Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

alifikiri tuna vichwa vya nazi lol BTW umeshafika kwa walandizi 😕

Shosti kwani tumepita ile njia basi!!!!!!!!!
Tumepitia Msataaaaaaaaaaa...............Bagamoyo kupitia Kiwangwa kwenye mananasi, tukaja tokea Tegeta mpaka Mwenge,
Hata tungepitia ya Chalinze unafikiri ningeenda kwenye hiyo Shughuli, maana Kiuno chote Kimekaza.
 
Ni asubuhu hii wapendwa wageni wameondoka kurudi kwao....
Ilikuwa raha sana kuwaona wana JF hawa wakiongozwa na PakaJimmy.
It was so great moment meeting you friends, Preta, watu8, Madame B, Filipo, marejesho, Lily Flower, Blaki Womani, werawera, Arushaone, na HUSUSAN Smile.
Nawatakia safari njema na heri ya mwaka mpya.
Karibu tena Tanga.
Salama wa wale waliopanga kuja Tanga lakini wakashindwa kufika kwa sababu mbalimbali.

Love you all.

Coppy kwa: Dark City, KOKUTONA, Arabela na YNNAH

Naona hususan Smile hapo kaka. Smile upoooooooo
 
Last edited by a moderator:
nilikutana na binti Mzuri wa sura na tabia, mrembo wa kupendeza mwenye rangi ya kiiraq! Ningekutafuta ungenipotezea timing! Uzuri tumekubaliana na atakuja Arabela Arusha soon.

marejesho umesikia????
 
Last edited by a moderator:
haya basi babu Dark City napenda kuchukua muda huu kumshukuru Mungu kwaajili ya ukuu wake ambao haukupunguka na wala hakutuacha yatima.

tusali
Mungu baba mwenyezi wewe uketiye juu sana mahali palipo inuka. Tunakushukuru sana kwani ulikuwa upande wetu katika safari ya Tanga na hakika hakuna kilicho kuwa juu yetu. si ajali, wala uharibifU, wala mauti vilivyowasogelea wenzetu waliosafiri na hata waliporudi majumban kwako.Hakika leo tunakushukuru sana kwa wema wako huu na kwamba wewe hukuwa na sikio zito ili kutusikia wala mkono wako haukuwa mzito ili kutuokoa.

kipekee kabisa tunaomba upendo uliopo katikati yetu uudumu daima na kristo Yesu akae katikati yetu na pendo lake. sifa na utukufu tunakurudishia wewe bwana,

AMEN.

Amina.
Asante sana mwalimu kwa sala zenu/zetu tunaamini yote yanawezekana kupitia yeye aaminie
 
Shosti kwani tumepita ile njia basi!!!!!!!!!
Tumepitia Msataaaaaaaaaaa...............Bagamoyo kupitia Kiwangwa kwenye mananasi, tukaja tokea Tegeta mpaka Mwenge,
Hata tungepitia ya Chalinze unafikiri ningeenda kwenye hiyo Shughuli, maana Kiuno chote Kimekaza.

umependa mlima kilimanjaro bila zoezi ulifikir ungesalimika lol
 
umependa mlima kilimanjaro bila zoezi ulifikir ungesalimika lol

Ila kule Amboni ni kutamu, ila ule Mlima ni chiboko, maana nilimng'ang'ania yule..S......A... mpaka akalowa chapachapa Mkononi
Hv Mombasa tumesema ni Wiki ijayo, naomba Baba V asikanyage kule Mombasa, maana Hatarudi salama.
 
Last edited by a moderator:
babu kabla ya yote je memba wa dar wameshafika?
halafu nashukuru ule uzi wa picha umetolewa at least tumethubutu

tumefika dada wala usiwe na wasiwasi, hapo juu tayari nimeshatoa taarifa
 
Shosti kwani tumepita ile njia basi!!!!!!!!!
Tumepitia Msataaaaaaaaaaa...............Bagamoyo kupitia Kiwangwa kwenye mananasi, tukaja tokea Tegeta mpaka Mwenge,
Hata tungepitia ya Chalinze unafikiri ningeenda kwenye hiyo Shughuli, maana Kiuno chote Kimekaza.

Tender ya kukulegeza inanukia
 
Back
Top Bottom