Wana CCM wenye nia njema na taifa na uwezo wa kuwa marais, wekeni nia mapema 2025 mliokoe taifa lenu

Wana CCM wenye nia njema na taifa na uwezo wa kuwa marais, wekeni nia mapema 2025 mliokoe taifa lenu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa.

Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi.

Wenye nia ya kuwa marais ili walikomboe taifa lao kwa uzalendo kabisa waweke nia zao hadharani maana tunaenda kuliwa. Bora ikifika 2025 taifa lipate ukombozi.
 
CCM NI Chama ambacho hakina dhamira ya dhati ya kuulifanya taifa letu kuwa taifa huru kiuchumi.

Mawazo ya viongozi wa CCM na watawala wanaotokana na Chama hicho ni kufikiria namna watoto wao watakavyorithi madaraka.

Pia mawazo yao mengine NI kuhakikisha wanajilimbikizia utajiri usio elezeka.

NI aibu tunakopa na tunaona fahari kukopa mikopo isiyozalisha.

Tukiamua kukopa kwa ajili ya kuendeleza chuma cha Liganga na Mchuchuma ndipo tutakapoanza kuona Nuru kwa mbali ya kuelekea kwenye taifa huru kiuchumi.

Tanzania tunanunua kutoka nje chuma, yaani hata siindano hatuwezi kujitengenezea.

Hi ni aibu. Bolts and nuts za ujenzi wa reli ya kisasa vinatoka nje, mataruma pia yanatoka nje.

Je tungeendeleza chuma chetu wenyewe tungeokoa pesa kiasi gani?

Miradi ya ujenzi wa madaraja, ujenzi wa madaraja, na miundo mbalimbali hutegemea chuma, lakini mbaya zaidi chuma hicho tunakiaagiza nje kwa madola mengi, ambayo tungekuwa tunazalisha chuma chetu wenyewe madola hayo yangefanya kazi nyingine za kimaendeleo.
 
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa. Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi.

Wenye nia ya kuwa marais ili walikomboe taifa lao kwa uzalendo kabisa waweke nia zao hadharani maana tunaenda kuliwa. Bora ikifika 2025 taifa lipate ukombozi.
Sawa Kwa sababu nipo out ngoja niongeze juhudi Kwa akili ya 2025 LAZIMA kieleweke tu
 
... hili lichama limefika mahali limebweteka kweli kweli! Dah; kweli chama lina wenyewe hili!
 
CCM NI Chama ambacho hakina dhamira ya dhati ya kuulifanya taifa letu kuwa taifa huru kiuchumi.

Mawazo ya viongozi wa CCM na watawala wanaotokana na Chama hicho ni kufikiria namna watoto wao watakavyorithi madaraka.

Pia mawazo yao mengine NI kuhakikisha wanajilimbikizia utajiri usio elezeka.

NI aibu tunakopa na tunaona fahari kukopa mikopo isiyozalisha.

Tukiamua kukopa kwa ajili ya kuendeleza chuma cha Liganga na Mchuchuma ndipo tutakapoanza kuona Nuru kwa mbali ya kuelekea kwenye taifa huru kiuchumi.

Tanzania tunanunua kutoka nje chuma, yaani hata siindano hatuwezi kujitengenezea.

Hi ni aibu. Bolts and nuts za ujenzi wa reli ya kisasa vinatoka nje, mataruma pia yanatoka nje.

Je tungeendeleza chuma chetu wenyewe tungeokoa pesa kiasi gani?

Miradi ya ujenzi wa madaraja, ujenzi wa madaraja, na miundo mbalimbali hutegemea chuma, lakini mbaya zaidi chuma hicho tunakiaagiza nje kwa madola mengi, ambayo tungekuwa tunazalisha chuma chetu wenyewe madola hayo yangefanya kazi nyingine za kimaendeleo.
... tunakopa pesa kulipa mikopo mzee! Mingi imewiva hakuna namna lazima tulipe; na hakuna namna zaidi ya kukopa kule tukalipa kwengine! Uzuri tumehakikishiwa hakuna mwananchi atakayegongewa mlango kudaiwa mkopo; serikali peke yake ndio italipa!

Wenyeviti wa mikoa na mashabiki makumi waliokuwepo makofi pwa! pwa! pwa! Tuna imani na weweeee! Oyaaaa; oyaaaa; oyaaaaa! pwa! pwa! pwa!
 
... tunakopa pesa kulipa mikopo mzee! Mingi imewiva hakuna namna lazima tulipe; na hakuna namna zaidi ya kukopa kule tukalipa kwengine! Uzuri tumehakikishiwa hakuna mwananchi atakayegongewa mlango kudaiwa mkopo; serikali peke yake ndio italipa!

Wenyeviti wa mikoa na mashabiki makumi waliokuwepo makofi pwa! pwa! pwa! Tuna imani na weweeee! Oyaaaa; oyaaaa; oyaaaaa! pwa! pwa! pwa!
Hii nchi watoto wetu wataikomboa kwa damu
 
Alikuwa magufuli mmemsakama weee mpaka akafa Leo kaja mwingine mnalalamika.
Mnataka raisi atoke wapi?
Awe Nani?
mlichokuwa mnakitafuta mmekipata?
 
CCM NI Chama ambacho hakina dhamira ya dhati ya kuulifanya taifa letu kuwa taifa huru kiuchumi.

Mawazo ya viongozi wa CCM na watawala wanaotokana na Chama hicho ni kufikiria namna watoto wao watakavyorithi madaraka.

Pia mawazo yao mengine NI kuhakikisha wanajilimbikizia utajiri usio elezeka.

NI aibu tunakopa na tunaona fahari kukopa mikopo isiyozalisha.

Tukiamua kukopa kwa ajili ya kuendeleza chuma cha Liganga na Mchuchuma ndipo tutakapoanza kuona Nuru kwa mbali ya kuelekea kwenye taifa huru kiuchumi.

Tanzania tunanunua kutoka nje chuma, yaani hata siindano hatuwezi kujitengenezea.

Hi ni aibu. Bolts and nuts za ujenzi wa reli ya kisasa vinatoka nje, mataruma pia yanatoka nje.

Je tungeendeleza chuma chetu wenyewe tungeokoa pesa kiasi gani?

Miradi ya ujenzi wa madaraja, ujenzi wa madaraja, na miundo mbalimbali hutegemea chuma, lakini mbaya zaidi chuma hicho tunakiaagiza nje kwa madola mengi, ambayo tungekuwa tunazalisha chuma chetu wenyewe madola hayo yangefanya kazi nyingine za kimaendeleo.
Sometimes ukitulia huwa unashusha nondo za uhakika sana ✌👍
 
1641697200979.png
Utakaa sana!
 
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa.

Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi.

Wenye nia ya kuwa marais ili walikomboe taifa lao kwa uzalendo kabisa waweke nia zao hadharani maana tunaenda kuliwa. Bora ikifika 2025 taifa lipate ukombozi.
Ccm hawana anaeuzika kwa watz kwa sasa ngoja wapumzke 2025
 
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa.

Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi.

Wenye nia ya kuwa marais ili walikomboe taifa lao kwa uzalendo kabisa waweke nia zao hadharani maana tunaenda kuliwa. Bora ikifika 2025 taifa lipate ukombozi.
Utaishi kwa hofu mpaka wajukuu watakapokuwa wanakuanika kama kauzu nje.
 
CCM NI Chama ambacho hakina dhamira ya dhati ya kuulifanya taifa letu kuwa taifa huru kiuchumi.

Mawazo ya viongozi wa CCM na watawala wanaotokana na Chama hicho ni kufikiria namna watoto wao watakavyorithi madaraka.

Pia mawazo yao mengine NI kuhakikisha wanajilimbikizia utajiri usio elezeka.

NI aibu tunakopa na tunaona fahari kukopa mikopo isiyozalisha.

Tukiamua kukopa kwa ajili ya kuendeleza chuma cha Liganga na Mchuchuma ndipo tutakapoanza kuona Nuru kwa mbali ya kuelekea kwenye taifa huru kiuchumi.

