Hawajitambui chochote wangejitambua wangewaongeza kwenye listi yao yule mzee wa kiraracha pamoja na yule wa mapesa japo naye kwa sasa mmmmm bac tuHawa wanachama wanajitambua. Sio kama hawa wengine mazwazwa yanayopelekeshwa na kibaraka wa mabeberu yanayoshindwa kuhoji hata mambo madogo tu ambayo kila kukicha viongozi wao wanayaropoka kinyume na katiba ya chama chao na kinyume na katiba ya nchi.
hayo sasa ni matokeo sisi tunaangalia PIFIRAC hapa kesi hio ngumu mim kama lawyer siwez kuichukua labda wawe na katiba mbili mbili
Nashangaa watu wanamlaumu Membe wakati tatizo ni umamluki wa Zito.Kwani hujasoma katiba ya ACT wazalendo? Zitto mjanja kamwingiza Maalim Seif chaka kwa sababu katiba katunga yeye halafu ni mamluki kamtuma Maalim avunje katiba ili ajivue uanachama aindolewe kagombea.
Kuweni makini na Zitto.
Aliitwa Ikulu huyo pengine alishapewa ahadi ya cheo.Na baada ya mchanganyo mkali ndipo mtakapo baini kwamba kumbe hata maalim seif nae si mpinzani bali ni plan B
UJINGA NI WA ZITO.
hata Kama alikuwa anamuunga mkono lisu.
Kulikuwa na haja gani kutangaza hadharani?.
Wakati huo huo na yeye amemsimamisha mgombea wa urais kwenye chama chake ambaye ni membe..
Chadema ni watu wa ajabu Sana.
Kipindi kile zito walikuita msaliti.
Lakini leo katangaza kumuunga mkono lisu
Wanamuita SHUJAA.
Sasa CCM ndio waliotunga katiba ya ACT? Waliovunja katiba ya chama chao NI ccm? Na waliotoa mashitaka wametumia vifungu vya katiba ya ccm au katiba ya inchi? Sasa ccm inaingiaje HAPA? Wakati akina zito na malimu seifu wanavunja katiba ya chama chao walisimamiwa na ccm? Makosa mkosee nyie halafu alaumiwe ccm, hivi kwa nini?
Kwani ukikiunda Chama na kukisimamia ktk kukijenga, hiyo ndiyo ticket ya kukivunjia Katiba yake??Wapumbavu kweli
Wakati watu wanaunda chama wao walikuwa wapi?
Wapuuzi wakubwa Sana watu wamekipigania chama from the scratch leo mnaleta upuuzi wenu baada ya kununuliwa na CCM.
Huu upumbavu muuachage jamen..
ACT wavunje katiba, kisha wanachama wao wakihoji uilaumu ccm?
Ndio maana Mbowe alibadili hadi kipengele cha ukomo wa mwenyekiti na bado mkaendelea kushangilia kumbe watu wenyewe ni wajinga namna hii!?
Hii tabia ya wapinzani kuwa na migogoro inayoletwa na ujinga wao kisha kuilamu ccm, ni ujinga ndio maana wanachi wataendelea kuwaweka benchi.
Hapo kabla hata ya Membe hajaja ACT ila ajabu analaumiwa Membe.Katiba si yao? Si walitunga wao? Sasa shida ni nn? Ishu ya ndani tu na kumaliza?
Zito alisema kura yake ni kwa Lisu, na kama unakumbuka hata Membe aliwahi kusema swala la kuungana bado wanaliongea means sio jambo jipya kwao
Membe alitumwa kuvuruga tu Hana lolote but kosa la ccm kwenye hii mission ni kuwa hawakumpa ela membe
Suppose imeandikwa kweli na msajili kama unavyojiridhisha. Je, "ni uongo" kwamba Katiba yao imevunjwa na hao Viongozi wao?? Maana msirusherushe shutuma tu na ukweli mkauachaHakuna shaka lolote kuwa hii barua imeandikwa na ofisi ya msajili yenyewe.
Kumbuka hata Seif ni mhamiaji
Hawajavunja.Maalim na Zitto wamevunja Katiba au lah?
Hapo kabla hata ya Membe hajaja ACT ila ajabu analaumiwa Membe.View attachment 1610340
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama utani tu, unashangaa mtu mzima kalambishwa mchanga!
Wamedanganya kwa sababu, kumuunga mkono Lissu, kuliamuliwa ndani ya vikao halali vya chama.Broo! Nauliza kuwa hao wanachama halali wa ACT wazalendo wamedanganya hizo allegations dhidi ya Maalimu Seifu Sharrif Hamad na Ndugu Zuberi Zitto Luyagwa Kabwe hazipo sawa kwa mjibu wa katiba ya ACT wazalendo?
Unasema ajenda iliyopo Ni kuing'oa CCM madarakani, kwani ili mchakato huu wa kuing'oa CCM madarakani ufanikiwe Ni sharti mvunje kanuni na katiba za vyama vyenu? Je, ni sawa na Ni halali kuvunja katiba ya taasisi?
LETA HATA HIYO REPORT UNAYOITA YA VIKAO HALALIWamedanganya kwa sababu, kumuunga mkono Lissu, kuliamuliwa ndani ya vikao halali vya chama.
Maazimio yapo, nayalifanyika kuleta humu simahala pake. Lakini tambua vikao halali ndio viliamua, na Membe nahao vibaraka wake wanajua.LETA HATA HIYO REPORT UNAYOITA YA VIKAO HALALI
Kumbuka kwa mujibu wa Katiba ya ACT mkutano mkuu kumpitisha Membe ulifanyika na utakutana Baada ya miezi 60
Leta hayo maazimio yenu
5.3 Ndugu Msajili, maamuzi ya ushirikiano na vyama vingine vya siasa ikiwa ni pamoja na kuunganisha Chama kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ni moja ya maamuzi muhimu ambao lazima ufanywe na Mkutano Mkuu wa Taifa na chombo hicho hakiwezi kukasimisha madaraka hayo kwa chombo kingine bila kufuata utaratibu uliwekwa na Katiba yetu.
5.4 Ndugu Msajili, kwa mujibu wa Ibara ya 18(i) ya Katiba ya ACT Wazalendo Kamati ya Uongozi ya kila ngazi au Kamati Kuu Taifa zinaweza kukasimu baadhi ya madaraka kwa Sekretarieti yake kwa azimio la wingi wa kura za wajumbe wa kikao. Mkutano Mkuu unaweza kukasimu kwa Halmashauri Kuu baadhi ya madaraka yake, lakini kwa azimio maalumu kwa ajili hiyo. Lazima kuwe na Azimio Maalum.
Mkuu chama chenyewe Lissu alishasema kuwa sio chama cha upinzani bali kinatumika na serikali ya ccm hapo hata Membe hajaingia huko ACT,na pia hicho chama toka zamani kilihusishwa na Membe na JK kuwa ndio wenye hicho chama.I think baada ya kusikia haya kutoka kwa vyanzo vya uhakika ndio wakaamua kumtema
ACT kama chama hakina shida kabisa but Membe ndio amekuja kuchanganya vitu
Azimio LA kumteua Membe mbona lipo humu jukwaani apeperushe bendera ya chamaMaazimio yapo, nayalifanyika kuleta humu simahala pake. Lakini tambua vikao halali ndio viliamua, na Membe nahao vibaraka wake wanajua.
Nani anavua uanachama wa mtu?. Msajili au chama husika?.
Nani mwenyejukumu la kumvua uanachama mwanachama?. Mbona unalukaluka tu mkuu.Azimio LA kumteua Membe mbona lipo humu jukwaani apeperushe bendera ya chama
Hayo maazimio yenu ya chumbani mkutano Mkuu ambao upo kisheria na kwa mujibu WA Katiba ya ACT ndio halali
Sio hayo makubaliano ya kihuni huni