mbona mnaahirisha dk za mwisho? Whats wrong?
ofisini mwenzangu anauguliwa na baba yake toka jana hajatokea, niko mwenyewe na nikisema nije kesho sitaweza kuwahi..... naomba tu niwatakie kila la kheri ntawamiss sana, nimeongea na Watu8 yuko njiani ataniwakilisha
ofisini mwenzangu anauguliwa na baba yake toka jana hajatokea, niko mwenyewe na nikisema nije kesho sitaweza kuwahi..... naomba tu niwatakie kila la kheri ntawamiss sana, nimeongea na Watu8 yuko njiani ataniwakilisha
kama nahisi unatania hivi au kuna mtu kakuibia password...
Pouwa mkuu...
but kwenye ule uzi mama naona wanaoenda wote wapo na wenzi wao..sisi tulio singo inakuweje? au nipitie hapa Nyinda nichukue wa fasta fasta wa kuja naye?
usihofu Mkuu! Wapo single boys & girls tupo nao! Wewe tu!
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa