CCM kama hujawah kujishigulisha na mambo yao mengimengi ,et umetokea kusikojulikana waja kutafuta nafasi hiyo hahaaa
Mzee wangu na Uprof wake kaambulia kura 4 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmemwambia, CCM achana nayo kama unataka uzeeke vzuri.