Huyu jamaa huwa namsoma sana. Sielewi anayatoa wapi haya. Huwa sijui ni dini gani maana ni kama amewahi sali dini zote hizo. Najiuliza huo muda na haya anayoandika. Huwa sielewi kwa kweli hizi dini hizi kama ni kweli sisi wengine tutapata shida sana kwa kweli