HeheheheKwa sisi wanajamiiforum wa vijijini ambao toka tuzaliwe hatujawahi kukanyaga Hilo jiji hebu tukutane hapa na kufarijiana maana wanadarisalama wanatudharau Sana. Jambo moja kubwa ambalo naamini kwa asilimia Mia moja ni kwamba sisi wanaume wa vijijini tunawazidi nguvu wanaume wa dar.
Kuna mtu ataiona hii reply na bado atauliza ushamba maana yake nini?Nisingefika dsm..nisinge ijua jf..wewe umeijulia wapi?
#MaendeleoHayanaChama
wale wa Masanza kona na Isunga ngwanda tupatane chembaHapa Omurushaka, Kayanga, Kyerwa, Nkwenda, Mulongo
Kigoma, Kasulu, Kibondo, Buzebazeba, Gungu
Mpeta, Uvinza, Kazuramimba
Sengerema, Tabaruka, Ibisabageni
Ngudu Huku Kote JF Ipo Na Ina Members Tele
As usual mkuuUmetisha Sana
Tutakutana Hapa Forest
hiyo inaitwa repeatable meanSoma vema ulichoandika mkuu ni kama unatufanya turudierudie
Kwani nani anawadanganya hizi habari? Eti hatuna nguvu?Asante Ila tuna nguvu za kuwapiga na za kuwapa dozi my wifu wenu.
Pahi, Mauno......wale wa Masanza kona na Isunga ngwanda tupatane chemba
Mko lainilain maisha yenu hayana suruba ngozi zenu hata hazionyeshi mishipa ya damu mkienda hospital kwasababu ya ulainilain wenu na utipwatipwa. Mmekaa mifutafuta ya uzembe Wala bisi na chips weak society nyie.Kwani nani anawadanganya hizi habari? Eti hatuna nguvu?
Melo alikuja huku Bukoba likizo ndo akatueleza kuhusu JF, kijiji kizima tukajiunga!!wewe umeijulia wapi?
Kwa sisi wana JamiiForums wa vijijini ambao toka tuzaliwe hatujawahi kukanyaga Hilo jiji hebu tukutane hapa na kufarijiana maana wanadarisalama wanatudharau Sana.
Jambo moja kubwa ambalo naamini kwa asilimia Mia moja ni kwamba sisi wanaume wa vijijini tunawazidi nguvu wanaume wa Dar.
Hii sio kweli, sisi ni watu wa kazi, hata sura zetu zinatisha.Mko lainilain maisha yenu hayana suruba ngozi zenu hata hazionekani kwasababu ya ulainilain wenu.
Wapi Kyerwa, Kayanga, Omurushaka, Bulila, Nshamba AmaMelo alikuja huku Bukoba likizo ndo akatueleza kuhusu JF, kijiji kizima tukajiunga!!