Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 412
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao
ewaa mrs apo ndo penyewe...kisa na mkasa ...ndo kusema kwamba kama walitengana kwa sababu nje ya uwezo wao kuna hatari wakakumbushiana ili mtoto asifananie upande mmoja tu lol
jingine ikitokea kuwa mi niliyekuoa tukakorofishana kidogo basi si itakuwa rahisi kwenda kwa 'baba mtoto' ! kupoza machungu! na mi niliyeoa nikijua kabisa possibility iyo ipo!
Ule urafiki wa wazi wazi unakuwa umekufa, ila ukisikia anakwenda kwao, na njiani wakakutana, jamaa akigusia tu, binti sio rahisi kukataa kwa sababu waliishavuliana nguo.hiyo ni tatizo ambalo nalitegemea, lakini mkuu haiwezekani wazazi wawili uhusiano ukafa kabisa?mapenzi yasiwepo wakaangalia ulezi wa wanao tu?
enheee..Mpwa hapo ndo hoja yangu ilipo!
Mkuu kama ungeuliza kuoa mwanamke aliyekwisha olewa hapo ningekuwa na ushauri negative...! Unajua ndoa ikiwa mpya ile kitu mtu anaitimba kishenzi.....ingekuwa Big G ingekuwa hoi tepe tepe...!
Ule urafiki wa wazi wazi unakuwa umekufa, ila ukisikia anakwenda kwao, na njiani wakakutana, jamaa akigusia tu, binti sio rahisi kukataa kwa sababu waliishavuliana nguo.
Na siku mkikorofishana jambo ambalo ni kawaida, anaanza kumkumbuka huyo jamaa yake, akikwambia naenda kwetu kupumzika, ujue anaenda kwa huyo jamaa.
Mh kazi ipo jamani kuna wengine huwa wanafall kwenye wrong hands sasa kama mwanamke ameolewa na mtu ambaye kwa kweli hawakuwezana kisha akaamua kuachana naye then unawezaniambia akimpenda asimuoe kisa aliwahi kuolewa?
mr linawezekana kabisa, nina mifano hai ya ma frnd zangu wa karibu, tena hata salamu hawapeani na hao baba watoto zao, inategemea kisa na mkasa mpaka wakatengana......
Nyamayao, Naomba nifafanulie ni visa gani hivyo ambavyo vitasababisha watengane kabisa na visa gani vitasababisha warudiane nikiwa naye, na kama kuna uwezekano nieleweshe ni njia gani nitatumia ku-block mahusiano yao yasiendelee upande wa mapenzi,ila kwenye suala la kumlea mwanao nafahamu siwezi zuia, ila nitashukuru kama ukinipa njia nzuri ya kuendeleza zoezi hilo, thanxs
Kwa nini ujiingize kwenye usumbufu wote huo na wakati wasichana fresh kabisa wapo hawajazaa, wamejitunza kwa adabu na heshima wanasubiri mume? Huoni kuoa hiyo nung'aembe ni kama promotion kuwa hata wao wanafaa kuolewa kumbe hawafai?
Lakini kama na wewe hujazaa, usijiharibie heshima yako, achana na hilo nung'aembe.
Kaka kaka nakushauri huyo aliyezaa achana naye kabisa ndugu yangu utafulia. Kulea mtoto wa mtu mwingine ni usumbufu mkubwa. Siku nyingine huyo baba yake atakuja kwako eti anakuja kumwona mwanae. Na mtoto akikua akikujua kwa babake haishi kiguu na njia kwenda huko kusimulia yako. Ukimrudi kakukosea, atasema kwa kuwa si babake. Likimtokea lolote baya atasema ningekuwa naishi na babangu isingekuwa hivi, shauri ya baba wa kambo. Na hata ukimfanyia mema vipi akafanikiwa, bado atarudi kumuenzi baba mzazi wakati wewe ndiye uliyelea.
Na ikiwa mtoto huyo kabaki kwa babake nawe ukachukua mke, hiyo ni balaa zaidi. Mke ni kila mara kiguu na njia kwa mzazi mwenzie kumwona mwanae. Na nakwambia watazaliwa wengine hapo home kwako na huyo bwana!
Kwa nini ujiingize kwenye usumbufu wote huo na wakati wasichana fresh kabisa wapo hawajazaa, wamejitunza kwa adabu na heshima wanasubiri mume? Huoni kuoa hiyo nung'aembe ni kama promotion kuwa hata wao wanafaa kuolewa kumbe hawafai?
Labda kama na wewe una mtoto bila ndoa, basi oa huyo mtaendana, na kila mtu atamvumilia mtoto wa mwenzie. Lakini kama na wewe hujazaa, usijiharibie heshima yako, achana na hilo nung'aembe.
Kaka kaka nakushauri huyo aliyezaa achana naye kabisa ndugu yangu utafulia. Kulea mtoto wa mtu mwingine ni usumbufu mkubwa. Siku nyingine huyo baba yake atakuja kwako eti anakuja kumwona mwanae. Na mtoto akikua akikujua kwa babake haishi kiguu na njia kwenda huko kusimulia yako. Ukimrudi kakukosea, atasema kwa kuwa si babake. Likimtokea lolote baya atasema ningekuwa naishi na babangu isingekuwa hivi, shauri ya baba wa kambo. Na hata ukimfanyia mema vipi akafanikiwa, bado atarudi kumuenzi baba mzazi wakati wewe ndiye uliyelea.
Na ikiwa mtoto huyo kabaki kwa babake nawe ukachukua mke, hiyo ni balaa zaidi. Mke ni kila mara kiguu na njia kwa mzazi mwenzie kumwona mwanae. Na nakwambia watazaliwa wengine hapo home kwako na huyo bwana!
Kwa nini ujiingize kwenye usumbufu wote huo na wakati wasichana fresh kabisa wapo hawajazaa, wamejitunza kwa adabu na heshima wanasubiri mume? Huoni kuoa hiyo nung'aembe ni kama promotion kuwa hata wao wanafaa kuolewa kumbe hawafai?
Labda kama na wewe una mtoto bila ndoa, basi oa huyo mtaendana, na kila mtu atamvumilia mtoto wa mwenzie. Lakini kama na wewe hujazaa, usijiharibie heshima yako, achana na hilo nung'aembe.
hivi nitaendaje tena kwa huyo baba mtoto ambaye kwa namna moja au nyingine hakutaka/hakupenda kunioa bali kunizalisha tu?...ukute baba mtoto kashaoa, mie nimekorofishana na wewe niende kupooza kwake kha! kwa mwanamke anaejitambua hatoweza kufanya hilo katu....btw kwanini unifikirie mkeo kwamba nina akili ya "kupooza machungu"? waaminini wake zenu jamani sio kila mke ana akili ya kipoozeo.
..huyu unamwita nungaembe wewe wa kwako una hakika yupo fresh kama unavyodhani/fikiri?....utakuwa bado wewe ungejua binadamu kuitwa mama/baba ilivyo na utamu wake ucngemuongelea huyu dada kwa kumwita nungaembe....
Kaka nikuambie wazi, hakuna namna unayoweza ku-block uhusiano wa mtu na mzazi mwenzie unless uzao huo ulipatikana kwa ubakaji. Lakini kama yalikuwa maelewano, mwanamke hana uwezo wa kujitenga na mwanaume aliyemzalisha kwa hiari.
Mkuu punguzeni jazba....! Tujaribu kutoa ushauri zaidi.....tusibishane kupitiliza..!