Uchaguzi 2020 Wana ACT-Wazalendo wamuandikia Barua Msajili wa Vyama vya Siasa kumwambia Maalim na Zitto wamepoteza sifa za kuwa wanachama wa ACT-Wazalendo

kwa hyo walivyoona membe ni mamluki .
Zito na maalim seif wakaamua kumuunga mkono lisu?.
vipi wanachama wengine wa act WAZALENDO wampigie kura NANI?..
unadhani kura zao mbili za maalim seif na zito zitabadilisha matokeo yoyote kwenye uchaguzi?.
VIPI IKATOKEA MEMBE AKASHINDA UCHAGUZI AKAWA RAIS?AKILI SIO PAMBO ZITUMIE KUFIKIRI
Uwez kujua waligundua nn huko ndani ya vikao vyao

Tusiwape lawama tu, au tusijione sisi wa nje tunaakili nyingi kuliko wao
 

Mbona maalif alishaongea vizuri kabisa
Since day one membe alishaambiwa ishu ya kumuunga mkono Lisu kama ikitokea
Na yy alikubali

IIshu nyingine Membe hafanyi kampen Hana ela wakati alidanganya wenzake kuwa ataenda kwa marafiki zake Atapewa bilion 4

Sasa ela Hana, kampen hafanyi, yuko tu na waandishi wa Habari kila siku je ww ungefanya nn kama ungekuwa ni maalim?
 
Kuelekea dakika ya 89

Hili goli limefungwa dakika imeenda ya 80
Hakuna cha goli hapo, wakitaka Z'bar iingie katika Chaos wamuengue Maalim Saif dakika hizi ndio utawajua wazanzibar walipoamkia baada ya awamu hii
 
Sasa kumuunga mkono lisu vipi wakati act wameweka mgombea wao .
Hivi Leo hii atokee kiongozi yeyote wa act WAZALENDO huko Zanzibar aseme anamuunga mkono mwinyi.
Huyo maalim atakubali?.
 

Upumbavu huu. Utopolo na ujinga uliopitiliza.
 
Na Kama ishu ni kumuunga mkono lisu ilitakiwa iwe NI msimamo wa Chama Cha act WAZALENDO wote sio watu wawili..
Na isitoshe katiba yao ya ACT WAZALENDO IMESHAWABANA.
watasema nini?
 
Na Kama ishu ni kumuunga mkono lisu ilitakiwa iwe NI msimamo wa Chama Cha act WAZALENDO wote sio watu wawili..
Na isitoshe katiba yao ya ACT WAZALENDO IMESHAWABANA.
watasema nini?
Umebanwa na mavi, tangu lini chama kizima kikaamuwa mambo wakati viko vyombo vimekasimiwa madaraka?

Maamuzi ya kumuunga mkono Lisu ni uamuzi wa kamati ya uongozi yeye mamlaka kwa mujibu wa katiba ya ACT.
 
Na Kama ishu ni kumuunga mkono lisu ilitakiwa iwe NI msimamo wa Chama Cha act WAZALENDO wote sio watu wawili..
Na isitoshe katiba yao ya ACT WAZALENDO IMESHAWABANA.
watasema nini?

Ndio maana maalim amesema kwenye kikao cha kamati kuu ya chama kilishaamua na Membe alikuwepo na alikubali

Pili msajili wa vyama Hana uwezo wa kumvua mtu uanachama wa chama chochote

Chenye kuvua uanachama ni kamati kuu ya chama, Sasa hiyo kamati kuu ya chama ambayo itamvua uanachama maalim na Zito ni ipi?
 
Sasa kumuunga mkono lisu vipi wakati act wameweka mgombea wao .
Hivi Leo hii atokee kiongozi yeyote wa act WAZALENDO huko Zanzibar aseme anamuunga mkono mwinyi.
Huyo maalim atakubali?.
Ona unavyoweweseka, Mwinyi ni kibaraka wa Tanganyika.

Chaguo ls Wazanzibar ni Maalim.
 
Membe alikubali kumuunga mkono lisu?
 
ikifuatwa sheria na jinsi ilivoandikwa kwa usomi wa hali ya juu hao vijana wa ACT wapo sawa.katiba imekiukwa na hio ngoma hutoboi hata ukasimame korti yoyote duniani.
hao vijana wapo sahihi ukiisoma bila kuwa bayas upande wowote ule una ona kabisa viongozi waliklash katiba
 
Huyo zito mnayemtetea ataivuruga act na atawavuruga chadema.
Umebanwa na mavi, tangu lini chama kizima kikaamuwa mambo wakati viko vyombo vimekasimiwa madaraka?

Maamuzi ya kumuunga mkono Lisu ni uamuzi wa kamati ya uongozi yeye mamlaka kwa mujibu wa katiba ya ACT.
 
Yaani kipindi kama hiki kwa wale masikini wa kisiasa wasipokuwa na maisha bora basi wasubiri kufa kihoro.

Yaani chenga ni nyingi sanaa, sasa watu kama hawa wawili sijui wamekula shs ngapi do..!!
ukiwa bayas lazima useme haya.nakushauri rudi ukae usomee vipengele useme kipi kimevunjwa kipi sio sawa bayas iweke pemben
 
Ikiwa Katiba ya ACT inazungumza hivyo basi na hao wawili wanaojiita Wanachama wa ACT na wao sio Wanachama tena.

Wanapo-omba wagombea wao waondoshwe kugombea ili wagombea wa vyama vingine wapite.
Hicho hicho wanachokilalamikia na wao ndicho wanachofanya.

Unaomba wagombea wa chama chako waondoshwe ili wagombea wa vyamba vingine washinde- hii haiwezi kuwa mapenzi kwa chama chako.
 
Bora wewe unesema kweli.
Ila hwa jamaa wa chadema uwa WANAJIONA WAKO SAHIHI SABABU NI JAMBO LA UPANDE WAO.
na hicho ndo kitu kinachowaponza chadema KUJIONA WAKO SAHIHI ZAIDI KULIKO WENZAO.
mtu katiba ya ACT anaiona kuhusu mtu wa act WAZALENDO kumuunga mkono mgombea wa chama kingine.
Cha ajabu mtu anapinga
 
mr mdudu yu a toking tu mach .em rudi usome vizur hio barua acha bayas.
pointi aut wap famba maana naona kila kipengele kime kotiwa kabisa
mim kama mwanasheria hio kes naikimbia sion lup holi popote
 
Hapo act WAZALENDO kinachotokea sasa hivi ni KUVURUGANA..
Chama kimebaki hakielewi kishike wapi
 
Maalim seif hata alivyokuwa kule cafu utetezi wake wakati anavunja katiba utasikia kamati kuu ndio iliyoridhia
Kamati iliyojaa misukule yake kutokea cafu mbaka ACT wanatumia akili zile zile za cafu cafu bado awajajifunza kuheshimu KATIBA
Katiba ya Act inatamka mbaka mkutano mkuu wa wanachama ndio utoe ridhaa kwa kamati kuu ya chama
Leo Maalim seif anakwepa mkutano mkuu kwa mujibu wa katiba
Anasema kamati kuu imeshaamua na membe alikuwepo
Ndio katiba ya Act inavyosema Lah,babu asomi katiba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…