Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Naona huyu hajawaelewa wanaume. Tunayo instinct flani, mtu akijigonga head-on huwa tunahisi hata kama hajasema. Sasa inaweza kutokea mdada kajigonga kihivyo lakini mi sijamfeel kiviiiiile, kinachofuata ni opportunism. Namfungulia mlango akiingia namega hadi hapo atakapogundua kuwa feelings hazikuwa za kiviiiiile, akiamua kuchapa mwendo poa, hatugombani.

OMG Mtu B nadhani zama hizo zimepita kwako rafiki..unakumbuka ulivyopata tabu ya mawazo kipindi kile.:biggrin1:
 
Ni kweli usemayo kaka ila huyo dada alikuwa anampenda kimya kimya hajawahi kumuonyesha hata sku 1 na yuko serious sana kiukweli kiasi kwamba hata mamen wa hapo kazn kwao wanasema anaringa

Kwa mwanaume yeyote, hakuna starehe inayozidi ile ya kufanikiwa kumega demu ambaye kila mtu anajua ni 'hard to get'. Yaani nikimega wa hivyo najisikia bonge la champion, hata kama itakuwa mara moja tu halafu anipe kibuti poa tu.
 
Rose kama umemsema handsam wangu vile:dance::biggrin1:...........................
m sor jaman
skumanisha jaman kumsema hand sam boy wako!!!!...au ulimaanisha ana sifa km izo ?hahahahaaaaaa raha kwelikweli!!!!!
 
kampe tu tena umwambie vizuri
uenda jamaa nae alikuwa ashamsoma bidada so ni swala la danadana mbili tatu kitu ikishagota nyavu ataanza visa na dada atabakia na majonz
kuna dalili nying sana za kumegwa na kuachwa!!!!!
awe mwangalifu asilewe na uhandsam utamgharimu!!!!!!

Yaani rose huyo mkaka sio handsam ila pia sio mbaya lakini katika mahandsam huwezi kumuweka na huyo bidada anapendaga sana mahandsam ndio maana akawa anajishangaa imekuuwaje amempenda huyu gafla wakati hazimikiagi wa dizaini hizi
 
Kwa mwanaume yeyote, hakuna starehe inayozidi ile ya kufanikiwa kumega demu ambaye kila mtu anajua ni 'hard to get'. Yaani nikimega wa hivyo najisikia bonge la champion, hata kama itakuwa mara moja tu halafu anipe kibuti poa tu.

Na ni mgumu kweli kweli kwani ameshasema hana mpango wa kuongeza mwanaume mwingine katika list waliopita wanatosha
 
OMG Mtu B nadhani zama hizo zimepita kwako rafiki..unakumbuka ulivyopata tabu ya mawazo kipindi kile.:biggrin1:

Usinkumbushe dadangu! Lakini imenifanya pia nikaiamini sana kondom. Hapa sasa hivi sina demu, lakini mara moja moja namega wale wanaoingia kwenye 18 zangu kimtego, lakini strictly kwa kuzingatia masharti na vigezo: SSS and NSA (strictly safe sex and no strings attached).
 
Na ni mgumu kweli kweli kwani ameshasema hana mpango wa kuongeza mwanaume mwingine katika list waliopita wanatosha

Kuna wanaume wana fantasy hiyo ya kupenda kumega the so called 'hard-to-get'. Yaani wako tayari kusubiri, kutangaza uchumba, na hata kulipa mahari, wakishamega wanapunguza bidii kidogokidogo (kinda weaning) hadi mdada ujitoe mwenyewe
 
Usinkumbushe dadangu! Lakini imenifanya pia nikaiamini sana kondom. Hapa sasa hivi sina demu, lakini mara moja moja namega wale wanaoingia kwenye 18 zangu kimtego, lakini strictly kwa kuzingatia masharti na vigezo: SSS and NSA (strictly safe sexand no strings attached).

nilidhani umesahau
 
ndio akaja kuniuliza je aende isije kuwa mshkaji anataka tu kummega na yeye hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe yaani kama hana msimamo ni bora yaishe

MUULIZE WAPI IMEANDIKWA MNAPOMEGANA INAONYESHA HUYU NI WANGU WA MAISHA AMA HUYU ANATAKA KUNIMEGA AANZE..MWANAUME SIKU ZOTE UKIJIACHIA UKAMEGWA KIRAHISI ANAKUDHARAU MAISHA NI WACHACHE SANA WANAOMEGWA NA KUISHIA KUOLEWA TUULIZE WACHUMBA WA MASHULEN WALIISHIA WAPPI TENA VYUON MIAKA 4 ,SO KAMA ATAKUBALI KUMEGWA MPE POLE YAKE
 
Dah hii stori unaweza kuitengeneza script ya movie, maty swala ya yeye kwenda kwake jamaa jumamosi na kuogopa kumegwa ni hiari yake mwenyewe sababu ana uwezo wa kusema ndio au hapana kama anaenda mwambie aende halafu amsikilize jamaa atasemaje jamaa akiomba kikojoleo chake ampige chini maana jamaa atakuwa amekaa kikazi zaidi.
 
