Wana JF, Hivi kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyekwisha zaa

Wana JF, Hivi kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyekwisha zaa

Mkuu hapo kwenye wanawake fresh,niliona bado mbona kuna tatizo,ndoa nyingi zinafungwa za wanawake fresh ila pia ndo zinaongoza kwa matatizo,nadhani ukiangalia upande wa ndoa yenye tatizo naweza sema hata hao wasichana fresh huto-oa,cha muhimu zaidi ufahamu changamoto zitakazokukuta na jinsi gani utaweza zikabili,mtu mwenye busara akimbii matatizo bali utafutia majibu sahihi ya hayo matatizo,ndo maana nimeliwakilisha suala hili kwa great thinkers,nina mtoto wa nje ya ndoa,nakua muwazi kwenye kulijadili hili nipate jibu sahihi

Mkuu mtu hujikuna panapowasha....! Sijui sampling frame yako ilikuwa ngapi.....ila cha msingi kama unaona umefika mwisho huoni haja ya kuendelea kuongeza sample basi vuta kitu yako ule tarrrtibu!

Ila chagua kitu kizuri mtu wangu......suala la kusema uzuri sio sura achana nalo......usichukue kitu cha ajabu eti ana tabia nzuri......aah wapi mjomba! Hata Daudi alipoona amechemsha kuchagua mwanamke bomba akakimbilia wake za watu (mke wa Uria)...!
 
Mkuu hapo kwenye wanawake fresh,niliona bado mbona kuna tatizo,ndoa nyingi zinafungwa za wanawake fresh ila pia ndo zinaongoza kwa matatizo,nadhani ukiangalia upande wa ndoa yenye tatizo naweza sema hata hao wasichana fresh huto-oa,cha muhimu zaidi ufahamu changamoto zitakazokukuta na jinsi gani utaweza zikabili,mtu mwenye busara akimbii matatizo bali utafutia majibu sahihi ya hayo matatizo,ndo maana nimeliwakilisha suala hili kwa great thinkers,nina mtoto wa nje ya ndoa,nakua muwazi kwenye kulijadili hili nipate jibu sahihi

Kumbe basi umeshaamua sasa ushauri unatafuta wa nini? Mwenye busara hakimbii matatizo, sawa, lakini je, anapaswa kuyakimbilia?

Fikiria tena ndugu yangu, utakujajuta.

kama wasichana fresh ukioa bado kuna chance ya kukutana na matatizo, vipi huyo mwenye matatizo ya waziwazi tayari unategemea nini kama si matatizo zaidi? Hapo utakutana na shida wanazokutana nazo wengine kwenye ndoa, PLUS hizo za kuoa mama wa mtoto wa mwanaume mwenzio.

Kalaghabaho!
 
Nyamayao, Naomba nifafanulie ni visa gani hivyo ambavyo vitasababisha watengane kabisa na visa gani vitasababisha warudiane nikiwa naye, na kama kuna uwezekano nieleweshe ni njia gani nitatumia ku-block mahusiano yao yasiendelee upande wa mapenzi,ila kwenye suala la kumlea mwanao nafahamu siwezi zuia, ila nitashukuru kama ukinipa njia nzuri ya kuendeleza zoezi hilo, thanxs



kuna mambo kama ya kufumania, anakuhaidi mengi ya future ukija mwambia umeshika mimba anakukimbia, mwingine unakuta sio mkweli kumbe anayo familia nk.....kuhusu kurudiana hapo inategemeana na akili ya mtu zaidi, na kama mwanamke anajitambua vya kutosha hawezi kurudi na tayari ameolewa, na kwa upande wa ku block nadhani ni suala la kuongea na huyo mke mtarajiwa wewe ndio unamfahamu zaidi na na uwe na micmamo yako juu ya mtoto labda aende boarding kuzuia baba mtoto kusema kumwona na hivi na vile, ucjiwekee ku block mana hiyo itakuumiza kichwa, mke mtarajiwa ni mtu mzima na anajua baya na zuri....kaeni muongelee kwa undani kuhusu mtoto then muendelee na mambo mengine......
 
Mrs, wapo, tunaongeea uzoefu, au nikutajie list ya wanaonitongoza kwa kisa cha kutafuta mapozeo? LOL akili hizo wanazo sana tu Mrs


haya mr wangu, ngoja mie nibanane na wewe mpaka ukamilifu wa dahari....sihitaji kipoozeo mana unanitosheleza.
 
mkuu kifaru, kikubwa ni ku-match na huyo mtu unayempenda...kuzaa sio tatizo kabisa mkuu maana hata wewe waweza kua ulishapiga mimba nyingi tu tena zaidi yake but wako uliwaua kwa kuwa-abort na vimwana wako...so maelewano ndo kitu cha msingi sana kwa relationship yeyote ile..........anyway mie binafsi baba yangu alimuoma mama akiwa amesha zaa na hadi leo wako 30yrs kwa ndoa yao bila hata matatizo na mie ni mtoto wa 3... nikiwa naishuhudia ndoa yao kwa miaka 22 nilioishi hapa duniani tangu kuzaliwa sijawahi ona wakigombana wala kuwa na mikwaruzano.... so mkuu i a sure u tena kama unaona mnaendana na anakufaa na mnaelewana ......pls invest ua love to her...
 
Mbona nyie wanaume tunawakubali tu hata mkiwa na watoto mliozaa ujanani???? sasa imekuwa huyu hafai/hapaswi kuolewa kisa na maana ana mtoto???? mmmm mbona sie tumezidi tuanze nini??

