Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,378
- 1,045
hamna ubaguz jichangany tuSema kuna wangine hawafahamiki kwasababu mnakuwa wabaguzi sana,kuna watu hata wakipost ujinga mna like na kujibu sana ila kuna watu wakipost hata kama jambo ni la maana na linagusa watu mnajibu wachache
Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Ivuga babu anasema lerato ni mchepuko wakeHivi kamepotelea wapi haka kamchepuko kangu?
Karibu sana muhengaTumetoka mbali ujue.. Tuna sifa zote za uhenga[emoji12] [emoji12]
Sina ugomvi na babu ila huko anakoelekea atasababIsha nianze kuongea na mshana afanye mchakato wa kumzawadia babu busha kubwa.Saint Ivuga babu anasema lerato ni mchepuko wake
Nmekufahamisha mapema
Kuku, sijasahau ujue!!!
Hahahaha some are still remembering him for his great fix.Kelvin issaya
Hata wewe unaogopa jomba?
Ukimaanisha kuwa jf members ni mende!!Duh umepotea sana jamvini...
JF ya sasa sio ile ya zamani mkuu...kuna mende wengi humu...
Polenifede kaungulia dukani kwake wengine wanasema kajichoma huko kisa issue za tra wanamsumbua akajichomea ndani kabikia fuvu tu pale marangu mtoni... nimehuzunika chalii lilikuwa limejijenga hatari
Yaani sisi tuliojiunga karibuni ndo mende!Ukimaanisha kuwa jf members ni mende!!
Members wa jf wa zamani wana dharau sana aisee!! Sawa mambo yamebadilika and ofcoz time has changed too, sasa wao kwa nini wasikubaliane na mabadiliko!!!
Anakuwa mhenga mendeMembers wa jf wa zamani wana dharau sana aisee!! Sawa mambo yamebadilika and ofcoz time has changed too, sasa wao kwa nini wasikubaliane na mabadiliko!!!
Hivi ukiwa kwenye kundi la mende wewe unakuwa nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anakuwa mhenga mende
Hahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Habari za siku nyingi mdogo wangu!
Niko poa kabisa, za kupotea?Hahahahah
Safi dada yangu, hope uko poa
Safi tu dada, huwa nakuona kwenye Uzi series kuleNiko poa kabisa, za kupotea?