The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
unatutakia nini lkn!!??
unatutakia nini lkn!!??
kUANZIA LEO MIE NAJIBATIZA KAMA MZEE WA MEMKWAlol!!!!!!!! Nimeikubali sana hiyo
aisee bado nafikiria sana naona unataka kum-pravetaiz mj1 well hili suala naona unataka kuligeuza kama butter trade vile ila najua bila preta hapa kila kitu kitakuwa akijaenda sawa sababu preta ndio atatoa zile siri zilizojificha halafu ujue pia yule dj pia ana maslahi kwa mj1 sasa sijui utafanyaje
kUANZIA LEO MIE NAJIBATIZA KAMA MZEE WA MEMKWA
Posted via Mobile
HII NI KUTOKA MIDWAY AU SPECIAL PLACE????
HA HA HA HA HA..........Out beyond ideas of wrongdoing and rightdoing, there is a field. I will meet you there.
HA HA HA HA HA..........Out beyond ideas of wrongdoing and rightdoing, there is a field. I will meet you there.
kUANZIA LEO MIE NAJIBATIZA KAMA MZEE WA MEMKWA
Heheheheeee.....kwe kwe kweeee....
Mzee wa memkwa...... karibu mbege mzee wa memkwa.....hawa jamaa wa arusha noma aisee...kuna dalili za wazi kwamba TF na MJ1 wanahamia arusha....😛arty:
Pm zote zipitie kwangu! if not I will be There 2
Yep hapo ndiyo mimi nilipo..... Karibu...
Preta nimemtunzia siri ya wale Tembo waliotaka kuvuruga gari sasa ole wake yeye atoe zangu na suala la MJ1 ni official zaidi tunavyoongea Dj yuko kwenye fuso akilekea handeni huku nimeshampora na cm. Hakuna mawasilano asijeleta mbu hapa
Derimto acha uwivu... haujuie LOVE IS BLIND...
Mtaalam RR naona na kitochi ushamaliza hadi kimekaa upande, dah!!!Heheheheeee.....kwe kwe kweeee....
Mzee wa memkwa...... karibu mbege mzee wa memkwa.....hawa jamaa wa arusha noma aisee...kuna dalili za wazi kwamba TF na MJ1 wanahamia arusha....😛arty:
mpo wapwaaz wa arusha?nilichoka sana na safari ila nimeshaanza kuwamiss jamani.SV upo?miss u sana bana ila si zaidi ya PJ
Nipo mamii, ila humu ndani nachokozwa