Wana JF mnaofahamiana nje ya JF kwa sababu ya JF njooni

Hapana asee...
fede kaungulia dukani kwake wengine wanasema kajichoma huko kisa issue za tra wanamsumbua akajichomea ndani kabikia fuvu tu pale marangu mtoni... nimehuzunika chalii lilikuwa limejijenga hatari
 
Kupitia miandiko nimefanikiwa kutambua wana JF 58 tu..
 
humu jamii forum najuana na watu wasiopungua 100,

Kuanzia wale ninaosoma nao na wengine wengi nimewapata humuhumu.

Wengine humu dada zangu wa hiyari,wengine wamekuwa wanangu sana.


Mmoja humu ni demu wangu na tunakaribia kufunga ndoa.
Nitakupa zawadi ya Euro million 1

Kama mwanamke mwenye akili timamu atakubari kuolewa na ww
 
fede kaungulia dukani kwake wengine wanasema kajichoma huko kisa issue za tra wanamsumbua akajichomea ndani kabikia fuvu tu pale marangu mtoni... nimehuzunika chalii lilikuwa limejijenga hatari
Jamani jamani jamani... huyu Ngosha huyu...

Ngoja nimwachie Mungu...

Alale pema peponi Fede wetu...
 
Siunaona jinsi ambavyo unashindwa kuficha ujinga wako?

Shoga toka Lin akawa na demu?

Mademu unao wa approach kwenye threads wote wamekupiga chini umebaki kutapataka kwa kuandika ujinga.

Alfu unajiitwa mwanafunzi wa chuo labda chuo cha ushoga.
Mzee hao mademu wala wala sina nia ya kuwatongoza na wengi kwanza wameniacha mbali kiumri na kimafanikio huwa nawafanyia masikhara tu na wenyewe wanajua hilo.

Ila kwa bimkubwa wako Akyamungu hata kwa ndele lazima anivulie chupi na ili tumalize ubishi nipatie namba yake.
 
Mkuu huyu dogo analeta dharau

Hugo bi mkubwa wake nikishindwa kumtongoza kwa njia za kawaida hata kwa njia za Giza lazima nimvue chupii.

Akibisha anipe mawasiliano.
Mi ushauri wangu ni nyie vijana kuwaheshimu wazazi wenu...

Kama mnapigana mabifu piganeni nyie kwa nyie bila kuwahusisha wazazi wasio na hatia...

Wamefanya makubwa sana kutufikisha hapa tulipo, tuwaache wapumzike...

Ni hayo tu kwa leo...
 
Haka kaligi... ngoja nikatafute pop corn...

Game linaelekea litaleta matokeo kama ya Liverpool Vs Arsenal...
Sasa babu Wenger huoni kama comment yako itapelekea matabaka humu jukwaani?

Vp pop corn.. Umeshanunua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…