LGE2024 Wana JF mmejiandikisha? hizi ni faida za kujiandikisha kupiga kura

LGE2024 Wana JF mmejiandikisha? hizi ni faida za kujiandikisha kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:

1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.

2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.

3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.

Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]

Mnasubiri nn???
Sipigi kula hadi utaratibu wa kupiga kwenye karatasi uondolewe,na kama utakuwepo basi kila mgombea awe na sanduku lake alafu yawekwe hadharani na wahesabu hapo hadharani Au tuhesabiane anaemtaka mgombea A asimame huku na anayemtaka mgombea B asimame upande wake ila huu utaratibu wa kuchezesha tatu mzuka aaah jichagueni tu mi nataka kama mkeka wa kubet najua hapa mechak elia amenichania mkeka wangu ila sio haya ya wazee wA kindegE.
 
Ebu angalia hii idadi ya kura zilizochagua rais;
Rais B.W.MKAPA 4,026,422
Rais J.M.Kikwete 5,276,827,
Rais J.P.Magufuri 12,516,252

Swali: Je una pata picha gani?
usisahau idadi ya Watanzania ni zaidi ya milion 55.
Na idadi ya wapiga kura ni zaidi ya milion 20.

Jibu: 1.WATU HAWANA IMANI NA SIASA ZA CHAMA.
2.HATA WAKIJIANDISHA NA KUPIGA KURA KIASI GANI, CHAMA KINAPANGA MATOKEO.
Factors ni nyingi mkuu...

Either kulikuwa na natural calamity siku za uchaguz

Watoto wengi

Literacy level.....low....or high

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:

1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.

2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.

3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.

Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]

Mnasubiri nn???
Vizuri
 
Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:

1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.

2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.

3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.

Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]

Mnasubiri nn???
Mbona tuliwambiwa na NAPE kua matokeo ya kura haitegemei mmepiga kias gan ila Nan anayesimamia sa si kazi ya kujichosha kama muamuz wa mwsho ni msimamiz?
 
Tusipoheshimu na kuthamini KURA ya mtu na MAAMUZI YAKE tutaendelea kuwa na wakati mgumu kuwapata wapiga kura.

Tutaendelea kukutana na madudu mengi yanayohitaji kutetewa kwa nguvu nyingi badala ya kazi ya mikono ua utendaji kujitanabahisha wenyewe.

Mwisho ni kila mmoja kubaki anamshangaa mwenzake tumefikaje hapa.
That's y inabidi wajiandikishe zaidi Ili kuchagua Kwa wingi watu wanaowataka

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nimejiandikisha kama dk 30 zilizopita hapa Kashai sokoni Bukoba. Chakushangaza nimekuta mwandikishaji tu na jamaa mmoja ndio kanikaribisha nikaingia ndani. Nikaulizwa majina nikawambia naitwa Nsangalufu Tuntufye Mwasakafyuka. nikaambiwa saini nikasaini Sijaulizwa umetoka mtaa gani, uenyeji wangu nk. Nimejiuliza maswali mengi je? kwa staili hii si wataandikishwa mamluki kibao?
Daaah nsangalufu mbna jina langu hilo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:

1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.

2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.

3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.

Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]

Mnasubiri nn???
Sijiandikishi ng'o labda kama masikio yangu hayafanyi kazi!


View: https://youtu.be/sPLjebt5ENE?si=Td9yccpWDNJb2bmc


View: https://youtu.be/Pe2CqPFP-sk?si=35khrWmxsa16P2-R
 
Back
Top Bottom