The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mtaalam RR naona na kitochi ushamaliza hadi kimekaa upande, dah!!!
Mzee wa memkwa nipo nacheki tyre pressure na kila kitu ili inshallah kesho au keshokutwa asubuhi nikafukuzie mtura pale mkulima na jioni niwe la liga
hawa wapwaz wa warusha wamenitia machungu sana, ntapita Tanga naskia Tanga bichi wana bendi na vidole juu, tukaangalie hina na ma-dera ati'
jamani mimi nasubiri zile number mlizosema mngetuma kwenye pm maana mpaka sasa ni kimya.ila yawezekana ni mimi tu ndio sina kutokana na upole wangu kwani TF na kimei wanazo za wadada wote wa arusha.MJ1 anazo za wakaka wote,pamoja na maty na LD.yaani mimi peke yangu ndo nasubiri mnipm.
'mmmh............kalagabao nikishtuka treni ishafika kigoma'
wanakuchokoza nini tena mpenzi?kwani hawajui kama 'sharing is caring'.
wanakuchokoza nini tena mpenzi?kwani hawajui kama 'sharing is caring'.
hahaha............haya bana ntafanya nini mie.SV nipm unipe no yako maana uko vere vere.ila lona umenikosha sana yaani ntakuja huko siku itakayohappen mazee ili kama vipi tule chato mdogomdogo mpaka tripple AKwani haujui kuwa wengi wanaambiwa pole halafu wengine wanaambiwa mbona haukusema au unataka kutapikiwa vipepeo lol!!!!
Nisaidie kuwaambia, eti mimi nilikuwa looser
hahaha............haya bana ntafanya nini mie.SV nipm unipe no yako maana uko vere vere.ila lona umenikosha sana yaani ntakuja huko siku itakayohappen mazee ili kama vipi tule chato mdogomdogo mpaka tripple A
hahaha............haya bana ntafanya nini mie.SV nipm unipe no yako maana uko vere vere.ila lona umenikosha sana yaani ntakuja huko siku itakayohappen mazee ili kama vipi tule chato mdogomdogo mpaka tripple A
Nipo mototo muzuri likuwa napata mai kitogo kila kitu ni bie sherry nimejaaa tele ila nilikuwa na muingiliano wa mambo lakini nimetulia nakuja kama ifuatavyo ulikuwa mpole sana juzi ulikuwa unatusoma tu wpai mamaaa Fl wa maukweli???? Ambia yeye naumiza mutima yangu
usiwajali hao loser alikuwa Tf pamoja na kumganda sana lona lakini dalili za wazi zilionesha kwamba kapigwa kiwiko cha uso
.WL ndo alikuwa vere vere kwa kimei mpaka akanikumbuka kama nipo saa sita usiku
Aisee nakuja kufungua branch Arachuga January
kinaendelea gani hapa kati ya sahara na Fl?
Ha ha ha nilikuwa nalinda usalama wa team ya Dar bana, ndo maana nlitulia na mbege yangu pembeni pale,maana nliona Arusha mmeanza mashambulizi gafla, Saharavoice anajieleza sana kwa Bigrita eti ooh FL bana lkn nakuja Dar,Derimto unatoatoa macho kwa MJI,lakini namshukuru Chipukizi kwa macare coz baridi ilianza kunichakachua akani save.
Derimto acha uwivu... haujuie LOVE IS BLIND...
Karibu sana ila usisahau advance ya mahari
Ha ha ha nilikuwa nalinda usalama wa team ya Dar bana, ndo maana nlitulia na mbege yangu pembeni pale,maana nliona Arusha mmeanza mashambulizi gafla, Saharavoice anajieleza sana kwa Bigrita eti ooh FL bana lkn nakuja Dar,Derimto unatoatoa macho kwa MJI,lakini namshukuru Chipukizi kwa macare coz baridi ilianza kunichakachua akani save.
jamani mimi nasubiri zile number mlizosema mngetuma kwenye pm maana mpaka sasa ni kimya.ila yawezekana ni mimi tu ndio sina kutokana na upole wangu kwani TF na kimei wanazo za wadada wote wa arusha.MJ1 anazo za wakaka wote,pamoja na maty na LD.yaani mimi peke yangu ndo nasubiri mnipm.
'mmmh............kalagabao nikishtuka treni ishafika kigoma'
sio wivu mdogo wangu nataka uende kwenye mikono salama ukiumizwa ntalia sana
Nipo mototo muzuri likuwa napata mai kitogo kila kitu ni bie sherry nimejaaa tele ila nilikuwa na muingiliano wa mambo lakini nimetulia nakuja kama ifuatavyo ulikuwa mpole sana juzi ulikuwa unatusoma tu wpai mamaaa Fl wa maukweli???? Ambia yeye naumiza mutima yangu