Lol ............sema neno moja tu.........roho yangu ifurahi
Tulia Babe! C unajua humu ndani kelele nyingi na sisi watu wazima tunakaa kwenye nyumba zenye mapaa haturopoki hovyo WANGU WA UBANI NATAFUTA UTULIVU nikupe zabibu zako ule kwa raha zako wanakuonea wivu
Posted via Mobile
Derimto hii uko guest gani hatutaki mambo ya Rombo Green View
Tulia basi mbona unatupigia kelel wakati MJ1 ameaga kuwa anaumwa tunapunga upepo mahali na hii ni official siyo kama wale wa rombo green view
hahahah Na ile sifa ya vipisi..................... yaani alivyoitoa hadi leo nacheka nikikumbuka!! Eti wanaongoza Africa sijui mashariki na kati sijui Africa nzima kwa kuwa na zunga za uhakika!!Ha ha ha ha ha ha sijui ni re-save my comments maana nakumbuka mama wa kwanza alisema kuwa mutu ya kongo nakata sana mauno
habari yako gentleman
Hahaha mama wa kwanza hakuna asichoona lol! Wapi Dena Amsi na ishu ya chupa ya serengeti?hahahah Na ile sifa ya vipisi..................... yaani alivyoitoa hadi leo nacheka nikikumbuka!! Eti wanaongoza Africa sijui mashariki na kati sijui Africa nzima kwa kuwa na zunga za uhakika!!
Una bahati umepata foreigner lkn jiandae kumnunulia vipodozi,,n.k,n.k
Komredi nashukuru kwa kujali maslai yangu! Ntaongeza marupurupu!Niko poa mamaa nilikutumia bodygurg wakulinde na hizo rabsha za wabakaji wa Demokrasia sijui kama wameplay part vizuri nataka report nijiridhishe kabla sijawarudisha Dar
Umeanza umbea na uchawi humu ndani kwani wachina na wajapani wanjipodoaga au ni majungu tu? Halafu wewe !
Komredi nashukuru kwa kujali maslai yangu! Ntaongeza marupurupu!
hahahah Na ile sifa ya vipisi..................... yaani alivyoitoa hadi leo nacheka nikikumbuka!! Eti wanaongoza Africa sijui mashariki na kati sijui Africa nzima kwa kuwa na zunga za uhakika!!
hahaha!sawa mutu ya kongo,,vipodozi kwa sana,,lazma ununuliwe pamba,ulishwe,upelekwe saloon,upewe pocket money,,,mbona namuonea huruma
Hahaha mama wa kwanza hakuna asichoona lol! Wapi Dena Amsi na ishu ya chupa ya serengeti?
Mkuu nasikia umelowea Arusha ni habari za kweli au unaonewa?
Kwahiyo hiyo safari ya Arusha ndo kesho siyo?
Kwahiyo hiyo safari ya Arusha ndo kesho siyo?
Barabara zimefungwa, btwn Arusha hawaendi wazee