Sasa demu anasema alikuwa akimtamani siku nyingi sasa kaja anataka ushahuri!!!inashangaza mambo mengine yamekaa kishahiri zaidi.!Mwambie ampe na asiangalie kama ataweka base au lah,kwa siatakuwa amekata kiu yake yasiku nyingi?baada yahapo ndo amconvice wawe wapenzi asije akakosa yote!Akate kiu kwanza ndo ushauri.
 
Dah hii stori unaweza kuitengeneza script ya movie, maty swala ya yeye kwenda kwake jamaa jumamosi na kuogopa kumegwa ni hiari yake mwenyewe sababu ana uwezo wa kusema ndio au hapana kama anaenda mwambie aende halafu amsikilize jamaa atasemaje jamaa akiomba kikojoleo chake ampige chini maana jamaa atakuwa amekaa kikazi zaidi.

akiomba kamdomo jee?atakuwa amekaa kimtapia mlo zaid?
UMESEMA KWELI ..AKIOMBA GAME UYO AJUE ANATAKA ASAIN TU ASEPE
 
Yaani rose huyo mkaka sio handsam ila pia sio mbaya lakini katika mahandsam huwezi kumuweka na huyo bidada anapendaga sana mahandsam ndio maana akawa anajishangaa imekuuwaje amempenda huyu gafla wakati hazimikiagi wa dizaini hizi

NDO KUSEMA LOVE FROM 1st sit??........hahahaaaaaaaaaa mweeeee akuna lolote bib asijijaze maupepo labda mwenzake ana gf wake uyo tena wanapendana yeye akijipeleka ata...then ataachwa !
naivi ashaonyesha malaria ya kumshobokea mkaka wa wawatu ahhhh kaka kiulain apo anafanya kufunga bao kwa kisigino....!!!
ajikaze bwana iyo kujifanya unapenda penda tu unaweza penda majin shaur zake!!!!!!!
 
Kuna wanaume wana fantasy hiyo ya kupenda kumega the so called 'hard-to-get'. Yaani wako tayari kusubiri, kutangaza uchumba, na hata kulipa mahari, wakishamega wanapunguza bidii kidogokidogo (kinda weaning) hadi mdada ujitoe mwenyewe

Me wa hivyo kwa kweli hata kama atanimega na kusepa poa tu kwani hata yeye atakuwa amehangaikia sana kwani akimega ataondoka nayo?
 
akiomba kamdomo jee?atakuwa amekaa kimtapia mlo zaid?
UMESEMA KWELI ..AKIOMBA GAME UYO AJUE ANATAKA ASAIN TU ASEPE

Stuka hata huo unatumika siku hizi, yaani aende jumamosi halafu jamaa on the same day amuombe biolojia dah atakuwa kweli amekaa kingono zaidi
 
NDO KUSEMA LOVE FROM 1st sit??........hahahaaaaaaaaaa mweeeee akuna lolote bib asijijaze maupepo labda mwenzake ana gf wake uyo tena wanapendana yeye akijipeleka ata...then ataachwa !
naivi ashaonyesha malaria ya kumshobokea mkaka wa wawatu ahhhh kaka kiulain apo anafanya kufunga bao kwa kisigino....!!!
ajikaze bwana iyo kujifanya unapenda penda tu unaweza penda majin shaur zake!!!!!!!

Ni kweli ashaonyesha maralia ila huyo mshkaji hajashtukia wala nini, ila kwa kweli hana mpango wa kumegwa kabisa ambacho anashangaa ni kuona kwamba alikuwa anamzimikia bila jamaa kujua alafu jamaa akaja kumuomba urafiki
 
Me wa hivyo kwa kweli hata kama atanimega na kusepa poa tu kwani hata yeye atakuwa amehangaikia sana kwani akimega ataondoka nayo?


kama ni hivi huu ushauri mpe na mwenzio aufanyie kazi...
 
Me wa hivyo kwa kweli hata kama atanimega na kusepa poa tu kwani hata yeye atakuwa amehangaikia sana kwani akimega ataondoka nayo?

Halafu mkiishamegwa mnakuja hapa mnaanzisha thread ohoo wanaume hawafai kanimega kisha kaondoka kumbe wenyewe mnaona poa, anywayz MALARIA HAIKUBALIKI
 
Back
Top Bottom