Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Yaani hapo ni kama umetoa amri ya kijeshi....!
Nishamtuma dogo ampelekee!...Kuna amri ingine ambayo utafurahi ukiniamrisha mamaaa?
Nakuskilizia!

Hakuna ingine baba, ila nashukuru tu kwa kumtoa Saharavoice, manake Maty hana utani na Mariooo kabisa bana.
 
Daaa Mungu ni mwema Preta wangu tulifika salama, na mm nipo salama kabisa mpenzi,
Paka mweusi hatuwezi bana, akizidisha utani tunamuomba Paka Jimmy atusaidie najua tutamshinda tu.

Vipi lakini, umemuona bigirita ee.

bigirita mpaka jana nilikuwa nae.....amegoma kuja huko kasema mambo yote yapo JF HEADQUARTERS.....sisi hatuna hiyana....tumemwambia aendelee kula raha
 
Mi niko poa LD, naweza kukutumia hiyo pic thru ur email nitumie email yako kwa pm.


okey, ntakutumia hmethod, na ufanye unitumie fasta manake hio ndo avatar yangu, from next year.
 
bigirita mpaka jana nilikuwa nae.....amegoma kuja huko kasema mambo yote yapo JF HEADQUARTERS.....sisi hatuna hiyana....tumemwambia aendelee kula raha

Ok, kwa hiyo yupo Mbagala ee.
 
Hakika nikirudi Tanzania hasa wale waishio Morogoro nitawafahamu wote na kushirikiana nao! Hivyo shaka sina sasa la kuwaona wa JF
Hujadhamiria...
Nia ya msingi ya JF si pahala pa kujifichaficha kama kichuguu cha NGUCHIRO..!..Ni mahala pa kusocialize, kubadilishana mawazo, kutoa hoja za kisomi na kitaaluma za kusaidia maendeleo ya nchi na kutoa majawabu ya matatizo mbali2 ya kijamii!

Hivyo tusione hatari kukutana, unless kama tuna matatizo binafsi ya ugomvi, almaarufu 'bifu', au kama tuna lugha mbaya majukwaani ambazo tunaona tukionekana zitatufanya tuonekane duni..
Thats me!
 
Wala usijali PJ ye muache tu aanzishe afu ntakwambia yote alonambia.
HEHEHeeee...Una akili sana luv, hivi wewe utakuwa ulisoma chuo kimoja na mkwewe Obama pale Diclorodiphenyltrichloroethanyl eeh?
Akileta zake tu unanifowadia live.
 
Niliwaona kwa mbali nikasema ningefahamu mapema ningetoa mchango wangu na mimi nijumuike.Hongereni kwa kufanya shughuli hii na pia nimpongeze Max kwa kutoka straight hospitali bila kupumzika mpaka kufika Arusha, wana JF wa Arusha jamaa kaonesha kuwajali sana.
 
Mkuu.....kwanza nikupongeze sana kwa juhudi zako ambazo ndizo zimezalisha jambo hili tulilolifanya leo.....nimejaribu kupitia kwa harakaharaka kutathmini ni mtandao gani unaoweza kukutanisha watu kwa style hii nimeukosa.....ni jambo la kushangaza sana.....kuona watu wana upendo wa namna hii bila kufahamiana.....

Nikushukuru pia na wewe rasmi kwa kuacha shughuli zako na kuungana na sisi.....tumefurahi sana, na pia umetuongezea chachu ya kuifanya Jamii Forums iwe zaidi ya hapo ilipofikia.

Pia niwashukuru na members wale wote walioonyesha upendo wao wa kutoka Dar es Salaam kuja kuungana na sisi na wale wote walioshindwa kujumuika lakini walikuwepo na sisi kimawasiliano na kiroho.

Mwisho niwashukuru members wote wa Jamii Forums kwa upendo wao na Mungu awazidishie moyo huo huo wa upendo mlio nao.

Mkuu...tumekuweka kwenye sala zetu uweze kumalizana na dozi salama ili tuweze kuendelea kuwa na wewe katika jukwaa hii letu kwa ujumla.

JAMII FORUMS NI ZAIDI YA KEYBOARD

Wow! you did it.
 
Hakika nikirudi Tanzania hasa wale waishio Morogoro nitawafahamu wote na kushirikiana nao! Hivyo shaka sina sasa la kuwaona wa JF

mimi nakuhakikishia hata hapo ulipo wapo......huna haja ya kuja all the way to tz....tangaza nia uone jinsi itapokelewa
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!

Thank you. Namungu akupe nguvu upone haraka. Japo natamani nijue uko kwenye doze ya nini.
 
jamani jamani....hivi kwa nini hamtaki kuelewa.....JF HEADQUARTERS ni Arachuga baby gal

Ahaaaa Pale Tegeta Kibaoni ee,
Asante baby gal kwa kunifahamisha,

Halafu ni jirani sana na nyumbani kwa Teamo.
 
Wow! you did it.

mweee mwee...daring hujambo......hivi umekujaga kupotelea wapi.....ni wewe tu ulikosekana.....sharubu, msumeno, wa juu, wa chini, masikio, chinene....wote walikuwepo...........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom