa ruhusu frigde kuwaka
3. Check knob ya kuseti temperature na thermostat je inafanya kazi vizuri?

Na umesema kuna wakati baridi kwenye freezer ni kubwa wakat kwenye fridge ni mdogo..kama fridge yako ni non frost basi fridge yako inajaza barafu kwenye evaporator na ku restrict airflow...so maana yale hapa labda timer inashidwa kuwasha fridge, au temperature sensor ya evaporator imekufa, so check na fundi akuangalizie
Interesting 🙂...... unaeleza vyema hii sector ya refrigeration nimejifunza mengi kutoka kwako..

I'll be glad to know.....! kua.
Wewe ni certified technician au ni self learner?
 
Weka volt regulator (stabilizer) kwakua wakaa eneo lenye umeme mdogo hii itasiadia kufanya fridge yako ipate umeme ambao upo within range inayotakiwa na fridge yako....

Kuhasu tatizo lako kwa jinsi ulivo elezea(ingawa sijui design ya fridge yako kama ni frost au non frost kwakua zina utofauti wa ufanyi kazi na hata diagnosis zake zinaweza tofautiana kulingana na components kua kidogo tofauti kiasi,

Now kwa case yako, possible causd inaeeta kua
1. Gas ndogo au
2. Timer inamisha fridge na inashindwa ruhusu frigde kuwaka
3. Check knob ya kuseti temperature na thermostat je inafanya kazi vizuri?

Na umesema kuna wakati baridi kwenye freezer ni kubwa wakat kwenye fridge ni mdogo..kama fridge yako ni non frost basi fridge yako inajaza barafu kwenye evaporator na ku restrict airflow...so maana yale hapa labda timer inashidwa kuwasha fridge, au temperature sensor ya evaporator imekufa, so check na fundi akuangalizie
kak taaluma gan electrical.,mechanical au

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kiongozi, bahati mbaya sipo huko kwa sasa halafu pia sifanyagi kazi za individual. Ila naweza kukusaidia kutambua leakage

Fanya hiv

Chukua maji weka kwenye ndoo kisha changanya na sabuni (napendekeza ya unga kwasabab ya povu).

Ukishachanganya hakikisha unapata povu jingi.
Pia tafuta sponji au kipande cha godoro.

Washa friji lako na hakikisha compresor inafanya kazi.

Baada ya kuwasha sasa unaweza kuanza kazi ya kuitafuta hiyo leakage

Unachukua lile povu kwa sponji halafu unalikamulia kwenye viungio vyote bila kusahau ile sehem unayoingizia gesi.

Ukishakamulia lile povu kama kuna leakage lazima itaonekana.

Kwa msaada zaid ingekua vema uniambie huwa unaona dalili zipi mpaka unamuita fundi akujazie gesi (mafundi wetu muda mwingne sio waaminifu).

Ref na chiller huwa zina matatizo mengi na mengine yanataka kufanana dalili hivyo ni venga ungefunguka kodogo nikuambie wapi ukaguse kwenye friji lako
naomb kujifunzaa kwako up wap

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Interesting [emoji846]...... unaeleza vyema hii sector ya refrigeration nimejifunza mengi kutoka kwako..

I'll be glad to know.....! kua.
Wewe ni certified technician au ni self learner?
Self acquired knowledge and practitioner as DIY person.

NB: I am a tech enthusiast!

But I am a certified risk management expert in financial institutions.
 
Kwamfano unataka kununua fridge lamtumba ni kitu Gani inatakiwa uzingatie Ili usije ukauziwa fridge fake!? Ni kipi kitakujulisha kwamba hili fridge ni zuri na halimwagi maji!?
Fridge nyingi za mtumba wanachomea compressor... So unaweza kuta wanaweka compressor ndogo inayoshindwa kujaza ubaridi unaotakiwa ndani ya muda unaotakiwa (though this subject to heat load na level of insulation ya fridge na mahali utapoiweka panajoto kiasi gan kuruhusu condenser ifanye kazi vuzuri. Na kuweza kusave umeme as much as possible.

Sasa kuhusu unachokitaka maana yake unabidi upat fridge ambayo ni non frost, ambayo heater, timer,frost sensor pamoja na thermostat zote zinafanya kazi vile inavotakiwa..

Kuhusu kumwaga maji ni kwamba refrigeration system yoyote huwa ina mwaga maji pale panapokua na humidity kubwa kwenye cool surface lakini pia pale cool surface (evaporator) inapokua na barafu inayotokana moisture (angalia ac za majumbani utakuta inadondosha maji nje ikiwa unafanya kazi, ac za magari, au hata ukiweka maji ya baridi kwenye glass utakuta kwa nje ile glass kwa nje tayari inatengeneza maji, why because of temperature deference kati ya source ya baridi na surroundings palipo na high humidity)


Sasa namna ya kuepuka maji kwenye fridge yanayotokana na moisture ni kuhakikisha mlango wa fridge haubaki wazi kwa muda mrefu... Mlango wa fridge ukibaki wazi huruhusu moisture kuingia na moisture kwakua inakua na elements za maji huenda kutengeneza barafu kwenye evaporator...

Lakini pia kwa fridge zilizo vizuri zinakuja na mechanisms ya ku handle situations kama hizi ili kuhifadhi maji yanayotengenezwa na fridge.. ndo issues ya heater, frost sensor na timer zinapokuja kufanya kazi yake sasa.. ina maana utakuta fridge nyuma ya compressor kuna container ya kupokea maji pale fridge inapo washa Heater kuondoa barafu kwenye evaporator, so barafu itayeyuka yale maji yatashuka kwenye container iloyo nyuma ya fridge.. hivo occasionally mtu unaweza kua unaangalia kama kile ki container kina maji au lah.. but hii hali ni mara chache kutokea kam hauna tabia ya kuacha mlango wa fridge wazi kwa muda mrefu.

Ukinunua fridge ya mtumba ambayo ni frost basi hii changamoto utakua nayo hasa ukiwa unaweka vitu vikiwa vinachuruzika maji ndani ya fridge.. na hasa umeme ukikatika.

Wauzaji wakupe warranty, kawashe fridge, weke thermostat kwenye setting ndongo hata number 1 ili fridge ifanye kazi muda mfupi kutest kwanza thermostat inafanya kazi au lah...

Mbili hakikisha fridge ina timer na timer inafanya kazi(kama timer ni ya manual unaweza test kirahisi.. wawashe fridge then azungushe timer manually mpaka fridge izimike then awashe kwa kuzungusha timer, hapa itakusaidia kujua uzima wa timer na wiring ya hiyo fridge used.

Issue ya heater kama inafanya kazi kwa pale si rahisi kuingundua unless uwefundi afungue na a test resistance ya heater kama ipo sawa na sensor yake.. unless uende utumie smbapo fungua mlango wa frigde uku ikiwa on kama dakika tano ili ijaze moisture ndani (upande wa freezer) then funga acha ifanye kazi mpaka evaporator itapo jaa barafu, alafu angalia je vitu ndani ya freezer vimeanza kuganduka/ubaridi umeanza pungua huku compressor inafanya kazi/huku fridge inaunguruma? kama ni hivo maana yake barafu imejaa na fen ndani ya freezer inashindwa kusukuma upepo wa kutosha kwakua evaporator imejaa barafu.. so maana yakr hapa either heater au sensor ya heater au vyote kwa pamoja havifanyi kazi. (So ukiwa na warranty kwa case kama hii ni kwamba unaweza rudisha fridge au ukawambia wakutengenezee)
 
Pia kama una AC, hapa panakuhusu.

