Wana CCM Tuendelee kuungana na kuwa kitu kimoja na Tuendelee kumuunga mkono Mwenyekiti wetu Mama Samia, Wapinzani Wameishiwa pumzi

Wana CCM Tuendelee kuungana na kuwa kitu kimoja na Tuendelee kumuunga mkono Mwenyekiti wetu Mama Samia, Wapinzani Wameishiwa pumzi

Kwani
Uchawa wa kugombanisha mama na wapinzani Achaa,hizo zilikuwa zama zenu na magu nendeni mkalime hatuwateui ngooo kwa kusifusifu .
Mama hataki kusifiwa anataka umpe ushauri chanya kupeleka nchi ,shaur kuhusu vyanzo bora vya mapato,shauri miradi yenye tija ,leta masuruhisho ,ukishaona kijana mara ajiite mzalendo sijui kada ni wale dizaini ya sabaya na makonda .
Wewe Ni mnafiki Sana na mbabaishaji kujifanya unawajuwa watu hapa, nimekudharau Sana kwa uongo wako hapa, huoni hata aibu kusema habari za bar hapa ukizani kila mtu Ni wakushinda bar na kupewa Kama wewe, yaani hunijuwa halafu unaanza kuleta uongo wako wa habari za bar hapa
 
Nyie na propaganda zenu uchwara ndiyo mnawaletea watu matatizo ....!!

Magufuli mlimdanganya hivyo mpaka alipoona moto wa kampeni za CDM ndipo akaishiwa nguvu. Kama ni kweli alikufa kwa matatizo ya moyo ..... basi uchaguzi utakuwa ulichangia kwa asilimia kubwa.
Chadema ingekuwaje na Moto wakati ilikosa ilani Sera na ajenda zenye kugusa ya mtanzania? Mgombea wa chadema alikuwa anafanya kazi ya kupuyanga tu na kuongea chochote kinachomjia akilini, ndio maana alikosa mpangilio wa kimamtiki maana hakuwa na Sera Wala ajenda, alitaka matatizo yake ndio yawe Sera na ajenda ,ndio maana akaishia kupuuzwa na watanzania
 
Chadema ingekuwaje na Moto wakati ilikosa ilani Sera na ajenda zenye kugusa ya mtanzania? Mgombea wa chadema alikuwa anafanya kazi ya kupuyanga tu na kuongea chochote kinachomjia akilini, ndio maana alikosa mpangilio wa kimamtiki maana hakuwa na Sera Wala ajenda, alitaka matatizo yake ndio yawe Sera na ajenda ,ndio maana akaishia kupuuzwa na watanzania
Hiyo hiyo kampeni ndiyo iliyokuwa anampeleka mtu garage kila second week ...!!
 
Hiyo hiyo kampeni ndiyo iliyokuwa anampeleka mtu garage kila second week ...!!
Lisu alikuja kuzurula zurula mitaani tu ndio maana uliona akiwa tayari na tiketi ya kwenda ulaya ,maana alijuwa hakuna wa kumpa kura kuwa Rais wa nchi hii
 
Lisu alikuja kuzurula zurula mitaani tu ndio maana uliona akiwa tayari na tiketi ya kwenda ulaya ,maana alijuwa hakuna wa kumpa kura kuwa Rais wa nchi hii
Recruits wa Shaka hamuwezi kujificha humukwa ujinga wenu ......!!
 
,Serikali imeanza uchunguzi wa ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi uliofanywa na Serikali ya Rais John Magufuli, kupitia alichoita, “Sheria ya Plea Bargain," Raia Mwema imeelezwa. Taarifa kutoka serikalini na baadhi ya watu walioswekwa magerezani na kutolewa kwa utaratibu huo, zinaeleza kuwa uchunguzi dhidi ya "mradi huo," unafanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Baadhi ya waathirika ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini, walithibitisha kuitwa na kufika mbele ya jopo la uchunguzi, katika mikoa mbalimbali nchini. Waathirika hao wanadai kwamba dhana nzima ya plea bargain, iligubikwa na ubabe na kuendeshwa kwa kuangalia kipato cha mtu, badala ya kosa analodaiwa mhusika kulitenda.

Mmoja wa washukiwa waliofanya plea bargain na ambaye alifika mbele ya kamati, alitolea mfano wa kesi yao, iliyokuwa na washitakiwa watatu, kwamba kila mmoja alitoa kiwango cha fedha tofauti na mwenzake.

Alisema: "Mmoja aliambiwa alipe Tsh. milioni 5, mwingine akaambiwa alipe Tsh. milioni 700, lakini mwingine akatozwa Tsh. bilioni moja. Hakukuwa na fomula ya malipo. "Uamuzi ulitegemea wamekuta kiasi gani kwenye akaunti na uwezo ulionao. Yaani si sheria, kiasi utakacholipa kitatokana na utashi wa wenye mamlaka," alisema.

Aliongeza: "Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliona hili na kulifanyia kazi. Kuna watu wameugua kwa kupoteza mali zao kwenye jambo hili. Wengine wamekufa na wengine kuhama nchi, kutokana na madhila waliyopata."

Hatua ya serikali ya Rais Samia, kuagiza kufanyika uchunguzi wa uhalali wa jambo hilo na jinsi lilivyoendeshwa, ilitokana na malalamiko kadhaa kutoka kwa wananchi, wakiituhumu Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuchukua mali zao kinyume na sheria.

Haijaweza kufahamika mara moja, ni kiasi gani cha fedha kilichokusanywa wakati wa utawala wa Magufuli, ngapi ziliingia kwenye Mfuko Mkuu wa Hazina na kiasi gani kililiwa. Hata hivyo, madai kuwa mamilioni ya shilingi yaliyotolewa yaliishia mikononi mwa wajanja wachache na hata baadhi ya nyumba hazijafikishwa serikalini huku nyingine zikimilikishwa kwa watu binafsi "ndilo gumzo la mjini."

Mchakato wote wa plea bargain, unadaiwa kusimamiwa na kuratibiwa na aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga Alisema: "Mfumo mzima ulikuwa hivyo, maelekezo yalitoka juu na kwamba masharti yalikuwa lazima uonekane una makosa. "Tunashukuru Mama (Samia) alipoingia, aliekeza watu wote walioshitakiwa kwa makosa haya na hakukuwa na ushahidi, waachwe huru.

Hakukuwa tena na plea bargain ya aina ile."

Mtoa taarifa hakutaja kwa rnajina waliohama nchi, baada ya kubambikizwa kesi za uhujumu uchumi. Lakini gazeti hili, linaweza kumtaja mfanyabiashara maarufu, Yusuf Manji, aliyekimbilia Marekani na mwandishi wa habari, Erick Kabendera aliye Uingereza. Manji aliyekuwa akilimiki kampuni mbalimbali, alifikishwa mahakamani Februari 2017, alituhumiwa kwa makosa mbalimbali, ikiwamo kutumia dawa za kulevya aina ya heroine na uhujumu uchumi.

Kabendera alituhumiwa kwa makosa matatu ya uhujumu uchumi ikiwamo kujihusisha na genge la uhalifu, kukwepa kodi na utakasishaji fedha alilazimika kuingia 'makubaliano na DPP, kukiri kosa na kumwomba msamaha Rais Magufuli, ili "kupata uhuru wake."

Makosa yote matatu aliyokuwa akituhumiwa nayo, hayana dhamana kwa sheria za Tanzania. Kabendera alikamatwa na Polisi na Uhamiaji, Julai 29, 2019, akidaiwa kuchunguzwa kuhusu uraia wake. Baadaye mawakili wake walitoa taarifa, wakisema Kabendera atashitakiwa kwa kuhusika na ripoti iliyochapishwa katika jarida la The Economist la Uingereza, lakini mahakamani kibao kikageuka na kuwa kesi ya uhujumu uchumi.

Septemba 2019, Bunge lilipitisha muswada wa maboresho ya sheria mbalimbali, ikiwemo ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ambapo mapatano baina ya watuhumiwa na rnwendesha mashitaka yalipitishwa na kusainiwa na Magufuli.

Plea bargain inasimamiwa na vifungu vya 194A hadi 194H vya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA) ya mwaka 1985, Sura ya 20 na makubaliano yaliyofikiwa yatawekwa katika Kumbukumbu za Mahakama. Kanuni za sheria ya plea bargain, zilisainiwa na Jaji Mkuu Februari 5, 2022. Lakini mamia ya raia wa Tanzania na wa kigeni, walielekezwa kupitia utaratibu huo na DPP tangu mwaka 2019.

Sheria inaeleza katika makubaliano hayo, mshukiwa anaweza kukiri tuhuma au sehemu ya tuhuma dhidi yake, lli kupata afueni fulani ikiwamo kuondolewa baadhi ya mashitaka, ama kupunguziwa muda au aina ya dhabu. Aidha, mshukiwa atatakiwa kula kiapo cha kukubaliana na makubaliano hayo, atapoteza haki ya kukata rufaa, isipokuwa kuhusu urefu au uhalali wa hukumu atakayopewa.