Eh Kifaru we...bora mkubaliane mtakavyomlea huyu mwna and the rship btn yeye na baba mtoto.... kuwe na limits..kuna wengine hawataki hata kuonana macho!
 
khaa mabinti fresh wapo kona gani?..na ukumbuke kuna abortion pia, sasa cjui coz wamefanya abortion ndio wapo fresh....halafu kuoa/kuolewa haiangalii tu u fresh/sura/umbo nk...kuna zaidi ya hayo....huyu unamwita nungaembe wewe wa kwako una hakika yupo fresh kama unavyodhani/fikiri?....utakuwa bado wewe ungejua binadamu kuitwa mama/baba ilivyo na utamu wake ucngemuongelea huyu dada kwa kumwita nungaembe....

Hizo tuhuma za abortion wakati mwingine ni maneno ya wivu tu, hata wewe hapo wanaweza kukutuhumu kuwa ushafanya abortion kibao kumbe pengine si kweli. Lakini huyo aliyekaa na mwanamume hadi wakafikia kuzaa mtoto, hilo ni jambo tofauti kabisa maana linaonekana wazi.

Huyo anayeitwa baba wa mtoto wake kwa nini asimuoe? Ni nung'aembe tu, si kwamba nimemwita hivyo bali that's what she is, NUNG'AEMBE.

Namshauri jamaa atafute mwanamke ambaye hajazaa, aanze nae familia yao pamoja. Lakini kama nae alishazaa na wanawake huko, basi ni sawa akiowana na mwanamke huyo mwenye mtoto wataelewana, maana watachukuliana walivyo.

Hakuna sababu ya kwenda kutafuta matatizo ya waziwazi ilhali uwezekano wa kupata mwanamke wa kuanza nae bila mizigo upo.

Hafai huyo mwanamke.
 
Fikiria tena ndugu yangu, utakujajuta.
Hapo utakutana na shida wanazokutana nazo wengine kwenye ndoa, PLUS hizo za kuoa mama wa mtoto wa mwanaume mwenzio.

Kalaghabaho!

Mkuu bado hujamsoma vizuri Kifaru.....nae pia ana mtoto tayari! Sasa kwa hesabu za haraka haraka hapo ngoma droo...!

Mkuu Kifaru.......kwa vile hatujui undani wa hilo tunda mi naona justification ya kuvuta huo mzigo unayo wewe mwenyewe. Hili la kusema sijui jamaa yake aliyemzalisha atamla.......hiyo sio hoja ya msingi.........!
 
NDIO KUNA TATIZO LA KUOA ALIYEKWISHA ZAA....SI KWAVILE WEWE UKIMWOA HUTAKI KUZAA...SASA ITAKUWA ISHUE NA WEWE HUPENDI KUONA WATOTO WANAZAGAA NDANI MWAKO....ila kama iyo kwako sio ishuuu...mie napendekeza kuoa waliokwisha zaa tayari ndio watamu na wana xperience ya kutosha kwenye yaleee mambo yetu
 
Mkuu bado hujamsoma vizuri Kifaru.....nae pia ana mtoto tayari! Sasa kwa hesabu za haraka haraka hapo ngoma droo...!

Mkuu Kifaru.......kwa vile hatujui undani wa hilo tunda mi naona justification ya kuvuta huo mzigo unayo wewe mwenyewe. Hili la kusema sijui jamaa yake aliyemzalisha atamla.......hiyo sio hoja ya msingi.........!

Kama ni hivyo, basi huyo haswa ndiye mwanamke anayemfaa, namshauri aoe huyo wataelewana sana.
 
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao

kwanza hebu nambie anauzao wa watoto wangapi na kwa wanaume wangapi?? Si vyema sana kuoa mwanamke wa namna hiyo labda kama atakuoa wewe! kwanza nijibu hayo maswali!
 
haya mr wangu, ngoja mie nibanane na wewe mpaka ukamilifu wa dahari....sihitaji kipoozeo mana unanitosheleza.

jamani mkisikia watu tumeoa, msituinee wivu! hawa ndo wake...sio just wanawake!
 
kwanza hebu nambie anauzao wa watoto wangapi na kwa wanaume wangapi?? Si vyema sana kuoa mwanamke wa namna hiyo labda kama atakuoa wewe! kwanza nijibu hayo maswali!


Wawili,
 
jamani mkisikia watu tumeoa, msituinee wivu! hawa ndo wake...sio just wanawake!
MPWA KUOA YATAKA MOYO!
nasubiri binamu Geoff akifanya mambo na mie nifuate nyayo zake.
hahahaaaaa
 
haya mr wangu, ngoja mie nibanane na wewe mpaka ukamilifu wa dahari....sihitaji kipoozeo mana unanitosheleza.

ZD yuko wapi aje akariri hii mistari! Shemeji unajua kudekeza wewe! Hongera!
 

To be honest! Sikushauri kabisaa naelewa maana hayo ni maisha kiufupi kwa sasa mapenzi yenu ni ya tamaa tu hayo ni matatizo unataka kuyaingia jiulize swali rahisi tu kwa nini hakuolewa na aliye mzaalia! mmmh sio swala la kulipa uzito mwepesi vuta subira tafuta mwingine achana na hayo matatizo! hebu fikiri ukizaa na mwanamke alafu akaishi na mwanamme mwingine Mhhhhhhhhhh achaaaaa achaaaaaaaaaa
Ni mjane??????? au unafuata unafuu wewe???
 
Back
Top Bottom