Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Nisiwe muongo, sikujiandikisha kwa kupenda kwangu. Hata uchaguzi mkuu sitapiga kura mana sioni sababu ya kufanya hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisiwe muongo, sikujiandikisha kwa kupenda kwangu. Hata uchaguzi mkuu sitapiga kura mana sioni sababu ya kufanya hivyo.
Sipigi kula hadi utaratibu wa kupiga kwenye karatasi uondolewe,na kama utakuwepo basi kila mgombea awe na sanduku lake alafu yawekwe hadharani na wahesabu hapo hadharani Au tuhesabiane anaemtaka mgombea A asimame huku na anayemtaka mgombea B asimame upande wake ila huu utaratibu wa kuchezesha tatu mzuka aaah jichagueni tu mi nataka kama mkeka wa kubet najua hapa mechak elia amenichania mkeka wangu ila sio haya ya wazee wA kindegE.Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:
1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.
2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.
3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.
Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]
Mnasubiri nn???
Kweli kabisa Siasa, sukari,Bei iliyoamua kutuuzia.Yaaah ni kweli mkuu....sema watu hawamjui
"Siasa ndiyo inayoamua sukari iuzwe shingapi........siasa ndio inayoamua maendeleo ya nchi" (Roma, 2024)
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
KabisaIshara mbaya, wananchi tumekosa imani hatuoni tena haja ya kupiga kura.
As long as imepatikana kihalaliKumiliki v8 pia ni maendeleo mkuu wangu.
Wengi....haimanishi keshoviongozi wengi wa Africa wamegubikwa na ufisadi.
Factors ni nyingi mkuu...Ebu angalia hii idadi ya kura zilizochagua rais;
Rais B.W.MKAPA 4,026,422
Rais J.M.Kikwete 5,276,827,
Rais J.P.Magufuri 12,516,252
Swali: Je una pata picha gani?
usisahau idadi ya Watanzania ni zaidi ya milion 55.
Na idadi ya wapiga kura ni zaidi ya milion 20.
Jibu: 1.WATU HAWANA IMANI NA SIASA ZA CHAMA.
2.HATA WAKIJIANDISHA NA KUPIGA KURA KIASI GANI, CHAMA KINAPANGA MATOKEO.
Sasa inabidi uwe front kwenye kuhamasisha ...raia wajiandikisheTupo ground mkuu, hata 2020 mlisema ni uzushi
VizuriFaida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:
1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.
2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.
3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.
Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]
Mnasubiri nn???
🤣🤣 unachekesha sana mkuu. Hoja nayosema unafanya kama hauioniSasa inabidi uwe front kwenye kuhamasisha ...raia wajiandikishe
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbona tuliwambiwa na NAPE kua matokeo ya kura haitegemei mmepiga kias gan ila Nan anayesimamia sa si kazi ya kujichosha kama muamuz wa mwsho ni msimamiz?Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:
1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.
2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.
3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.
Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]
Mnasubiri nn???
That's y inabidi wajiandikishe zaidi Ili kuchagua Kwa wingi watu wanaowatakaTusipoheshimu na kuthamini KURA ya mtu na MAAMUZI YAKE tutaendelea kuwa na wakati mgumu kuwapata wapiga kura.
Tutaendelea kukutana na madudu mengi yanayohitaji kutetewa kwa nguvu nyingi badala ya kazi ya mikono ua utendaji kujitanabahisha wenyewe.
Mwisho ni kila mmoja kubaki anamshangaa mwenzake tumefikaje hapa.
Daaah nsangalufu mbna jina langu hiloNimejiandikisha kama dk 30 zilizopita hapa Kashai sokoni Bukoba. Chakushangaza nimekuta mwandikishaji tu na jamaa mmoja ndio kanikaribisha nikaingia ndani. Nikaulizwa majina nikawambia naitwa Nsangalufu Tuntufye Mwasakafyuka. nikaambiwa saini nikasaini Sijaulizwa umetoka mtaa gani, uenyeji wangu nk. Nimejiuliza maswali mengi je? kwa staili hii si wataandikishwa mamluki kibao?
🤣🤣🤣🤣🙌Ugali
Sasa kachukua hizo namba kwa ajili ya nini? Namba gani kwanza, za simu?Nimejiandikisha tayari na wakala wa uandikishaji kachukua namba zangu
Sijiandikishi ng'o labda kama masikio yangu hayafanyi kazi!Faida ya Mtanzania kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali ya kitongoji, mtaa, na kijiji ni pamoja na:
1. Kuchagua viongozi bora: Inatoa nafasi ya kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuleta maendeleo na kushughulikia maslahi ya jamii.
2. Kuhakikisha uwakilishi wa wananchi: Kupitia kura, wananchi wanapata viongozi wanaowawakilisha kwenye maamuzi yanayogusa maisha yao moja kwa moja.
3. Kuimarisha demokrasia: Kushiriki kwenye uchaguzi ni sehemu ya kutekeleza haki yako ya kikatiba na kuimarisha demokrasia nchini.
Ndugu zangu, wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ni huu. Hii ni nafasi yetu ya kuhakikisha tunapata viongozi bora watakaosimamia maendeleo ya jamii zetu. Fanya uamuzi sahihi, jiandikishe leo ili ushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi ujao[emoji120]
Mnasubiri nn???