Wana Jf Karibuni Tanga

mbona mnaahirisha dk za mwisho? Whats wrong?

ofisini mwenzangu anauguliwa na baba yake toka jana hajatokea, niko mwenyewe na nikisema nije kesho sitaweza kuwahi..... naomba tu niwatakie kila la kheri ntawamiss sana, nimeongea na Watu8 yuko njiani ataniwakilisha
 
ofisini mwenzangu anauguliwa na baba yake toka jana hajatokea, niko mwenyewe na nikisema nije kesho sitaweza kuwahi..... naomba tu niwatakie kila la kheri ntawamiss sana, nimeongea na Watu8 yuko njiani ataniwakilisha

pole sana usijali utafika tu siku yoyote
 
ofisini mwenzangu anauguliwa na baba yake toka jana hajatokea, niko mwenyewe na nikisema nije kesho sitaweza kuwahi..... naomba tu niwatakie kila la kheri ntawamiss sana, nimeongea na Watu8 yuko njiani ataniwakilisha

pamoja sana mkuu usijali...
 
Pouwa mkuu...
but kwenye ule uzi mama naona wanaoenda wote wapo na wenzi wao..sisi tulio singo inakuweje? au nipitie hapa Nyinda nichukue wa fasta fasta wa kuja naye?

usihofu Mkuu! Wapo single boys & girls tupo nao! Wewe tu!
 
Nzuri Mkuu! Nipo na wife safarini Tanga!


Nashukuru kaka kwa kupokea salamu zangu nawatakieni safari njema,na usisahau kumsalimia mke wetu marejesho ,hivi karibuni nitakupumzisha,nimeona mke wa watu8 anajulikana kama measkron ameonyesha interesti kwa mtakatifu...
 
Last edited by a moderator:
Nipo tanga kwa sikukuu apa minji sijui
Asee awa waendesha baiskeli na pikipiki wanantisha ku drink and drive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…