Wamjua kiongozi aliyeliliwa na jamii baada ya kuiletea maendeleo?

Dogo unaongelea maendeleo gani,,
Au unajifunza kuandika insha
 
Dogo sisi jamii zetu wengine tumeendelea kabla ya Uhuru, we umetoka porini umejua maendeleo juzi unapinga makelele humu
 
Kwenye kiswahili hapo yupo sahahihi yeye ametumia lahaja ya Kimtang'ata na wewe umetumia lahaja ya Shungwaya na Shupate wote mko vizur nawapongezeni
 
Hakuna mtu ataliliwa na jamii kama Magu
Tena kilio na msiba wa magu bado kwa kuwa siku zinavyo kwenda ndiyo watz wataanza kumlilia sana kuliko siku ya msiba hata walio shangilia kifo chake wataanza kujutia very very soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…