Hata hivyo, wakati utaratibu huo unatumiwa na DPP, Peter Madeleka mmoja wa mawakili mashuhuri nchini, alisema wakati hayo yakifanywa kanuni za plea bargain, zilikuwa hazijaanza kutumika.

"Plea bargain, inasimamiwa na sheria. Wakati Mganga anatekeleza yote haya, kanuni za plea bargain zilikuwa hazijatungwa. Watu "Walianza kukamatwa mwaka 2017 na kutozwa mamilioni ya fedha mwaka 2019, kanun1 zikitungwa mwaka 2021 alisisitiza.

Aliongeza: "Kwa hiyo, vitu vyote vilivyofanyika kabla ya kanuni kutungwa, ni batili. Hili nimekuwa nikilisema siku zote, kwamba haya yaliyofanywa ni haramu tupu." Kuhusu fedha kupelekwa akaunti ya DDP, Madeleka arnbaye aliwekwa gerezani kwa tuhuma za uhujumu uchumi, alieleza kuwa fedha zinapaswa kuhifadhiwa kwenye akaunti ya Msajili wa Hazina.

"Mwenye mamlaka ya kukusanya na kushikilia mali ya Serikali, ni Msajili wa Haz-ina. Sheria ya plea bargain, haimtaji kokote DDP. Kwa hiyo, hilo la kukusanya fedha za watu na kuweka kwenye akaunti yake iliyko. BoT, nalo ni haramu, alieleza.

RAIA MWEMA (copy and paste)
 
,Serikali imeanza uchunguzi wa ukwapuaji wa mabilioni ya shilingi uliofanywa na Serikali ya Rais John Magufuli, kupitia alichoita, “Sheria ya Plea Bargain," Raia Mwema imeelezwa. Taarifa kutoka serikalini na baadhi ya watu walioswekwa magerezani na kutolewa kwa utaratibu huo, zinaeleza kuwa uchunguzi dhidi ya "mradi huo," unafanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Baadhi ya waathirika ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini, walithibitisha kuitwa na kufika mbele ya jopo la uchunguzi, katika mikoa mbalimbali nchini. Waathirika hao wanadai kwamba dhana nzima ya plea bargain, iligubikwa na ubabe na kuendeshwa kwa kuangalia kipato cha mtu, badala ya kosa analodaiwa mhusika kulitenda.

Mmoja wa washukiwa waliofanya plea bargain na ambaye alifika mbele ya kamati, alitolea mfano wa kesi yao, iliyokuwa na washitakiwa watatu, kwamba kila mmoja alitoa kiwango cha fedha tofauti na mwenzake.

Alisema: "Mmoja aliambiwa alipe Tsh. milioni 5, mwingine akaambiwa alipe Tsh. milioni 700, lakini mwingine akatozwa Tsh. bilioni moja. Hakukuwa na fomula ya malipo. "Uamuzi ulitegemea wamekuta kiasi gani kwenye akaunti na uwezo ulionao. Yaani si sheria, kiasi utakacholipa kitatokana na utashi wa wenye mamlaka," alisema.

Aliongeza: "Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliona hili na kulifanyia kazi. Kuna watu wameugua kwa kupoteza mali zao kwenye jambo hili. Wengine wamekufa na wengine kuhama nchi, kutokana na madhila waliyopata."

Hatua ya serikali ya Rais Samia, kuagiza kufanyika uchunguzi wa uhalali wa jambo hilo na jinsi lilivyoendeshwa, ilitokana na malalamiko kadhaa kutoka kwa wananchi, wakiituhumu Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuchukua mali zao kinyume na sheria.

Haijaweza kufahamika mara moja, ni kiasi gani cha fedha kilichokusanywa wakati wa utawala wa Magufuli, ngapi ziliingia kwenye Mfuko Mkuu wa Hazina na kiasi gani kililiwa. Hata hivyo, madai kuwa mamilioni ya shilingi yaliyotolewa yaliishia mikononi mwa wajanja wachache na hata baadhi ya nyumba hazijafikishwa serikalini huku nyingine zikimilikishwa kwa watu binafsi "ndilo gumzo la mjini."

Mchakato wote wa plea bargain, unadaiwa kusimamiwa na kuratibiwa na aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga Alisema: "Mfumo mzima ulikuwa hivyo, maelekezo yalitoka juu na kwamba masharti yalikuwa lazima uonekane una makosa. "Tunashukuru Mama (Samia) alipoingia, aliekeza watu wote walioshitakiwa kwa makosa haya na hakukuwa na ushahidi, waachwe huru.

Hakukuwa tena na plea bargain ya aina ile."

Mtoa taarifa hakutaja kwa rnajina waliohama nchi, baada ya kubambikizwa kesi za uhujumu uchumi. Lakini gazeti hili, linaweza kumtaja mfanyabiashara maarufu, Yusuf Manji, aliyekimbilia Marekani na mwandishi wa habari, Erick Kabendera aliye Uingereza. Manji aliyekuwa akilimiki kampuni mbalimbali, alifikishwa mahakamani Februari 2017, alituhumiwa kwa makosa mbalimbali, ikiwamo kutumia dawa za kulevya aina ya heroine na uhujumu uchumi.

Kabendera alituhumiwa kwa makosa matatu ya uhujumu uchumi ikiwamo kujihusisha na genge la uhalifu, kukwepa kodi na utakasishaji fedha alilazimika kuingia 'makubaliano na DPP, kukiri kosa na kumwomba msamaha Rais Magufuli, ili "kupata uhuru wake."

Makosa yote matatu aliyokuwa akituhumiwa nayo, hayana dhamana kwa sheria za Tanzania. Kabendera alikamatwa na Polisi na Uhamiaji, Julai 29, 2019, akidaiwa kuchunguzwa kuhusu uraia wake. Baadaye mawakili wake walitoa taarifa, wakisema Kabendera atashitakiwa kwa kuhusika na ripoti iliyochapishwa katika jarida la The Economist la Uingereza, lakini mahakamani kibao kikageuka na kuwa kesi ya uhujumu uchumi.

Septemba 2019, Bunge lilipitisha muswada wa maboresho ya sheria mbalimbali, ikiwemo ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ambapo mapatano baina ya watuhumiwa na rnwendesha mashitaka yalipitishwa na kusainiwa na Magufuli.

Plea bargain inasimamiwa na vifungu vya 194A hadi 194H vya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA) ya mwaka 1985, Sura ya 20 na makubaliano yaliyofikiwa yatawekwa katika Kumbukumbu za Mahakama. Kanuni za sheria ya plea bargain, zilisainiwa na Jaji Mkuu Februari 5, 2022. Lakini mamia ya raia wa Tanzania na wa kigeni, walielekezwa kupitia utaratibu huo na DPP tangu mwaka 2019.

Sheria inaeleza katika makubaliano hayo, mshukiwa anaweza kukiri tuhuma au sehemu ya tuhuma dhidi yake, lli kupata afueni fulani ikiwamo kuondolewa baadhi ya mashitaka, ama kupunguziwa muda au aina ya dhabu. Aidha, mshukiwa atatakiwa kula kiapo cha kukubaliana na makubaliano hayo, atapoteza haki ya kukata rufaa, isipokuwa kuhusu urefu au uhalali wa hukumu atakayopewa.

Hata hivyo, wakati utaratibu huo unatumiwa na DPP, Peter Madeleka mmoja wa mawakili mashuhuri nchini, alisema wakati hayo yakifanywa kanuni za plea bargain, zilikuwa hazijaanza kutumika.

"Plea bargain, inasimamiwa na sheria. Wakati Mganga anatekeleza yote haya, kanuni za plea bargain zilikuwa hazijatungwa. Watu "Walianza kukamatwa mwaka 2017 na kutozwa mamilioni ya fedha mwaka 2019, kanun1 zikitungwa mwaka 2021 alisisitiza.

Aliongeza: "Kwa hiyo, vitu vyote vilivyofanyika kabla ya kanuni kutungwa, ni batili. Hili nimekuwa nikilisema siku zote, kwamba haya yaliyofanywa ni haramu tupu." Kuhusu fedha kupelekwa akaunti ya DDP, Madeleka arnbaye aliwekwa gerezani kwa tuhuma za uhujumu uchumi, alieleza kuwa fedha zinapaswa kuhifadhiwa kwenye akaunti ya Msajili wa Hazina.

"Mwenye mamlaka ya kukusanya na kushikilia mali ya Serikali, ni Msajili wa Haz-ina. Sheria ya plea bargain, haimtaji kokote DDP. Kwa hiyo, hilo la kukusanya fedha za watu na kuweka kwenye akaunti yake iliyko. BoT, nalo ni haramu, alieleza.

RAIA MWEMA (copy and paste)
Rais Samia Ni mama Aliyejaa hofu ya Mwenyezi Mungu ndani ya moyo wake, Ni mama wa Haki
 
Ccm yenyewe ndo hii hii ya kina mzee ndovu? Nakuhakikishia, soon mnarudi kule kule kwenye enzi kikwete wakati ambapo hata kuvaa magwanda yenu ya kijani mlikuwa mnaona aibu.
 
Ccm yenyewe ndo hii hii ya kina mzee ndovu? Nakuhakikishia, soon mnarudi kule kule kwenye enzi kikwete wakati ambapo hata kuvaa magwanda yenu ya kijani mlikuwa mnaona aibu.
CCM kwa Sasa ndio habari ya mjini, sare za CCM ukivaa popote pale unaheshimika na kuonekana mzalendo, lakini mtu akionekana kavaa manguo ya Chadema anaonekana mbabaishaji na tapeli maana wananchi wanakumbuka namna mlivyokuwa mnawachangisha hela mitaani halafu mnaishia kuzitafuna na kulewea pombe
 
Ndugu zangu Wana CCM lazima Tufahamu kuwa Nguvu ya CCM na Wanaccm imekuwa Ni katika umoja wetu, Ushirikiano Wetu,mshikamano wetu ,upendo miongoni mwetu, UZALENDO wetu kwa chama na serikali yetu, misimamo yetu, kutanguliza mbele maslahi ya chama na serikali yetu, Sera na ajenda zetu pamoja na kuwa na Dira na muelekeo unaoeleweka na kuwa vutia watanzania katika kutuunga mkono na kutuchagua kila ufikapo uchaguzi wa aina yoyote Ile unapoitishwa na kufanyika

Nguzo hizi hatupaswi kuziacha, Wala kuzisahau,Wala kuzitupa,Wala kuhisi zimepitwa na wakati, Ni nguzo zilizotufikisha hapa Tulipo, Ni nguzo zilizokishikiria chama chetu, Ni nguzo zilizotufanya kuaminika kwa watanzania, kupigiwa kura kila uchaguzi, kupigania chama katika uchaguzi na kukilinda chama chetu kwa Hali na Mali, Ni nguzo zilizofanya maadui wa ndani na nje ya chama kukosa upenyo wa kukivuruga na kukisambalatisha chama chetu, Ni nguzo Zinazofanya chama hiki kionekane bado ni kijana kila siku, Ni nguzo zinazoongeza wanachama wapya kila siku,

Ni nguzo Zinazofanya kadi za CCM zitafutwe Kama Dhahabu katika ofisi zake na Ni nguzo ambazo zimekifanya CCM kuwa Tumaini la watanzania wa matabaka na Rika zote hapa nchini na zaidi Ni kuwa Ni nguzo Zinazofanya mwanachama akihama Leo CCM lazima kesho Arudi ndani ya CCM na kujutia uamuzi wake wa kukihama chama, mwisho ni kuwa hizi Ni nguzo Zinazofanya chama hiki kuwa kikubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake, Hakuna mkubwa ndani ya CCM, Kama huamini Hama leo CCM uone Kama kitayumba au kuyumbishwa

Hivyo lazima Tuendelee kuwa wamoja na kushikamana, Tusichonganishwe na mtu wa aina yoyote yule kwa misingi ya udini, ukabila, ukanda,jinsia Wala Hadhi, Tuseme na Tufahamu kuwa wote Ni sawa na tuna haki sawa ndani ya CCM, wote Tukipiganie na Tukilinde chama chetu kwa nguvu zetu zote, Hakuna mpinzani atakaye tulindia chama chetu Wala kutujengea chama chetu, Hakuna mpinzani anayependa kuona tukiwa wamoja, wapinzani wanatamani tusambalatike hata leo tu, Tusiwape upenyo huo

Tusiwape Siri zetu, Tusiwape mipango Wala mikakati yetu, Tusiwaonyeshe njia zetu.

Tumpe ushirikiano wakutosha Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tumtetee kwa nguvu zetu zote popote tulipo, Tuwajibu wapinzani wetu kwa hoja nzito nzito, Tumbebe Samia wetu katika mikono yetu, na migongo yetu, Tusikubali ashambuliwe na wapinzani wetu,

Tufahamu akishambuliwa yeye Ni sawa na kwamba tumevamiwa sote, siasa Ni hoja na Ni sayansi, lazima Tuwe watu wa hoja muda wote zidi ya wapinzani wetu,CCM Ni moja, Wana CCM Ni wamoja na chama ni kimoja Tu CHAMA CHA MAPINDUZI, Tusiumizane, tusipaniane.

Tusiwekeane mitego wenyewe kwa wenyewe Wala Tusichukiane wenyewe kwa wenyewe, Wala Tusiangushane wenyewe kwa wenyewe kwa kumnufaisha mpinzani wetu

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge

LUCAS Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Kwa kifupi nchi inajiendea,watu wanaangalia maendeleo binafsi,kwa hivi sasa hata jogoo anaweza kuwa ......
 
Back
Top Bottom