Twende moja kwa moja kwenye mada. Watu wengi tunamiliki majokofu au friji lakini tunauelewa mdogo juu ya utendaji wa hichi kifaa. Kimsingi, kama mtumiaji hautakiwi kuwa na uelewa sana juu ya utendaji wa jokofu lako. Wataalamu au mafundi wanaohudumia jokofu lako wakati wa matatizo ndio wanatakiwa wawe na uelewa na wakupe miongozo mbalimbali juu ya kifaa chako. Kwa bahati mbaya sana, mafundi wengi wa majokofu hawana uelewa huo. Hapa ndipo tatizo linapoanzia na kukulazimu mmiliki wa jokofu uwe na ABC fulani juu ya kifaa chako, kitu ambacho si cha lazima sana. Na hapo ndipo nilipoona kuna haja ya kuleta kwenu uzi huu.

Kiini cha uzi huu ni kuhusu tatizo la ujazaji wa gesi kwenye majokofu yetu Pamoja na AC za majumbani kwetu.

Ili tuweze kuelewana vizuri, naomba nielezee jinsi mfumo wa upoozaji ndani ya jokofu unavyofanya kazi.

Kimsingi mfumo wa upoozaji kwenye jokofu lako una sehemu kuu kama tatu hivi. Yaani COMPRESSOR, CONDENSER, NA EVAPORATOR.

Compressor kazi yake ni kuisukuma gesi iweze kuzunguka kwenye mfumo wa upoozaji. Inaisukuma gesi kwenda kwenye EVAPORATOR, ikitoka kwenye EVAPORATOR inaenda kwenye CONDENSER na kurudi tena kwenye COMPRESSOR, mzunguko unaanza tena na kuendelea. CONDENSER na EVAPORATOR ni mirija au tube katika muundo wa zigizaga zilizotengenezwa kwa shaba au malighafi nyingine yoyote inayoweza kubadilishana jotoridi kwa wepesi kama kielelezo cha mchoro kinavyoonyesha hapo chini.

View attachment 2278705
Wakati gesi inafanya mzunguko au inazungushwa kati ya CONDENSER na EVAPORATOR ndipo inapofanya upoozaji. EVAPORATOR huwa iko ndani ya jokofu, yaani mule kwenye kabati ya baridi. CONDENSOR huwa nje ya jokofu upande wa nyuma. Gesi wakati inazunguka, ikipita kwenye EVAPORATOR inachukua lile joto na kwenda nalo nje kwenye CONDENSOR. Ikifika kwenye CONDENSOR inaliachia lile joto na gesi kuwa imepoa, inarudi tena kwenda kukusanya joto ndani ya jokofu na kulileta nje na kuliachia. Kwa gesi kufanya mzunguko huo na kazi ya kutoa joto ndani ya jokofu, ndani ya jokofu hubaki na ubaridi. Hapo chini kuna kielelezo cha picha
kikionyesha jinsi mpangilio wa COMPRESSOR, EVAPORATOR, na CONDENSER unavyokuwa kwenye jokofu.



View attachment 2278707

GESI

Tumeona kwamba, gesi kwenye jokofu kazi yake ni kuzunguka, kuchukua joto ndani ya jokofu na kulileta nje na kuliachia. Inasukumwa kurudi ndani kuchukua tena joto kupitia EVAPORATOR, inakujanalo nje na kuliachia kupitia CONDENSER.

TAMBUA

Katika hali ya kawaida, gesi katika jokofu lako haitakiwi kuisha. Tumeona hapo juu jinsi gesi inavyofanya kazi ndani ya jokofu lako. Haiungui kama mafuta ya gari tuseme kwamba inaisha. Gesi ipo kwenye mzunguko wa mduara ambao umefungwa na hufanya kazi kupitia mirija kama tulivyoelezana hapo juu. Yaani unaweza ukazaliwa mpaka unazeeka, jokofu lako likawa linapoza kama kawaida. Na bahati mbaya sana mafundi wengi wa mifumo ya kupooza hawajui kwamba gesi haitakiwi kuisha katika hali ya kawaida.

Sababu moja kubwa ya kuisha gesi kwenye jokofu ni kuvuja kwa gesi. Pale ambapo kunakuwa na tundu kwenye mfumo wa mzunguko wa gesi na gesi kuanza kuvuja.

