Mafanikio ya Yanga Mwaka huu hasa katika mashindano ya kimataifa yamedhihirisha jinsi wana habari wengi walivyo mashabiki wa Simba hadi wanashindwa kuficha hisia zao, chuki na wivu kwa mafanikio ya Yanga.
Wamekuwa wakijificha kwa kile wanachokiita uchambuzi lakini ukifuatilia chambuzi zao unagundua zimejaa wivu na chuki tu. Bahati nzuri Mungu amekuwa akiwaumbua sana. Kuna chambuzi nyingine unaona zimebeba matamanio yao. Yaani wanafanya media propaganda zenye lengo la kuwakatisha tamaa wachezaji wa Yanga na Mashabiki wake, unakuta muandishi anaonyesha kuwa hakuna uwezekano wa Yanga kuifunga Rivers utd, Marumo au USM Alger. Halafu ikitokea Yanga kuifunga Rivers utd au Marumo wanarudi na kusema Yanga imekutana na timu dhaifu sana msimu huu.
Leo nimepitia uchambuzi wa jamaa wa Clouds anaitwa EDGAR KIBWANA kuwa Yanga hawezi kuifunga USM Alger, yaani ukisoma uchambuzi wake unagundua una lengo la kuwakatisha tamaa Yanga na pia uchambuzi umebeba matamanio yake.
Wachambuzi aina ya Kibwana, Edo kumwembe na Jemedari ikitokea nchi kuingia vitani wanatakiwa kufichwa maana ni propagandist wanamnufaisha adui. Nadhani mliozaliwa zamani mtakumbuka miaka ile ya 70s issue ya mtangazaji wetu mmoja alijisahau sana hadi ikabidi apishe....
Wamekuwa wakijificha kwa kile wanachokiita uchambuzi lakini ukifuatilia chambuzi zao unagundua zimejaa wivu na chuki tu. Bahati nzuri Mungu amekuwa akiwaumbua sana. Kuna chambuzi nyingine unaona zimebeba matamanio yao. Yaani wanafanya media propaganda zenye lengo la kuwakatisha tamaa wachezaji wa Yanga na Mashabiki wake, unakuta muandishi anaonyesha kuwa hakuna uwezekano wa Yanga kuifunga Rivers utd, Marumo au USM Alger. Halafu ikitokea Yanga kuifunga Rivers utd au Marumo wanarudi na kusema Yanga imekutana na timu dhaifu sana msimu huu.
Leo nimepitia uchambuzi wa jamaa wa Clouds anaitwa EDGAR KIBWANA kuwa Yanga hawezi kuifunga USM Alger, yaani ukisoma uchambuzi wake unagundua una lengo la kuwakatisha tamaa Yanga na pia uchambuzi umebeba matamanio yake.
Wachambuzi aina ya Kibwana, Edo kumwembe na Jemedari ikitokea nchi kuingia vitani wanatakiwa kufichwa maana ni propagandist wanamnufaisha adui. Nadhani mliozaliwa zamani mtakumbuka miaka ile ya 70s issue ya mtangazaji wetu mmoja alijisahau sana hadi ikabidi apishe....