Maneno haya tukimwambia Lisu watu hawaelewiHahahahaaaa! Bro ulikosea Timing Umaarufu unaishia hapahapa J.f huko nje wapiga kura hawajui km kuna J.f Ina Run Dunia.
Kwakweli sikutegemea Kama Paskal angekuwa mccm...ovyo Sana huyu msukuma..kanichefua hatari..kumbe kwel alikua akijibamiza!?Hio pesa afadhali tungekunywa K-Vant maisha yakaendelea. Misuse of scarce resources is unacceptable
Pascal Mayalla,
Mwana mkaidi hapewi pole.
Karibu tuendeleze mijadala yenye afya hapa JF. Tactic yako ya kujipendekeza kwa kumsifia Jiwe na kujipendekeza CCM is not working. Go back to the young YOU; Achana na kusifia sifia na kuabudu.