Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.

Preta nimemtunzia siri ya wale Tembo waliotaka kuvuruga gari sasa ole wake yeye atoe zangu na suala la MJ1 ni official zaidi tunavyoongea Dj yuko kwenye fuso akilekea handeni huku nimeshampora na cm. Hakuna mawasilano asijeleta mbu hapa
 
kUANZIA LEO MIE NAJIBATIZA KAMA MZEE WA MEMKWA

Heheheheeee.....kwe kwe kweeee....
Mzee wa memkwa...... karibu mbege mzee wa memkwa.....hawa jamaa wa arusha noma aisee...kuna dalili za wazi kwamba TF na MJ1 wanahamia arusha....😛arty:
 
Heheheheeee.....kwe kwe kweeee....
Mzee wa memkwa...... karibu mbege mzee wa memkwa.....hawa jamaa wa arusha noma aisee...kuna dalili za wazi kwamba TF na MJ1 wanahamia arusha....😛arty:

Muzee acha napanga kufungua Branch Arachuga ili niwe naenda at two times a week, aisee mbona haukutokea pale Moshi mjini nilijua utakuja na Kaizer
 
Namtafuta Teamo, Lili flower ncha kali pelosi mtumishi wetu chipukizi na wengine kibao ambao sikuwaona na hata kuwasikia
 
Derimto acha uwivu... haujuie LOVE IS BLIND...
 
Preta nimemtunzia siri ya wale Tembo waliotaka kuvuruga gari sasa ole wake yeye atoe zangu na suala la MJ1 ni official zaidi tunavyoongea Dj yuko kwenye fuso akilekea handeni huku nimeshampora na cm. Hakuna mawasilano asijeleta mbu hapa

Hii habari ni nzito kidogo itabidi nipate hizo siri zako kutoka kwa Preta unajua ni shemeji yangu kwahiyo hawezi kunificha
 
jamani mimi nasubiri zile number mlizosema mngetuma kwenye pm maana mpaka sasa ni kimya.ila yawezekana ni mimi tu ndio sina kutokana na upole wangu kwani TF na kimei wanazo za wadada wote wa arusha.MJ1 anazo za wakaka wote,pamoja na maty na LD.yaani mimi peke yangu ndo nasubiri mnipm.
'mmmh............kalagabao nikishtuka treni ishafika kigoma'
 
Heheheheeee.....kwe kwe kweeee....
Mzee wa memkwa...... karibu mbege mzee wa memkwa.....hawa jamaa wa arusha noma aisee...kuna dalili za wazi kwamba TF na MJ1 wanahamia arusha....😛arty:
Mtaalam RR naona na kitochi ushamaliza hadi kimekaa upande, dah!!!

Mzee wa memkwa nipo nacheki tyre pressure na kila kitu ili inshallah kesho au keshokutwa asubuhi nikafukuzie mtura pale mkulima na jioni niwe la liga

hawa wapwaz wa warusha wamenitia machungu sana, ntapita Tanga naskia Tanga bichi wana bendi na vidole juu, tukaangalie hina na ma-dera ati'
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…