I cant wait ......................kabisa cant wait
hivi Derimto angekuwa anakunywa Grants ingekuwaje vile tu ni Ndovu dah
Ile niliyokuwa nakunywa haikuwa fanta ungeonja ungekoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I cant wait ......................kabisa cant wait
hivi Derimto angekuwa anakunywa Grants ingekuwaje vile tu ni Ndovu dah
Preta, Mzee wa Rula, SaharaVoice,Crashwise, FreeTown, Derimto, Wiselady, PakaJimmy, Hmethod, Lilyflower, Chipukizi, Ncha, MrMiela, Loner, Bucho, Baba Ubaya, Kings01, Msindima, Margwe, Mzee wa Serengeti, Ndallo, Ntavyo, Samora, Vince, Ngongo, Konakali, Mtumishi wetu, Maty, MwanaJamiione, LD, Kimey, Maxence Melo na WanaJF wote. Guys I LOVE YOU ALL. MUNGU ATUVUSHE SALAMA.
pale alikuwa ameshakunywa lemomo....alikuwa anasuuzia tu.....huku ngalelo ukiona mtu ameingia bar ujue katokea mbali.....
Halafu full ndoto juu yake ila yule DJ alikuwa na maslahi binafsi kwa baadhi ya watu maana nyimbo alizokuwa anapiga zilikuwa specific kwa watu fulani hasa MJ1 na FL sijui alikuwa na ajenda gani nao lol!!!!!
I missed ths and was verrrrry close! Eng Nsiande
yeah my dia vere vere indeed. Halafu mpe salam zangu nyingi sana loner nashukuru kwa kunilinda na kuni2nza halaf na hz usifikishe nitakupiga ban nimepewa umod kila ataeniuzi ban
hahaaa ucjal hani yaan loner ndio alimzibiti sahara la sivyo cjui inabidi umpe zawadi loner alijitahid kunilinda
Haa wapi tungekukabidhi mtoto Preta mwenyewe ungekuwa mdogo.......maana Kimey alikuwa kama hayupo vile yaani sikusikia ,akelele yake yale ya kwenye gari kila nkimtizama namwona anabadilisha tu rangi ya macho................watoto wa Arusha wacha kabisa.
Dah!!! Aisee bora umenisaidia hapo Derimto maana huyu mwanamke ana wivu kweli
Mbona dawa yake nimeishaipata tena aliyenipa hiyo dawa ni loner
Naambiwa Kimey alivyo tua huko alijifanya mlokole
Orait ila sasa hii advance ya mahari kukupa wewe itabidi nipate some sort of consultancy kutoka kwa Preta ili nione kama hiyo mahari inaenda sehemu yenyewe on the other hand kuhusu mjukuu wangu mkubwa MJ1 inabidi uje na convoy ya watu 20 kwa ajili ya kutuconvince if you are the right person
Ngoma ya watoto huwa haikeshi ikizidi sana mwisho saa nne acheze wapi kama watu walikaba mpaka penalt akabaki ameshewa tu.
Pole samaki Kimey maana mpaka WL. Una hatari ya kumpoteza
mpo wapwaaz wa arusha?nilichoka sana na safari ila nimeshaanza kuwamiss jamani.SV upo?miss u sana bana ila si zaidi ya PJ
hahaaaaaaaaaa.. we nitie machungu tu, ngoja tuandae ka-mini reflection leo au kesho kwa wale wa MEMKWA (MPANGO ENDELEVU MNO KWA WALIOIKOSA ARUSHA)Cousin ungekuwepo I guess you would have been man of the match for that trip
Dawa ya nini hiyo tena... mbona mimi nilikua nakushauri uendela na dozi tena ikiwezekana iwe kutwa mara tatu...
hahaaaaaaaaaa.. We nitie machungu tu, ngoja tuandae ka-mini reflection leo au kesho kwa wale wa memkwa (mpango endelevu mno kwa walioikosa arusha)
suala la kuhamisha meza ni proper na naomba sana wakuu wa memkwa tukianza na mdogo wangu js na swahiba asprin tuliangalie hilo... Kwa hasira tunaweza kulifanyia korogwe on our way to moshi
Derimto kwa uhakika zaidi hebu nenda kaniangalizie tena MIDWAY maana nahisi kuna kondoo walibaki pale
sasa preta anaingiaje hapa kwani yeye hapendi utamu unadhani atakuoa comnt.nzuri? Na pia kuhusu mj1 nakushauri ukae mbali kama hauna ushirikiano unaweza kujikuta umebakiwa na viatu vyake na yeye mwenyewe atakua anakula raha na mimi unyesha ushirikiano dogo vinginevyo tutampeleka loner australia kusoma ili akae mbali na wewe umesikia? Sema ndiyoooooooooo
Kaka nini mbona unahangaika sana nilikuwa nao nawapa mambo nisingeweza kuyatoa mbele ya kadamnasi na ndiyo maana hukutuona kwa wakati mwafaka ila usijali wako kwenye mikono salama kabisa.