Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
jamani fanyeni na Dar es Salaam ili tuhudhurie na sie:teeth:
 

Ameni! Ameni! Aaaaaaameni matendo yangu yoyote uyatengeze ee! Yesu uniongoze popote
 
pale alikuwa ameshakunywa lemomo....alikuwa anasuuzia tu.....huku ngalelo ukiona mtu ameingia bar ujue katokea mbali.....

Babe! Tutunziane siri basi! Unataka mpaka na wageni wajue? Mbona mi nimekutunzia ile ya kwenye gari na wale tembo hata dereva hakujua!
 
Halafu full ndoto juu yake ila yule DJ alikuwa na maslahi binafsi kwa baadhi ya watu maana nyimbo alizokuwa anapiga zilikuwa specific kwa watu fulani hasa MJ1 na FL sijui alikuwa na ajenda gani nao lol!!!!!

Huyo jei d tayari tunavyoongea hapa ameshapanda fuso kurudi nilikomtoa huko handeni asije kutchafulia hewa hapa.
 
yeah my dia vere vere indeed. Halafu mpe salam zangu nyingi sana loner nashukuru kwa kunilinda na kuni2nza halaf na hz usifikishe nitakupiga ban nimepewa umod kila ataeniuzi ban

hahaaa ucjal hani yaan loner ndio alimzibiti sahara la sivyo cjui inabidi umpe zawadi loner alijitahid kunilinda

Asante salamu zako zimefika mamito.... Karibu tena A-Town... Mambo ya hapa ni ya kikubwa mbaya...
 

Ngoma ya watoto huwa haikeshi ikizidi sana mwisho saa nne acheze wapi kama watu walikaba mpaka penalt akabaki ameshewa tu.

Pole samaki Kimey maana mpaka WL. Una hatari ya kumpoteza
 
Mbona dawa yake nimeishaipata tena aliyenipa hiyo dawa ni loner

Dawa ya nini hiyo tena... mbona mimi nilikua nakushauri uendela na dozi tena ikiwezekana iwe kutwa mara tatu...
 
Naambiwa Kimey alivyo tua huko alijifanya mlokole

Angefanya nini kama kila mahali wamekaba? Ila nilikumic chali angu selaa! Ilikuwa ni nomaje mdafanga wangu mpaka nikamwomba Mj1 profile yako kwa muda fulani
 

Sasa Preta anaingiaje hapa kwani yeye hapendi utamu unadhani atakuoa comnt.nzuri? Na pia kuhusu Mj1 nakushauri ukae mbali kama hauna ushirikiano unaweza kujikuta umebakiwa na viatu vyake na yeye mwenyewe atakua anakula raha na mimi unyesha ushirikiano dogo vinginevyo tutampeleka loner Australia kusoma ili akae mbali na wewe UMESIKIA? Sema ndiyoooooooooo
 
Ngoma ya watoto huwa haikeshi ikizidi sana mwisho saa nne acheze wapi kama watu walikaba mpaka penalt akabaki ameshewa tu.

Pole samaki Kimey maana mpaka WL. Una hatari ya kumpoteza

unatutakia nini lkn!!??
 
mpo wapwaaz wa arusha?nilichoka sana na safari ila nimeshaanza kuwamiss jamani.SV upo?miss u sana bana ila si zaidi ya PJ

Halafu wewe nakumic mtu wangu nakuomba ukimbie haraka kwenye ile thread yako wanume weupe ukatuombe radhi kama tulivyokubaliana maana unataka kunirushia mawindo yangu wewe ulikutana na matapeli na siyo magent. Wa ukweli mpaka sasa mj1 anashindwa kufanya maamuzi kutokana na majungu yako juu wanaume weupe LD anaogopa hata kupeana mkono na mimi hanionyeshi hata ule mwanya wake tena
 
Cousin ungekuwepo I guess you would have been man of the match for that trip
hahaaaaaaaaaa.. we nitie machungu tu, ngoja tuandae ka-mini reflection leo au kesho kwa wale wa MEMKWA (MPANGO ENDELEVU MNO KWA WALIOIKOSA ARUSHA)

SUALA LA KUHAMISHA MEZA NI PROPER NA NAOMBA SANA WAKUU WA MEMKWA TUKIANZA NA MDOGO WANGU JS NA SWAHIBA ASPRIN TULIANGALIE HILO... KWA HASIRA TUNAWEZA KULIFANYIA KOROGWE ON OUR WAY TO MOSHI
 
Dawa ya nini hiyo tena... mbona mimi nilikua nakushauri uendela na dozi tena ikiwezekana iwe kutwa mara tatu...

HA HA HA HA HA..........Out beyond ideas of wrongdoing and rightdoing, there is a field. I will meet you there.
 

lol!!!!!!!! Nimeikubali sana hiyo
 
Derimto kwa uhakika zaidi hebu nenda kaniangalizie tena MIDWAY maana nahisi kuna kondoo walibaki pale

Kaka nini mbona unahangaika sana nilikuwa nao nawapa mambo nisingeweza kuyatoa mbele ya kadamnasi na ndiyo maana hukutuona kwa wakati mwafaka ila usijali wako kwenye mikono salama kabisa.
 

aisee bado nafikiria sana naona unataka kum-pravetaiz mj1 well hili suala naona unataka kuligeuza kama butter trade vile ila najua bila preta hapa kila kitu kitakuwa akijaenda sawa sababu preta ndio atatoa zile siri zilizojificha halafu ujue pia yule dj pia ana maslahi kwa mj1 sasa sijui utafanyaje
 
Kaka nini mbona unahangaika sana nilikuwa nao nawapa mambo nisingeweza kuyatoa mbele ya kadamnasi na ndiyo maana hukutuona kwa wakati mwafaka ila usijali wako kwenye mikono salama kabisa.

Posted via Mobile

HII NI KUTOKA MIDWAY AU SPECIAL PLACE????
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…