Kwanza fundi anatakiwa atatue tatizo la kuvuja kwa gesi ndipo ajaze gesi kwenye kifaa chako. Tofauti na hapo anakupa suluhu ya muda mfupi tu kwa kujaza gesi bila kuzuia kuvuja. Baada ya muda mfupi utamtafuta akujazie tena gesi. Kisheria huu ni wizi. Yawezekana wanafanya makusudi, inawezekana pia hawajui kwamba lazima kutakuwa na tatizo la gesi kuvuja sababu katika hali ya kawaida gesi haitakiwi kuisha. Pia inawezekana fundi anajua ila hataki kujisumbu. Au anajua ila anauhakika hutamlipa gharama za kutafuta leakage au panapovuja.

Kama una jokofu lako ambalo unajaza gesi kila baada ya muda Fulani, sasa ni wakati wa kulitengeneza na kuzuia kuvuja ili kuepuka gharama zisizo za lazima. Fundi anatakiwa atafute gesi inapovujia, adhibiti hiyo sehemu. Baada ya hapo atafanya majaribio ya kuhakiki kama mfumo hauna sehemu inayovujisha gesi. Jaribio hilo atalifanya kabla ya kujaza gesi. Na jaribio hilo la kuhakiki afya ya mfumo linaitwa ‘pressure test’. Baada ya kufanya pressure test na kujiridhisha afya ya mfumo wa upoozaji, atafanya ‘vacuum’. Hapa ataondoa hewa iliyoingia kwenye mfumo wa upoozaji. Sababu baada ya gesi kuvuja na kuisha, hewa ya kawaida huchukua nafasi na kuingia kwenye mfumo. Hii hewa haitakiwi. Endapo gesi itajazwa bila kutoa hewa iliyoingia, ufanisi wa gesi kupooza utapungua na utashangaa kwamba jokofu langu sikuhizi halipoozi vizuri. Ni kama mafuta ya gari uchanganye na kimiminika kingine. Lazima ufanisi wa mafuta utapungua. Ndani ya mfumo wa kupooza inatakiwa iingie gesi peke yake ili ifanye kazi kwa ufanisi wa juu.

Katika pitapita yangu na kukutana na mafundi wa mifumo ya kupooza, sikumbuki kumuona fundi ana ‘vacuum pump’. Yaani pump au kifaa cha kuondolea hewa kwenye mfumo wa kupooza wa jokofu au AC.

Nawatakia upambanaji mwema.



Wakatabahu

Infopaedia
Mbna mchoro wako unaonesha inaanzia condenser na sio evaporator ...yani gas ikitoka kwenye evaporator inaingia kwenye chungu
 
Pia kama una AC, hapa panakuhusu.

Twende moja kwa moja kwenye mada. Watu wengi tunamiliki majokofu au friji lakini tunauelewa mdogo juu ya utendaji wa hichi kifaa. Kimsingi, kama mtumiaji hautakiwi kuwa na uelewa sana juu ya utendaji wa jokofu lako. Wataalamu au mafundi wanaohudumia jokofu lako wakati wa matatizo ndio wanatakiwa wawe na uelewa na wakupe miongozo mbalimbali juu ya kifaa chako. Kwa bahati mbaya sana, mafundi wengi wa majokofu hawana uelewa huo. Hapa ndipo tatizo linapoanzia na kukulazimu mmiliki wa jokofu uwe na ABC fulani juu ya kifaa chako, kitu ambacho si cha lazima sana. Na hapo ndipo nilipoona kuna haja ya kuleta kwenu uzi huu.

Kiini cha uzi huu ni kuhusu tatizo la ujazaji wa gesi kwenye majokofu yetu Pamoja na AC za majumbani kwetu.

Ili tuweze kuelewana vizuri, naomba nielezee jinsi mfumo wa upoozaji ndani ya jokofu unavyofanya kazi.

Kimsingi mfumo wa upoozaji kwenye jokofu lako una sehemu kuu kama tatu hivi. Yaani COMPRESSOR, CONDENSER, NA EVAPORATOR.

Compressor kazi yake ni kuisukuma gesi iweze kuzunguka kwenye mfumo wa upoozaji. Inaisukuma gesi kwenda kwenye EVAPORATOR, ikitoka kwenye EVAPORATOR inaenda kwenye CONDENSER na kurudi tena kwenye COMPRESSOR, mzunguko unaanza tena na kuendelea. CONDENSER na EVAPORATOR ni mirija au tube katika muundo wa zigizaga zilizotengenezwa kwa shaba au malighafi nyingine yoyote inayoweza kubadilishana jotoridi kwa wepesi kama kielelezo cha mchoro kinavyoonyesha hapo chini.

View attachment 2278705
Wakati gesi inafanya mzunguko au inazungushwa kati ya CONDENSER na EVAPORATOR ndipo inapofanya upoozaji. EVAPORATOR huwa iko ndani ya jokofu, yaani mule kwenye kabati ya baridi. CONDENSOR huwa nje ya jokofu upande wa nyuma. Gesi wakati inazunguka, ikipita kwenye EVAPORATOR inachukua lile joto na kwenda nalo nje kwenye CONDENSOR. Ikifika kwenye CONDENSOR inaliachia lile joto na gesi kuwa imepoa, inarudi tena kwenda kukusanya joto ndani ya jokofu na kulileta nje na kuliachia. Kwa gesi kufanya mzunguko huo na kazi ya kutoa joto ndani ya jokofu, ndani ya jokofu hubaki na ubaridi. Hapo chini kuna kielelezo cha picha
kikionyesha jinsi mpangilio wa COMPRESSOR, EVAPORATOR, na CONDENSER unavyokuwa kwenye jokofu.



View attachment 2278707

GESI

Tumeona kwamba, gesi kwenye jokofu kazi yake ni kuzunguka, kuchukua joto ndani ya jokofu na kulileta nje na kuliachia. Inasukumwa kurudi ndani kuchukua tena joto kupitia EVAPORATOR, inakujanalo nje na kuliachia kupitia CONDENSER.

TAMBUA

Katika hali ya kawaida, gesi katika jokofu lako haitakiwi kuisha. Tumeona hapo juu jinsi gesi inavyofanya kazi ndani ya jokofu lako. Haiungui kama mafuta ya gari tuseme kwamba inaisha. Gesi ipo kwenye mzunguko wa mduara ambao umefungwa na hufanya kazi kupitia mirija kama tulivyoelezana hapo juu. Yaani unaweza ukazaliwa mpaka unazeeka, jokofu lako likawa linapoza kama kawaida. Na bahati mbaya sana mafundi wengi wa mifumo ya kupooza hawajui kwamba gesi haitakiwi kuisha katika hali ya kawaida.

Sababu moja kubwa ya kuisha gesi kwenye jokofu ni kuvuja kwa gesi. Pale ambapo kunakuwa na tundu kwenye mfumo wa mzunguko wa gesi na gesi kuanza kuvuja.

Kwanza fundi anatakiwa atatue tatizo la kuvuja kwa gesi ndipo ajaze gesi kwenye kifaa chako. Tofauti na hapo anakupa suluhu ya muda mfupi tu kwa kujaza gesi bila kuzuia kuvuja. Baada ya muda mfupi utamtafuta akujazie tena gesi. Kisheria huu ni wizi. Yawezekana wanafanya makusudi, inawezekana pia hawajui kwamba lazima kutakuwa na tatizo la gesi kuvuja sababu katika hali ya kawaida gesi haitakiwi kuisha. Pia inawezekana fundi anajua ila hataki kujisumbu. Au anajua ila anauhakika hutamlipa gharama za kutafuta leakage au panapovuja.

Kama una jokofu lako ambalo unajaza gesi kila baada ya muda Fulani, sasa ni wakati wa kulitengeneza na kuzuia kuvuja ili kuepuka gharama zisizo za lazima. Fundi anatakiwa atafute gesi inapovujia, adhibiti hiyo sehemu. Baada ya hapo atafanya majaribio ya kuhakiki kama mfumo hauna sehemu inayovujisha gesi. Jaribio hilo atalifanya kabla ya kujaza gesi. Na jaribio hilo la kuhakiki afya ya mfumo linaitwa ‘pressure test’. Baada ya kufanya pressure test na kujiridhisha afya ya mfumo wa upoozaji, atafanya ‘vacuum’. Hapa ataondoa hewa iliyoingia kwenye mfumo wa upoozaji. Sababu baada ya gesi kuvuja na kuisha, hewa ya kawaida huchukua nafasi na kuingia kwenye mfumo. Hii hewa haitakiwi. Endapo gesi itajazwa bila kutoa hewa iliyoingia, ufanisi wa gesi kupooza utapungua na utashangaa kwamba jokofu langu sikuhizi halipoozi vizuri. Ni kama mafuta ya gari uchanganye na kimiminika kingine. Lazima ufanisi wa mafuta utapungua. Ndani ya mfumo wa kupooza inatakiwa iingie gesi peke yake ili ifanye kazi kwa ufanisi wa juu.

Katika pitapita yangu na kukutana na mafundi wa mifumo ya kupooza, sikumbuki kumuona fundi ana ‘vacuum pump’. Yaani pump au kifaa cha kuondolea hewa kwenye mfumo wa kupooza wa jokofu au AC.

Nawatakia upambanaji mwema.



Wakatabahu

Infopaedia
Mbna mchoro wako unaonesha inaanzia condenser na sio evaporator ...yani gas ikitoka kwenye evaporator inaingia kwenye chungu
 
Fridge nyingi za mtumba wanachomea compressor... So unaweza kuta wanaweka compressor ndogo inayoshindwa kujaza ubaridi unaotakiwa ndani ya muda unaotakiwa (though this subject to heat load na level of insulation ya fridge na mahali utapoiweka panajoto kiasi gan kuruhusu condenser ifanye kazi vuzuri. Na kuweza kusave umeme as much as possible.

Sasa kuhusu unachokitaka maana yake unabidi upat fridge ambayo ni non frost, ambayo heater, timer,frost sensor pamoja na thermostat zote zinafanya kazi vile inavotakiwa..

Kuhusu kumwaga maji ni kwamba refrigeration system yoyote huwa ina mwaga maji pale panapokua na humidity kubwa kwenye cool surface lakini pia pale cool surface (evaporator) inapokua na barafu inayotokana moisture (angalia ac za majumbani utakuta inadondosha maji nje ikiwa unafanya kazi, ac za magari, au hata ukiweka maji ya baridi kwenye glass utakuta kwa nje ile glass kwa nje tayari inatengeneza maji, why because of temperature deference kati ya source ya baridi na surroundings palipo na high humidity)


Sasa namna ya kuepuka maji kwenye fridge yanayotokana na moisture ni kuhakikisha mlango wa fridge haubaki wazi kwa muda mrefu... Mlango wa fridge ukibaki wazi huruhusu moisture kuingia na moisture kwakua inakua na elements za maji huenda kutengeneza barafu kwenye evaporator...

Lakini pia kwa fridge zilizo vizuri zinakuja na mechanisms ya ku handle situations kama hizi ili kuhifadhi maji yanayotengenezwa na fridge.. ndo issues ya heater, frost sensor na timer zinapokuja kufanya kazi yake sasa.. ina maana utakuta fridge nyuma ya compressor kuna container ya kupokea maji pale fridge inapo washa Heater kuondoa barafu kwenye evaporator, so barafu itayeyuka yale maji yatashuka kwenye container iloyo nyuma ya fridge.. hivo occasionally mtu unaweza kua unaangalia kama kile ki container kina maji au lah.. but hii hali ni mara chache kutokea kam hauna tabia ya kuacha mlango wa fridge wazi kwa muda mrefu.

Ukinunua fridge ya mtumba ambayo ni frost basi hii changamoto utakua nayo hasa ukiwa unaweka vitu vikiwa vinachuruzika maji ndani ya fridge.. na hasa umeme ukikatika.

Wauzaji wakupe warranty, kawashe fridge, weke thermostat kwenye setting ndongo hata number 1 ili fridge ifanye kazi muda mfupi kutest kwanza thermostat inafanya kazi au lah...

Mbili hakikisha fridge ina timer na timer inafanya kazi(kama timer ni ya manual unaweza test kirahisi.. wawashe fridge then azungushe timer manually mpaka fridge izimike then awashe kwa kuzungusha timer, hapa itakusaidia kujua uzima wa timer na wiring ya hiyo fridge used.

Issue ya heater kama inafanya kazi kwa pale si rahisi kuingundua unless uwefundi afungue na a test resistance ya heater kama ipo sawa na sensor yake.. unless uende utumie smbapo fungua mlango wa frigde uku ikiwa on kama dakika tano ili ijaze moisture ndani (upande wa freezer) then funga acha ifanye kazi mpaka evaporator itapo jaa barafu, alafu angalia je vitu ndani ya freezer vimeanza kuganduka/ubaridi umeanza pungua huku compressor inafanya kazi/huku fridge inaunguruma? kama ni hivo maana yake barafu imejaa na fen ndani ya freezer inashindwa kusukuma upepo wa kutosha kwakua evaporator imejaa barafu.. so maana yakr hapa either heater au sensor ya heater au vyote kwa pamoja havifanyi kazi. (So ukiwa na warranty kwa case kama hii ni kwamba unaweza rudisha fridge au ukawambia wakutengenezee)
Na vipi kuhusu non frost nnasikia zinatafuna sana umeme je ni kweli?
 
Shukrani Sana wazee. Nimejifunza. Je kampuni gani nzuri Kwa matumizi ya nyumbani?.
 
Na vipi kuhusu non frost nnasikia zinatafuna sana umeme je ni kweli?
Si kweli mkuu.. unless thermostat isiwe inafanya kazi,au ges iwe ndogo na kufanya kompresa iwe inafanya kazi muda wote bila kupunzika (kumbuka compressor ndo inayotumia 95% ya umeme kwenye fridge so kompresa isipo punzika kwasababu ya either thermostat ni mbovu au thermostat ume set kwenye namba kubwa mfano 4 mpaka 7, au fridge yako ipo mahala kuna joto sana kiasi kwamba joto linapotea haraka kwenye compartment ya fridge, au milango ya fridge inafunguliwa muda mrefu)

jua kua non frost fridges zipo energy efficient kuliko frost fridges. Pia una option ya kuchagua inverter na non inverter fridges non frost.. ukiwa na Inverter fridge maana yake inakula umeme mdogo ila changamoto ni ikiharibika.. ni kama inverter air-conditioners.

Usiogope nunua fridge mkuu ya non frost... Brands zipo nyingi.. kuna Samsung, Lg, Hisense, Ivon, na nyingine nyingi ila hizo nilizo mention awali kwakua ni brand famous kidogo bei imechangamka.
 
Si kweli mkuu.. unless thermostat isiwe inafanya kazi,au ges iwe ndogo na kufanya kompresa iwe inafanya kazi muda wote bila kupunzika (kumbuka compressor ndo inayotumia 95% ya umeme kwenye fridge so kompresa isipo punzika kwasababu ya either thermostat ni mbovu au thermostat ume set kwenye namba kubwa mfano 4 mpaka 7, au fridge yako ipo mahala kuna joto sana kiasi kwamba joto linapotea haraka kwenye compartment ya fridge, au milango ya fridge inafunguliwa muda mrefu)

jua kua non frost fridges zipo energy efficient kuliko frost fridges. Pia una option ya kuchagua inverter na non inverter fridges non frost.. ukiwa na Inverter fridge maana yake inakula umeme mdogo ila changamoto ni ikiharibika.. ni kama inverter air-conditioners.

Usiogope nunua fridge mkuu ya non frost... Brands zipo nyingi.. kuna Samsung, Lg, Hisense, Ivon, na nyingine nyingi ila hizo nilizo mention awali kwakua ni brand famous kidogo bei imechangamka.
Shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom