Mnajua jinsi awamu ya 5 "ilivyofanikiwa" kwa kutumia propaganda pekee. Leo hii Magufuli angekataliwa kugombea CCM sio ajabu angejiunga CHADEMA na kutimiza ndoto yake. Siasa ndivyo zilivyo, tuwe tayari kwa lolote hata kama ni "kubadilisha gia angani" kama inatusaidia sawa. Magufuli ametumia kila njia kuua Upinzani kama mnavyojua, sisi tukijifanya ooh kwanini Nyalandu, kwanini Membe, Mbowe, etc tutaishia kugawanyika na kuwa dhaifu.
Tuwe na lengo MOJA, kushinda uchaguzi kwa njia yoyote ile inayokubalika na inayofanya kazi. Wana CHADEMA jueni kwamba CCM wanafuatilia mienendo yote na wanaogopa sana maamuzi ya CHADEMA. Itakuwa vibaya sana kama tutaruhusu kugawanyika kutokana na maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA. Tusimamie malengo yetu makubwa ambayo ni kuitoa CCM madarakani. Magufuli amekuwa na madhaifu mengi sana kuliko rais mwingine yeyote Tanzania ila CCM wameamua kumbeba kuliko kuanza kuzungumzia madhaifu yake, CHADEMA tunapaswa kuwa hivyo wakati huu muhimu.
Tuwe na lengo MOJA, kushinda uchaguzi kwa njia yoyote ile inayokubalika na inayofanya kazi. Wana CHADEMA jueni kwamba CCM wanafuatilia mienendo yote na wanaogopa sana maamuzi ya CHADEMA. Itakuwa vibaya sana kama tutaruhusu kugawanyika kutokana na maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA. Tusimamie malengo yetu makubwa ambayo ni kuitoa CCM madarakani. Magufuli amekuwa na madhaifu mengi sana kuliko rais mwingine yeyote Tanzania ila CCM wameamua kumbeba kuliko kuanza kuzungumzia madhaifu yake, CHADEMA tunapaswa kuwa hivyo wakati huu muhimu.