Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
babu usinisemee kwa bibi atanichapa c unajua nilitoroka mara moja 2

Halafu wewe enzi za mwalimu ukiwa unaniangaria kwa macho ya mana ile (wizi mtupu) watu wangevunja kabati mitaa ya ungaltd. Na matejoo.
 
unasemaaaaaaaaaaaa! Maty aende? Huyu Saharavoice ntamwendea kwa babu pale msitu wa tembo. We cheza tu na wa2 hovyohovyo. Hivi huyu Saharavoice ndo yule anamkiwaga kwenye redio anauchuna sio. Anaitwa nani vile yule wa wototo wa shule nani tena?

Unamaanisha FATAKI?
 
Babu kesho narudi tena Arusha kupeleka mahari hii trip imekuwa succesful PJ,DERIMTO,PRETA,LILY FLOWER watanisaidia kwenye hili

Mahari ya Loner advance unaleta kwa kwangu kama kaka yake kama tulivyokubaliana na itakayobaki tutasawazisha na kumaliza suala ya zile warning zako ulizotoa juu ya mwanajamii one ili usinibugudhi tena na mwanajamii one maana mpaka sasa anazunguka huku kichwani
 
Jamani guyz...........................sina la kusema zaidi ya aksante kwa kutukaribisha na kutufanya tujisikie tuko nyumbani na pia kutupokea na kutupa fursa ya kuwawakilisha wanaJF wa Dar na kwingineko ambao ni wazi wangependa kujumuika pamoja nasi. Kwa kweli sikuwa nimepata picha ya mapokezi hayo hasa ukizingatia tuliwasurprise tu ...............njia nzima nilikuwa na mashaka kama tutawakuta but alas to my shock it was awesome.....especially pale kaka Pakajimmy alipokutanishwa ghafla na Da Sophy pale Midway loh...................

Samahanini naombeni namba ya simu na jina la yule DJ................

We koma yule Dj.umpeleke wapi maana nilimleta kwa ajili yako tu na kazi yake imekwisha.
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!
Mkulu...uko ktk Dozi yah....?
nasikitika sikufanikiwa kukutana na meba hata mmoja mwezi ulopta nilipokuwa huko....mara ingine nitawatafuteni huko....Heri ya mwaka mpya wote!!karibuni BBQ ya beberu wawili na freezer la makunywaji!!
 
ha ha ha....halafu nimejaribu kuweka zile picha za yule tembo aliyekuwa anaenda kumfinya Hmethod nimeshindwa.......hmethod anatakiwa atushukuru sana mimi na chipukizi bila hivyo angemfahamu yule mwanatembo....kisawasawa

We si ungetulia maana nimekufidhi ulikua pembeni yangu na mimi nilikausha suruali yako kina pj.wengine waliokua nyuma wasijue kilichoendelea shiiiiiiiiiiiii... Watajua ilikuwaje na wale tembo maana mpaka sasa unaweweseka usiku
 
Mahari ya Loner advance unaleta kwa kwangu kama kaka yake kama tulivyokubaliana na itakayobaki tutasawazisha na kumaliza suala ya zile warning zako ulizotoa juu ya mwanajamii one ili usinibugudhi tena na mwanajamii one maana mpaka sasa anazunguka huku kichwani

Orait ila sasa hii advance ya mahari kukupa wewe itabidi nipate some sort of consultancy kutoka kwa Preta ili nione kama hiyo mahari inaenda sehemu yenyewe on the other hand kuhusu mjukuu wangu mkubwa MJ1 inabidi uje na convoy ya watu 20 kwa ajili ya kutuconvince if you are the right person
 
asante mpendwa......maombi yalifika.....maana huko porini kama sio sala zako tulikuwa tufanywe kitoweo.......Derimto mpaka sasa hivi haijulikani yupo hospital gani.....presha ilishuka sana lakini anaendelea vizuri.....shuka tu ujionee mwenyewe

Huyo amechomoka baada ya kuona mnataka kuposha ukweli ila maombi yamefanya kazi wasiokuwa na imani tuliwaona mara watoe msalaba mara biblia mara quruan mara kitambaa cheusi mara mfupa wa kitimoto na mara oo... Ilmradi waliomba kwa miungu yote ya kimarangu mpaka ya kinyashanzu
 
LD, unanigeuka leo, basi kuanzia sasa mimi naangukia kwenye penzi jipya la WL, hivi karibuni tutambulishana rasmi.

Wiselady nisamehe maluv kwa yote. tugundiane kwenye penzi letu jipya.

Utaumia wewe shauri yako we jidai una mapenzi ya mwaipopo hapa
 
Crap!!! Habari gani Derimto baba,
Unajua nimekumis gafla, uko wapi ndugu.

Weupe nawapenda bana.

Nipo mototo muzuri likuwa napata mai kitogo kila kitu ni bie sherry nimejaaa tele ila nilikuwa na muingiliano wa mambo lakini nimetulia nakuja kama ifuatavyo ulikuwa mpole sana juzi ulikuwa unatusoma tu wpai mamaaa Fl wa maukweli???? Ambia yeye naumiza mutima yangu
 
halafu wewe binti hebu nishukuru fasta kwa ufanisi wa kazi ulonipa. I care and guard at the same time

Naogpopa kusema kitu Big. Maana huyu mtoto tulimtoa nje apigwe na upepo na kwamba apandishwe kwenye toyo kutoka pale mianzini hadi sanawari na kurudi atatulia yeye anataka alale kifuani kwa Bigirita ndiyo raha yake au ilikuwa ni zuga tu!!!!???????
 
mpo wapwaaz wa arusha?nilichoka sana na safari ila nimeshaanza kuwamiss jamani.SV upo?miss u sana bana ila si zaidi ya PJ
 
kwa kweli hii sitaikosa ila aika mangi ufanye mpango wa kuja na dumu la mbege ctaki kunywa vinywaji vingine vile vya rangi ya njano kwani vinafanza vibaya

Hata hivyo wewe haunywagi pombe mwaya na eka mangi asikufundishe kabisa endelea vilevile kunywa maji na juice zako kama sile ulisokunywa jusjus tu!
 
Babu mkagua..... umenikumbusha sever ya Matty ilivyotema loh.....hahahahah
Halafu saharavoice ulinimaliza ulitakakumpeleka Matty kulala kabla ya wakati loh............guyz it was vere vere kama tunasubiria free kick bana

Sweety una machale kama maty mwenyewe maana alituma na kusema anamtaka mtu mmoja tu anayeitwa LD ampeleke lakini alipotoka Bigirita akabadili mawazo na kumaliza shida zake kifuani kwa big.
 
Sweety una machale kama maty mwenyewe maana alituma na kusema anamtaka mtu mmoja tu anayeitwa LD ampeleke lakini alipotoka Bigirita akabadili mawazo na kumaliza shida zake kifuani kwa big.

Derimto kwa uhakika zaidi hebu nenda kaniangalizie tena MIDWAY maana nahisi kuna kondoo walibaki pale
 
Mabinti Preta, Wiselady, Loner and Lilyflower......................................mnafikiri sifa kuwa wazuri hivyo? waone vile


Derimto macare na malavidavi uliyaonyesha kwa kweli dah............I wish Mama wa Kwanza angekuwa hajatoa ile thread yake ya Heartbreakers..........mbona ningeweka kambi chalii yangu!!

(Wimbo) Wewe ndiye asali wangu wa moyo wa dhiki na faraja mpz.kaza moyo ingawa watasema mengi midomoni mwao usiwajali hao. (Insp. Haroun)

Nataka kuleta mwingine baadaye maana watachakachua hapa ila mimi na wewe milele hakuna wa kutuzuia kwa majungu wa thread mapenzi yameshaota tumwagilie maji yakue.
JAMANI WENGINE NA VIROHO VYENU KAENI PEMBENI TUNAENDA ZETU KISIWANI (KISIWA CHA MALAVIDAVI)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom