Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.

HA HA HA HA HA HA, Halafu tungejua kumbe tungesimama Tanga tuingie bichi tukaangalie hina na ma-dera maana doh!! nasikia linarushwa ndani kwa ndani kama mpira wa jabulani
 

Kwani haujui kuwa wengi wanaambiwa pole halafu wengine wanaambiwa mbona haukusema au unataka kutapikiwa vipepeo lol!!!!
 
Kwani haujui kuwa wengi wanaambiwa pole halafu wengine wanaambiwa mbona haukusema au unataka kutapikiwa vipepeo lol!!!!
hahaha............haya bana ntafanya nini mie.SV nipm unipe no yako maana uko vere vere.ila lona umenikosha sana yaani ntakuja huko siku itakayohappen mazee ili kama vipi tule chato mdogomdogo mpaka tripple A
 
usiwajali hao loser alikuwa Tf pamoja na kumganda sana lona lakini dalili za wazi zilionesha kwamba kapigwa kiwiko cha uso
.WL ndo alikuwa vere vere kwa kimei mpaka akanikumbuka kama nipo saa sita usiku
Nisaidie kuwaambia, eti mimi nilikuwa looser
 
hahaha............haya bana ntafanya nini mie.SV nipm unipe no yako maana uko vere vere.ila lona umenikosha sana yaani ntakuja huko siku itakayohappen mazee ili kama vipi tule chato mdogomdogo mpaka tripple A

kinaendelea gani hapa kati ya sahara na Fl?
 
hahaha............haya bana ntafanya nini mie.SV nipm unipe no yako maana uko vere vere.ila lona umenikosha sana yaani ntakuja huko siku itakayohappen mazee ili kama vipi tule chato mdogomdogo mpaka tripple A

Ayaaaaaaaaaa
 

Ha ha ha nilikuwa nalinda usalama wa team ya Dar bana, ndo maana nlitulia na mbege yangu pembeni pale,maana nliona Arusha mmeanza mashambulizi gafla, Saharavoice anajieleza sana kwa Bigrita eti ooh FL bana lkn nakuja Dar,Derimto unatoatoa macho kwa MJI,lakini namshukuru Chipukizi kwa macare coz baridi ilianza kunichakachua akani save.
 
usiwajali hao loser alikuwa Tf pamoja na kumganda sana lona lakini dalili za wazi zilionesha kwamba kapigwa kiwiko cha uso
.WL ndo alikuwa vere vere kwa kimei mpaka akanikumbuka kama nipo saa sita usiku

Oooppss!!! Nilisahau kukwambia nafungua Branch Arachuga nitakuwa naenda mara mbili kwa wiki aisee this trip has been very successful nimeishaongea na watu wa SPECIAL PLACE na MIDWAY kwa ajili ya booking
 
kumbe bado unapumua?me nlijua hujazinduka toka ulivyozima.
sasa we unaona wivu wa nini wakati ulipotaka kupelekwa ukagoma,mie naomba no niwe vere vere,maswali tayari.Bahati haiji mara mbili,SV unamuonaje?
kinaendelea gani hapa kati ya sahara na Fl?
 

Atiiiiiiiiiiiii!!!! Hivi Chipukizi yuko wapi hebu mtafuteni kwanza
 

Nshasema acheni uchokozi
 

Namshangaa huyu mwenyekiti ana agenda gani ya siri na hizo no.mwenyewe cna imebidi nitumie akili za uwani.
Halafu haujatusafisha na ile thread yako ya wanaume weupe si una mj1 alivyokaa kimya unanihatarishia usalama wewe
 

Ha ha ha nilikuwa nalinda usalama wa team ya Dar bana, ndo maana nlitulia na mbege yangu pembeni pale,maana nliona Arusha mmeanza mashambulizi gafla, Saharavoice anajieleza sana kwa Bigrita eti ooh FL bana lkn nakuja Dar,Derimto unatoatoa macho kwa MJI,lakini namshukuru Chipukizi kwa macare coz baridi ilianza kunichakachua akani save.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…