Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

Wana JF msaada jamani katika mauzoefu yenu mmeshakutana na hii?

@Maty

it is alwasy difficult to know if someone loves for real hadi mkae pamoja na mzoeane na kusomana...

Hata tukushauri nini hapa jamvini, the truth shall come from the two after intimacy and exposure to each other

Umeona mzee mwenzangu eee,

Sasa hiyo nafasi ya kumfahamu huyo mtu aliyemfuniga hadi novena ataitoa wapi wakati kila saa anafikira kutotoa hazina yake? Nadhani tayari huyu dada anaweza kuwa na kiwango cha juu cha ubinafsi. Kwa nini anaweza kuwa kitu dhamani kubwa kwake ni dudu? Tena ambayo hailipiwa VAT? Napata shida kumwelewa huyo mwanamke....ooops, sorry binti!
 
Nashukuru wote kwa ushauri wenu jamani kiukweli nimetoka na kitu kipya leo hapa JF
 
Hayo mawazo tulikuwa nayo sisi enzi zetu za 1947. Kama hamtayaacha basi mnajitafutia matatizo. Hii ni biasha ya nipe nikupe kwa hiyo suala kama hili halipo kabisa. Ukizingatia huyu dada anataka kwenda mwenyewe bila kushikiwa mtutu. Halafu ameugua miezi 6 anamtamani huyu jamaa. Kwa nini usiwaze kuwa jamaa anataka kutumiwa kumpeleka binti peponi halafu wakati huo anajipa muda wa kutafuta zile sampuli alizosema kuwa ndio zinamsubua akili yake?

Bado siwaelewi...!!!

DC na ndio maana mimi nikasema hapa hakuna cha kushauri hivi mtu na akili yake anaweza akaja kukuuliza eti fulani ameniambia niende kwake jumamosi wewe unanishauri vipi niende au nisiende wakati ni mtu mzima na una maamuzi yako mwenyewe whether umegwe au lah
 
Nashukuru wote kwa ushauri wenu jamani kiukweli nimetoka na kitu kipya leo hapa JF

Kamwambie huyo rafiki yako aache kabisa kisebu sebu...kama moyo unatamani kwanini anataka kuifunga miguu yake??

Ngoja nimwombe ufafanuzi Rev. Masa,

Kwani si tulishaambiwa kuwa ...Tafuteni kwanza ufalme wa Mbinguni... ? Na huyo dada atafute kwanza penzi lake...mengine mbona yatakuja yenewe? Mweleze hata akificha Pluto, atarudi mwenyewe?
 
Hata mimi leo nimempa Rose Crown....:yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo:
m here beb maty
dark cty sema kaka
nilikuwa meeting...pole kwa kunikosa jaman
mchana ushapta sa itakuwaje?
labda nkupe cha dina dina?
ennhh???? sema bas maty km vp ntakupa cha usiku dina uipate kwa unono!!!!!
 
Umeona mzee mwenzangu eee,

Sasa hiyo nafasi ya kumfahamu huyo mtu aliyemfuniga hadi novena ataitoa wapi wakati kila saa anafikira kutotoa hazina yake? Nadhani tayari huyu dada anaweza kuwa na kiwango cha juu cha ubinafsi. Kwa nini anaweza kuwa kitu dhamani kubwa kwake ni dudu? Tena ambayo hailipiwa VAT? Napata shida kumwelewa huyo mwanamke....ooops, sorry binti!
swadakta mkuu.... kuna verse moja ya mwimbo wa westlife inasema

It's the heart afraid of breaking
that never learns to dance
It's the dream afraid of waking that never takes the chance
It's the one who won't be taken
who cannot seem to give
and the soul afraid of dying that never learns to live

ukiisoma hii itakuambia kabisa... hata mbegu haioti, kama haita-germinate


I am sure Maty atamwambia dada atoke sas hivi afunge virago akamchukue mkuu ampe raha... yatakayofuata ni mazuri tena hasa kama amefunga novena
 
Nina rafiki yangu jana jioni aliniita na kuniomba ushauri sasa nimeshindwa hata cha kumshauri kwani sina uhakika, ndio maana nimeamua kulileta hapa kwenu mnisaidie mawazo.

Huyu dada anadai kazini kwao alikutana na mkaka siku moja wakati wa lunch yaani ile kumuona tu akatokea kumpenda ghafla mpaka akajishangaa kwani (hata mimi najua hilo) yy anapenda sana wanaume mahandisamu halafu weupe yaani akiwaona hao moyo wake huwa unashindwa kufanya kazi kabisa. Lakini akashangaa anampenda huyo kaka kwani si mbaya ila sio type ya wale anaozingukaga nao halafu ni black lakini akavutiwa nae sana ikabidi awe anaenda kula ile sehemu kila mara ili awe anamuona tu na akaniambia alikuwa hata anasali kuomba mungu huyo kaka itokee siku amtongoze na anatamani hata ikiwezekana awe mumewe lakini haikuwa hivyo ila huwa wanapeana hi ya juu juu wakikutana. Siku zikawa zinaenda tu mpaka ikakatika miezi sita. Wiki iliyopita yule mkaka akaanza kumzoea zoea taratibu wakikutana anamisimamisha anamuuliza hili na lile wakaanza kuzoeana taratibu ila si kiviile, sasa anasema juzi yule kaka akamuomba amtembelee ofisini kwake, yule dada akaenda wakapigapiga stori yule kaka akamwambia nilikuwa natamani kuzungumza na wewe toka siku nyingi ila ulikuwa uko serious sana mpka nikawa nakuogopa, hata kukwambia uje ofisini kwangu leo niliamua kujitosa tu nashukuru umekuja wakabidilishana mawazo baadae yule kaka akamsindikiza yule mdada mpaka maeneo ya kwao na wamepanga wakutane jmosi. Sasa akawa ananiuliza hivi inawezekana wakawa wanapendana kiukweli cause kwa maelezo yake inaonyesha yule dada alikuwa anamzimikia mshikaji na mshkaji alikuwa anamzimia demu ila kila mtu alikuwa anashindwa kumwambia mwenzie ila anasema kilichomshtua jamaa kamwambia hiyo jmosi wakutane kwake (kwa jamaa) ndio akaja kuniuliza je aende isije kuwa mshkaji anataka tu kummega na yeye hata kama anampenda hayuko tayari kumegana nae halafu yaishe yaani kama hana msimamo ni bora yaishe. So naombeni mauzoefu yenu wandugu labda kuna wengine ilishawahi kuwatokea hii na ikawaje

nategemea ushauri mzuri wapendwa na si madongo
Mimi kama mwanaume sijawahi kuomba appointment kama hiyo nikaambulia patupu....! Mwache tu aende, Jpili/Jtatu atakusimulia yaliyomtokea, tena bila ahadi ya maana....! Maana akifika huko ataambiwa; Mficha uchi hazai...! Kisha atafichua ili azae, then atatoka na matunda .....!
 
mie cwaelewi hapa, kama ni hivyo huyu mdada ashauriwe asiende, vingenevyo kama anataka kwenda ategemee lolote huko kwa huyo mkaka.

kwani ni lazma wakutane kwa huyo mkaka jamani?au mdada kaona ni golden chance akashindwa kusuggest sehemu nyingine,binafsi simshauri kwenda kwake wakutane nje ya hapo
 
Umeona mzee mwenzangu eee,

Sasa hiyo nafasi ya kumfahamu huyo mtu aliyemfuniga hadi novena ataitoa wapi wakati kila saa anafikira kutotoa hazina yake? Nadhani tayari huyu dada anaweza kuwa na kiwango cha juu cha ubinafsi. Kwa nini anaweza kuwa kitu dhamani kubwa kwake ni dudu? Tena ambayo hailipiwa VAT? Napata shida kumwelewa huyo mwanamke....ooops, sorry binti!


Nimekupata baba ila nasikitika kumbe mahusiano lazima upate dudu la sivyo hayaendi mi nilidhani waweza mnyima mpaka siku ya ndoa. Kwani hamuwez kusubiri
 
m here beb maty
dark cty sema kaka
nilikuwa meeting...pole kwa kunikosa jaman
mchana ushapta sa itakuwaje?
labda nkupe cha dina dina?
ennhh???? sema bas maty km vp ntakupa cha usiku dina uipate kwa unono!!!!!

Na mie?
 
DC na ndio maana mimi nikasema hapa hakuna cha kushauri hivi mtu na akili yake anaweza akaja kukuuliza eti fulani ameniambia niende kwake jumamosi wewe unanishauri vipi niende au nisiende wakati ni mtu mzima na una maamuzi yako mwenyewe whether umegwe au lah

Weeee,

Kwa mzazi mtoto hakui bwana. Ndio maana tupo kuwasaidia hawa vijana ili hata kondoo mmoja asipotee. Unamshauri tu, tena vizuri sana. Wakati mwingine ni msongo rika tu ndio unamsumbua. Mfano huyo dada akili yake yote sasa inafikiria kumegwa wakati kuna raha nyingi sana anaweza kupata kwa kumwona huyo BF mpya bila hata kustuliwa. Na usishangae akaja yeye mwenyewe kuomba mechi. Mimi ilishanitokea hiyo.

Ngoja niishie hapa kwanza...wajukuu wengine wanatakiwa wakalale kwanza!
 
Mimi kama mwanaume sijawahi kuomba appointment kama hiyo nikaambulia patupu....! Mwache tu aende, Jpili/Jtatu atakusimulia yaliyomtokea, tena bila ahadi ya maana....! Maana akifika huko ataambiwa; Mficha uchi hazai...! Kisha atafichua ili azae, then atatoka na matunda .....!

:biggrin1::biggrin1::biggrin1::dance::dance::dance::dance:
 
swadakta mkuu.... kuna verse moja ya mwimbo wa westlife inasema

It's the heart afraid of breaking
that never learns to dance
It's the dream afraid of waking that never takes the chance
It's the one who won't be taken
who cannot seem to give
and the soul afraid of dying that never learns to live

ukiisoma hii itakuambia kabisa... hata mbegu haioti, kama haita-germinate


I am sure Maty atamwambia dada atoke sas hivi afunge virago akamchukue mkuu ampe raha... yatakayofuata ni mazuri tena hasa kama amefunga novena

eti eeee sasa dada mwenyewe alisema hataki kabisa kutoa mbunye nikimwambia si ataniona mwanga
 
m here beb maty
dark cty sema kaka
nilikuwa meeting...pole kwa kunikosa jaman
mchana ushapta sa itakuwaje?
labda nkupe cha dina dina?
ennhh???? sema bas maty km vp ntakupa cha usiku dina uipate kwa unono!!!!!

Rosee Roseee....

Hebu kwenda taratibu..naona unataka kuchafua hali ya hewa.
 
kwani ni lazma wakutane kwa huyo mkaka jamani?au mdada kaona ni golden chance akashindwa kusuggest sehemu nyingine,binafsi simshauri kwenda kwake wakutane nje ya hapo

Sio vizuri kunyimana biolojia muache aende biolojia zikabadilishane uzoefu
 
Duh hizi thread za mapochopocho ze sukari ina wadau wengi. sijui kwa nini!!!!!!!!!!!!?
 
Rosee Roseee....

Hebu kwenda taratibu..naona unataka kuchafua hali ya hewa.
nin baba?asi cha usiku chakula jaman?
mara nyng inakuwa wali maharage,ndiz au chapat chai au we uliichukuliaje?labda?
 
Nimekupata baba ila nasikitika kumbe mahusiano lazima upate dudu la sivyo hayaendi mi nilidhani waweza mnyima mpaka siku ya ndoa. Kwani hamuwez kusubiri

Kama unataka hayo basi hebu rudisha kalenda yako nyuma hadi mwaka wa 1917! Ukiweza basi ...utakuwa umeshinda.
 
eti eeee sasa dada mwenyewe alisema hataki kabisa kutoa mbunye nikimwambia si ataniona mwanga
basi asisumbue watu.... kumbe anajua anachotaka sasa anahangaika nini?

tena wa namna hiyo huwa wanaumizwa sana maana by the time anasema YES, a man anakua ameshaturn away, anaishia kuliwa na kuachwa na kuchukia wanaume buree

Pole zake
 
Back
Top Bottom