Hapana mkuu...puuza maneno ya mitandaoni...hakuna udanganyifu wowotekwa udanganyifu unaofanyika kwenye kujiandikisha tu. hizo sababu zote hazina uhalisia
Sio hivyo mkuu....siasa ni Kwaajili ya maendeleoSiasa ndio ina amua wanasiasa watembelee ma v8 pia
Kuna tume tukufu....yenye mamlaka hayoNani atazilinda hizo kura?
Unaongea haya ukiwa nchi gani?Sio hivyo mkuu....siasa ni Kwaajili ya maendeleo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu... hakuna kitu kama hicho.... kiongozi anatokana na majority decisionHizo faida unazodai kupatikana kimsingi hazipo kwa sababu mshindi hapatikani kutokana na kura unayopiga bali msimamizi wa uchaguzi atatangaza mshindi kutokana na matakwa ya CCM,usifikiri watu ni wajinga ndiyo maana hawataki kwenda kujiandikisha kwa sababu hakuna uchaguzi bali uchafuzi.
As long as uliandikisha.....umefanya jambo zrSikua na huo mpango ila walinifuata hadi nyumbani.
Hakuna faida hata moja hapoFaida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:
1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.
2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.
3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.
Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]
Mnasubiri nn???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tanzania......mbeya ....tkyUnaongea haya ukiwa nchi gani?
Inawezekana uoni .....letme remind youHakuna faida hata moja hapo
Kumiliki v8 pia ni maendeleo mkuu wangu.Sio hivyo mkuu....siasa ni Kwaajili ya maendeleo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
viongozi wengi wa Africa wamegubikwa na ufisadi.Inawezekana uoni .....letme remind you
Suala la amani
Ujenzi wa miundombinu
Uboreshaji wa elimu
Uboreshaji wa kilimo
All this ni faida za viongozi Bora waliochaguliwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tupo ground mkuu, hata 2020 mlisema ni uzushiHapana mkuu...puuza maneno ya mitandaoni...hakuna udanganyifu wowote
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
We unaonanhii ni ishara nzuri au mbaya mkuu?Sikua na huo mpango ila walinifuata hadi nyumbani.
Ebu angalia hii idadi ya kura zilizochagua rais;
Rais B.W.MKAPA 4,026,422
Rais J.M.Kikwete 5,276,827,
Rais J.P.Magufuri 12,516,252
Swali: Je una pata picha gani?
usisahau idadi ya Watanzania ni zaidi ya milion 55.
Na idadi ya wapiga kura ni zaidi ya milion 20.
Jibu: 1.WATU HAWANA IMANI NA SIASA ZA CHAMA.
2.HATA WAKIJIANDISHA NA KUPIGA KURA KIASI GANI, CHAMA KINAPANGA MATOKEO.
Ishara mbaya, wananchi tumekosa imani hatuoni tena haja ya kupiga kura.We unaonanhii ni ishara nzuri au mbaya mkuu?