To be honest! Sikushauri kabisaa naelewa maana hayo ni maisha kiufupi kwa sasa mapenzi yenu ni ya tamaa tu hayo ni matatizo unataka kuyaingia jiulize swali rahisi tu kwa nini hakuolewa na aliye mzaalia! mmmh sio swala la kulipa uzito mwepesi vuta subira tafuta mwingine achana na hayo matatizo! hebu fikiri ukizaa na mwanamke alafu akaishi na mwanamme mwingine Mhhhhhhhhhh achaaaaa achaaaaaaaaaa
Ni mjane??????? au unafuata unafuu wewe???
Mkuu KT, Rejea post yangu ya nyuma ,aliolewa akaachika, mimi binafsi mzazi nileyezaa naye,mahusiano yamekufa kabisa.
Tatizo ni kwamba pusi yake inakuwa iko loose.....
Kwa hiyo aachane nae au vipi mkuu?Inavyoonesha kama jamaa alisha ijaribu inaonekana iko tight.
Wawili,
Tatizo ni kwamba pusi yake inakuwa iko loose.....
Mkuu J, mapenzi ni zaidi ya pusi,
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao
Lakini Uwe tayari mkeo kwenda kwa mume mwenza wako 'kudiscuss' kuhusu maendeleo ya mtoto wao now and then!!!
Mkuu taratibu...............inawezekana alijifungua kwa operesheni kubwa (ya kutoboa tumbo, sio njia ya asili)
hakunaga ukweli juu ya hilo, mbona mie nimezaa kwa njia ya kawaida na hiyo hali ya kulegea cjaiona? kuna mazoezi ya kurudisha hiyo misuli jamani nyie wababa, ondoeni hiyo dhana.
Nyamayao nakubaliana na wewe kuwa hayo mazoezi yapo na ile kitu inarudia hali yake ya kawaida..! Lakini pia sipingani sana na Julius (Nyani Ngabu) kuwa baadhi yao ile kitu inalegea kinoma.....inakosa ladha....inakuwa baridiiiiiii.....!
Weka picha yake tumfanyie tathmni kabla ya kutoa ushauri.
KNK, Hiyo kitu inatokana na mwanamke mwenyewe anavyojiweka, hata hao ambao ni wasichana fresh wamo kwenye hilo kundi la kulegalega, hiyo ni elimu ya kujielewa mwili wako na kuufanyia ukarabati mara kwa mara,
Baba wa huyo mtoto bado hajaachana na huyo binti, atakwambia kuwa wameachana lakini wakikutana we haupo wanakumbushia enzi hizo na matokeo yake wanaendelea kuongeza watoto kwenye kaya yako,
hachana naye tafuta mwingine
aaaaaaaaaaaah.........mkuu huko umefika mbali?
Yap i agree with you.......ndo maana hata wanawake wengine akishazaa anakuwa na kitambi...!