Tanzania tunanunua kutoka nje chuma, yaani hata siindano hatuwezi kujitengenezea.

Hi ni aibu. Bolts and nuts za ujenzi wa reli ya kisasa vinatoka nje, mataruma pia yanatoka nje.

Je tungeendeleza chuma chetu wenyewe tungeokoa pesa kiasi gani?

Miradi ya ujenzi wa madaraja, ujenzi wa madaraja, na miundo mbalimbali hutegemea chuma, lakini mbaya zaidi chuma hicho tunakiaagiza nje kwa madola mengi, ambayo tungekuwa tunazalisha chuma chetu wenyewe madola hayo yangefanya kazi nyingine za kimaendeleo.
Kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe leo umetema madini! Kongole
 
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa.

Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi.

Wenye nia ya kuwa marais ili walikomboe taifa lao kwa uzalendo kabisa waweke nia zao hadharani maana tunaenda kuliwa. Bora ikifika 2025 taifa lipate ukombozi.
Hoja nzuri. Ila ni vema kuangalia nje ya ccm. Wazalendo hawapatikan ccm. Wako raia wasio na vyama wenye kujitoa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Shida wanaCCM wengi hawajaamka kutoka usingizini, akili zimetekwa na UCCM ambao hauwasaidii chochote, they are simply delusional, wamekuwa washabaki wa team hata kama haiperform, wamejitengenezea masanamu ya watu wanaowaita viongozi wenye chama akilini kwao halafu wakawavika power za ajabu ambazo hawastaili kuzipata hata kidogo…hawajui ni wanadamu tu km wao…ikifika uchaguzi akili zinawekwa mfukoni wanapewa bahasha wanajisaliti wenyewe…wakirudi mtaani shida ni zilezile…wanatolea mapovu vijiweni…wakisahau wao ndio walitunyanyulia uongozi usiofaa…

Ile kamati ya mwisho ya CCM wanaokuwa wengi wengi kupiga kura ya kumchagua raisi sijui inaitwa kamati kuu sijui mkutano mkuu ndio wanaotusaliti watanzania sababu bado wako usingizini sio kwa kutaka wenyewe bali wazungu wanaita mental slavery…
 
... tunakopa pesa kulipa mikopo mzee! Mingi imewiva hakuna namna lazima tulipe; na hakuna namna zaidi ya kukopa kule tukalipa kwengine! Uzuri tumehakikishiwa hakuna mwananchi atakayegongewa mlango kudaiwa mkopo; serikali peke yake ndio italipa!

Wenyeviti wa mikoa na mashabiki makumi waliokuwepo makofi pwa! pwa! pwa! Tuna imani na weweeee! Oyaaaa; oyaaaa; oyaaaaa! pwa! pwa! pwa!
Hahaha hiyo pesa inatoka wapi bila sisi kuongezewa kodi?
 
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa.

Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi.

Wenye nia ya kuwa marais ili walikomboe taifa lao kwa uzalendo kabisa waweke nia zao hadharani maanAa tunaenda kuliwa. Bora ikifika 2025 taifa lipate ukombozi.
Afadhali wewe ushakubali ccm waendelee 2025
 
... tunakopa pesa kulipa mikopo mzee! Mingi imewiva hakuna namna lazima tulipe; na hakuna namna zaidi ya kukopa kule tukalipa kwengine! Uzuri tumehakikishiwa hakuna mwananchi atakayegongewa mlango kudaiwa mkopo; serikali peke yake ndio italipa!

Wenyeviti wa mikoa na mashabiki makumi waliokuwepo makofi pwa! pwa! pwa! Tuna imani na weweeee! Oyaaaa; oyaaaa; oyaaaaa! pwa! pwa! pwa!


Ukikopa halafu ukala mkopo hicho ndicho kitakachotokea, lazima ukope tena ulipe deni la sivyo wenye hela wanakuja kupiga mnada nchi…

Ila ukikopa halafu ukazalisha..utakuwa na pesa ya kurudisha…

CCM ipasuke jamani kwa maslahi ya taifa…wakubali tu kiroho safi hii nchi imewashinda..walete akili zingine…
 
Back
Top Bottom