Uchaguzi 2020 Wana CHADEMA tuwe tayari kwa lolote; Lissu, Mbowe, Nyalandu, Membe na gia za angani ikilazimika zisiwayumbishe tusimame pamoja

Ubarikiwe sana kwa ushauri mzuri
 
Nakuunga mkono hao mapandikizi hawatakiwi ndani ya chama
 
Cdm this time hakuna mtu wa kuwapa red carpet hao wahamiaji. Wasubiri tuwaamini kwanza
 
Hakuna kuitafuta kibra? [emoji23][emoji23][emoji23]
Yeyote atakayepewa shoka ni sawa; kazi ni moja tu kuliondoa shingo la CCM na safari hii tumekubaliana hakuna kuligeuza, huko huko lilikotazamia!!
 
Lengo la chadema ni kuchukua nchi kutoka kwenye makucha ya ccm, hivyo kwa njia yoyote iwezayo kutumika kuiondoa ccm ni muhimu ili mradi iwe inakubalika kwa jamii ya wastaarabu wa kisiasa.
Lakini hatutaki tena kutumia kizazi cha shetani kuingia madarakani
 
maalim seif yupo live clouds tv anachukua form.
 
Silaha yeyote hapo itakayotumika kumbutua CCM sie tunaunga Mkono ,GIA ya ANgani ndio Nzuri kama ile ya ENL iliyomchakaza JIWE 2015 mpaka leo JIWE hataki kusikia UKAWA na wala KUMSIKIA MEMBE maana ni THREAT kwake.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)kinafanyaga vikao vyake popote pale,iwe jf,fb,insta sawa tu.maana mitaani chama hakipo kimebaki kwenye mitandano tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…