Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

kumbe erick52 alikuwa mbaya af mchafu afadhali hata mimi,ndio maana haachi mapouder af mtanashati sana siku hizi
 
Last edited by a moderator:
hubby punguza wivu, lol! mie wako peke yako si unajua mi na we ni mabesteeeeeeeee wa ukweeeeeeee!
Naloga mtu wallah!!

attachment.php
 
hubby punguza wivu, lol! mie wako peke yako si unajua mi na we ni mabesteeeeeeeee wa ukweeeeeeee!
Nikukute tayari basi.... red for love. Umenielewa eh? Ile safari hakikisha unaiahirisha mpaka jumapili sawa eh?

attachment.php
 
Aaaahaaa,ok shem wangu hapo nimekupata,lkn waziri c alisema maongez yanaendelea kwan vita imeanza?

Imeanza ya maneno, siye tunajipanga na magari y deraya na vifaru so kudinyana marufuku khaaa! Kuwa mjeda kaaz kwel kwel
 
hivi babu umeamua kuonesha utupu wangu hapa jamvini?...
aisee!wakati huo chululu ilikua ndogoo...
chezea saivi ndizi mkono wa tembo!


ila umenidhalilisha!natafuta NGO itakayonisaidia katika hili.
 
ha ha haaaaaaaaaa!yaan ww unajifanya huelewi ile kazi kubwa na nzito ya wanandoa af kile kitendo chake ishhhh!
Khaaa! Sasa kuzunguka koooote huko si ungesema tu kazi ya kuingiziana vikojoleo mpaka vimwage mkojo mzito mweupe? Mi mzee bana mafumbo siyawezagi, taarab siijui. Khaa! ummu kulthum bana dah!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha! Kwa bishanga siyo kweli ni wewe mwenyewe huyo!
Na yule si madame B ni zubedayo
Wakulu salama....??

Jana nlikuwa shamba katika kusheherekea sikukuu yetu ile nikakutana na picha nlowapigeni enzi hizo.

attachment.php


Mnaviona hivyo vidume viwili ambavyo havijavaa kaptula? Wa kushoto ni BAGAH na mwingine ni Erickb52
Kisichana kilichotinga blue ndo Mamndenyi wakati cha kulia kabisa ndio ummu kulthum. Kushoto mwa Erickb52 ni KARIA nyuma yake ndo princess enny. Kidume kilicho mbele bila shati ndio Kaizer sasa. Kulia kwa Kaizer ni kilimasera na kushoto kwake ndio Madame B. Nyuma ya Madame B yuko Judgement. Hako kalikobebwa na Kongosho ndio charminglady. Anayechungulia kwa nyuma kabisa ni HYGEIA wakati yule tall kuliko wote ndio Eversmilin Gal

attachment.php


Hapa ni beibe nasty, wahida, Cantalisia na Catherine wakikata mkonyonyo. Radio ya philips haionekani hapo wala DJ Bishanga naye kamera haikumnasa

Sasa hebu angalia watu wanavyobadilika:



Mentor
na Catherine

kls-wmk.php




Kongosho
akimshikisha adabu Erickb52
attachment.php



Bishanga
akiwa kishashiba
attachment.php



@Mamndenyi akimchekesha Yummy
attachment.php



Kaizer
akimsindikiza mwaJ
article-1369974-0B5523CE00000578-516_468x775.jpg



charminglady
na platozoom
attachment.php



Wake zangu Yummy, BADILI TABIA na cacico, ile albamu nyingine mmeiweka wapi??
 
ban inakuita vibaya ww mie sipo.lakin mod si mtu wako karibu............
Mtu wa karibu sana, ndo imekuwaje tena? Uko addicted na JF kiasi hiki? Khaaa! Nimekubamba sijakubambaaaa??

attachment.php


Unaona navyowakagua na kuwapa mazoezi wake zangu cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho? Ongea nao kama watakuruhusu uwe spare tyre pale mmoja wapo anapokuwa kasafiri kwenda angani

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
halafu babu Asprini ile picha cyo ya mamy cath na dady mentor ngoja akirudi kutoka Moshi tunakufungulia kesi
 
Back
Top Bottom