Wana JamiiForums wakipiga 'Presha' kamwe huwezi kubaki salama. Hongereni nyote!

Wana JamiiForums wakipiga 'Presha' kamwe huwezi kubaki salama. Hongereni nyote!

Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.

Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)

Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.

Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.

Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.

Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)

Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.

Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.

Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.

Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
Naunga mkono hoja
 
Umemjibu vyema sana Mkuu huyo Fool.
Kuna MTU alikuwa na Siri za Nchi kama Lowassa?. Huyo Makonda ashukuru kama ulivyoandika anaonewa aibu vinginevyo angempokea Sabaya mahabusu yaani angemtangulia hata Sabaya kufinywa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Trust me Bashite si kama hao wengine. Ndo maana unamwona ana kula pension tu. Huyo hawataweza mgusa labda kwa makubaliano anayoyataka yeye. Wanamwogopa sana. Ana mambo yao mengi ambayo kayatega tu wakizibana nanii zake naye atafinya ninii zao.
Hivi huo ujinga huwa mnafundushwa shule gani Mataga.
Ndio maana Nyerere alisema maadui watatu Wa nchi hii ni Ujinga, Umaskini na Maradhi.Pamoja na kupewa shule za Kata sekondar bdo kuna mjinga anaamini kuwa MTU muharifu anaweza kuishinda serikali itakayoweza kusimamia haki
 
Hivi huo ujinga huwa mnafundushwa shule gani Mataga.
Ndio maana Nyerere alisema maadui watatu Wa nchi hii ni Ujinga, Umaskini na Maradhi.Pamoja na kupewa shule za Kata sekondar bdo kuna mjinga anaamini kuwa MTU muharifu anaweza kuishinda serikali itakayoweza kusimamia haki
Umekalia nini? Step out then utulize akili uandike vizuri ueleweke. Hufahamu kuandika kiswahili basi tumia lugha ambayo utakuwa unaielewa dada
 
Msidhani Makonda ni kama hao wengine. Kama mnataka nchi ichafuke mguseni Makonda. Anafaham siri za wote hao walio madarakani. Ndo maana hata ilikanushwa vikali kuwa hatafutwi na hamna mpangi huo.
SIRI?
 
Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.

Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)

Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.

Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.

Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.

Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)

Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.

Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.

Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.

Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
CHADEMA hao sio threat wanaofanya mnashindwa kwenye chaguzi .Tatizo ni tume huru na katiba ebu kuweni serious kuishinikiza serikali iliyopo madarakani wafanye michakato wa hivi vitu kuliko kushinda mtandaoni mkimpa Rais maelekezo mtumbue huyu kesho tena mnakuja na jina lingine 2025 sio mbali .Nilikua nawakumbusha tu
 
Yani Makonda wanataka mpaka tumdake sisi wenyewe wananchi ndo wataelewa kuwa alituumiza
 
Trust me Bashite si kama hao wengine. Ndo maana unamwona ana kula pension tu. Huyo hawataweza mgusa labda kwa makubaliano anayoyataka yeye. Wanamwogopa sana. Ana mambo yao mengi ambayo kayatega tu wakizibana nanii zake naye atafinya ninii zao.
Hayo mambo yao mengi anayoyajua labda awe ameyaficha matakoni kwake ndio maana kumetuna
 
CHADEMA hao sio threat wanaofanya mnashindwa kwenye chaguzi .Tatizo ni tume huru na katiba ebu kuweni serious kuishinikiza serikali iliyopo madarakani wafanye michakato wa hivi vitu kuliko kushinda mtandaoni mkimpa Rais maelekezo mtumbue huyu kesho tena mnakuja na jina lingine 2025 sio mbali .Nilikua nawakumbusha tu
Sio kila mtu anayeandika ukweli wa aina hii ni CHADEMA.Hivi ni visingizio duni.Mimi ni CCM lakini niliumizwa sn na mienendo ya huyu kijana katika uongozi wake.Alikuwa mungu mtu,mjivuni,katili etc.

So komaa akili.
 
CHADEMA hao sio threat wanaofanya mnashindwa kwenye chaguzi .Tatizo ni tume huru na katiba ebu kuweni serious kuishinikiza serikali iliyopo madarakani wafanye michakato wa hivi vitu kuliko kushinda mtandaoni mkimpa Rais maelekezo mtumbue huyu kesho tena mnakuja na jina lingine 2025 sio mbali .Nilikua nawakumbusha tu
Mbona 'unateseka' sana na 'JF' Kulikoni?
 
Halafu kuna picha Bashite yuko na mama kwenye kochi moja mama hana hata kilemba.

Naamini hiyo picha inasubiri muda wake kusambazwa tena

Hawezi kumtumbua Makonda, kumbuka 2014 baada ya Bunge la bajeti Makonda aliwahi kupendekeza kuwa ikiwezekana Mama Samia awe Makam wa wa Rais 2015 na ikawa hivyo...kwa hiyo Mama Samia ana ushuhuda fulani toka kwa Makonda.
 
Leo GENTAMYCINE nawapigia ' Salute ' JF Members wote kwani mnafanya Kazi kubwa sana ya ' Kuibua ' mambo mazito na makubwa ya Kuisaidia nchi ya Tanzania huenda kuliko mnavyojua.

Nakumbuka huko nyuma miaka Miwili imepita niliwahi kusema hapa hapa kuwa kama kuna Mshauri Mkuu namba Moja wa Rais au Kiuongozi yoyote nchini Tanzania basi ni (atakuwa) JamiiForums (kama Mtandao)

Na ukiona tu ama unasemwa au unazungumzia hapa JamiiForums basi amini kuwa kwa 85% una ' Mapungufu ' hivyo basi yakupasa ujitafakari kwa Kina ama uombe radhi kwa Umma au Ujiuzuru mwenyewe au ' Uuchune ' kisha aliyekuteua aje ' Kukutumbua ' pasipo tarajia.

Ni hapa hapa JamiiForums aliyekuwa DC Ole Sabaya 'madudu' yake yaliibuliwa na ni hapa hapa pia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na akapelekwa Mwanza ' madudu ' yake yaliibuliwa na Wote hawa yamewakuta ya Kuwakuta.

Hii ni baadhi tu ya Mifano ya Nguvu ya ' Presha ' ya JamiiForums kwa Watendaji wa Serikali kwani najua ipo Mifano mingi tu huko nyuma ya jinsi Watendaji wa Serikalini katika Tawala (Awamu) zilizopita nao ' walivyonyooshwa ' na Nguvu ya Mtandao huu Bora kabisa Tanzania, Duniani na huenda hata Mbinguni vile vile.

Sasa leo nawaombeni wana JamiiForums wote kwa ' Presha ' yetu hii hii ambayo ina Nguvu, Tija na Matunda yake tunayaona halafu na hata Mama nae (Mheshimiwa Rais) ni ' Mdau ' wetu mkubwa hapa naomba sasa tuhamishie ' Makombora ' yetu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda (Daudi Albert Bashite)

Huyu Mtu (Makonda) kwa Taarifa nilizonazo za Kuaninika tena kutoka kwa Watu ' ninaowaamini 100% zinasema ni Mtu ' Hatari ' sana na amefanya Mambo mengi mabaya ambayo hata Mkuu mwenyewe wa Mashetani Duniani alimshangaa na anaendelea bado kumshangaa.

Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan Mwanao Mimi GENTAMYCINE sitochoka Kukuomba 'uviamuru' Vyombo vyako' vimkamate' upesi huyu Makonda ambaye nasikia unamuonea mno ' aibu ' Kuamuru hivyo sijui ni kwanini wakati hata Wewe Mwenyewe unayajua mengi mabaya kumhusu Yeye na alishawahi hata ' Kukuchongea ' maneno kwa ' Babaake ' aliyetwaliwa na mkawa ' mnanuniana ' na Kushirikiana na Kuchekeana ' Kinafiki ' tu.

Sina Chuki binafsi na Paul Christian Makonda (japo ni mwana Simba SC Mwenzangu), ila nina Chuki zaidi na Matendo yake mabaya ( maovu ) na ya ' Kiukatili ' aliyoyafanya hasa hasa alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Tunawapongeza kwa mnayoyafanya kwa Watu kama akina Ole Sabaya na najua hata hii 'tengua' ya Chalamila nae muda wowote tu ' atakamatwa ' kwa ' Madudu ' yake aliyoyafanya huko Mkoani Mbeya ila Watanzania tunataka Paul Christian Makonda nae ' akamatwe ' vinginevyo mtatufanya wenye Akili Kubwa tuanze Kuamini kuwa huenda Makonda ni mkubwa kuliko Tanzania.

Sitochoka Kumsagia Kunguni Makonda.
Hebu tuachie Taznaia yetu! Kwani wewe si Raia tunajua. Usituletee fujo za kwenu huko. Si tumnachotaka maendeleo basi. Hatutaki maneno!
 
Back
Top Bottom